Kwanini wasambaa wanapenda sana kuongea kilugha hata mjini?

Kwanini wasambaa wanapenda sana kuongea kilugha hata mjini?

Yani nikipanda gari, mara nyingi wasambaa ndo wanapenda kuongea , utasikia nzeze nzeze, shiingi ngahi, kwani lazima kuongea kilugha mkiwa mjini? Kwanini msiongee Kiswahili
shiingi ngahi,! Hiki sio kisambaa BTW ulipanda magari ya wapi sanalii na ulipanda mara ngapi na ukiwa mkoa gani
 
Back
Top Bottom