Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema lawama zote nkwaseikai halafu wanamalizia baba yetu makambaWakina mgosi waje[emoji851]
Kaje magwaha ya weakoYani nikipanda gari, mara nyingi wasambaa ndo wanapenda kuongea , utasikia nzeze nzeze, shiingi ngahi, kwani lazima kuongea kilugha mkiwa mjini? Kwanini msiongee Kiswahili
Wachaga wengi hawana huo ushamba wanapokuwa na watu wa makabila mengineShauri zenu ... mnawasema kwani ni wao tu mbona makabila kibao mjini hapa wanaongea lugha za kwao?
Wachaga
Wapare
Waha
Na wengineo
Jibu salamu yangu, hamjaonewa hataKwenye huu uzi Wasambaa tumeonewa. Huyu mtoa mada hajawahi kukutana na Wasukuma na Wamasai! Hawa jamaa muda wote wanaongea lugha yao tu.
Haya Mghoshi Shekighenda. Kuzacha!!! Niughushia woshe uko uiko.Jibu salamu yangu, hamjaonewa hata
Wanapenda lugha yao ya asili, umjini/ulimbukeni unakufanya ujione civilised na kutokupenda lugha mama yakoYani nikipanda gari, mara nyingi wasambaa ndo wanapenda kuongea , utasikia nzeze nzeze, shiingi ngahi, kwani lazima kuongea kilugha mkiwa mjini? Kwanini msiongee Kiswahili
Hapa sasa umedhihirisha mnapenda kilugha 🏃Haya Mghoshi Shekighenda. Kuzacha!!! Niughushia woshe uko uiko.
shiingi ngahi,! Hiki sio kisambaa BTW ulipanda magari ya wapi sanalii na ulipanda mara ngapi na ukiwa mkoa ganiYani nikipanda gari, mara nyingi wasambaa ndo wanapenda kuongea , utasikia nzeze nzeze, shiingi ngahi, kwani lazima kuongea kilugha mkiwa mjini? Kwanini msiongee Kiswahili