Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Kisasi si cha Mwanadamu kisasi ni Cha Mungu Mwenyewe.

Warumi 12: 19.
 
nyie wakiristo mbona wanawake zenu nadada zenu wanaingia kanisani navichupi?🤣🤣🤣dah hakuna dini hapo njooni kwenye uislamu. huko mmepoteaaaaaaaaaaaaaa tokeeeeeniiiiiiiiiiiiiiiiii
Me Mkristo lakini dini yetu inachezewa sana, Yani binti anaingia kanisani suruali imembana au unakuta kavaa kimini kabisa daaah!!!! Wakristo hasa wadada badilikeni
 
Hamna uvumilivu zaidi ya upumbavu tu, unaruhusi bongo fleva kanisani unasema uvumilivu, kuku we
huyo nimjingatu.ndioana komenti yenyewe kaitoa kiuwoga woga.hawajiamini washike lipi nawaache lipi.
 
Siku zote mwanadamu aliyesoma na kuelimika, hufanya maamuzi yake kwa kutumia akili! Ila yule bumunda ambaye hajaelimika, ndiyo hukimbilia kwenye matumizi ya nguvu, kama silaha yake kuu.

Bila shaka umenielewa.
PITA HUKU
 
Me Mkristo lakini dini yetu inachezewa sana, Yani binti anaingia kanisani suruali imembana au unakuta kavaa kimini kabisa daaah!!!! Wakristo hasa wadada badilikeni
dah.allahu akbar.mkuu unajielewa sana tena sana.miminakushauri hama huko hakunadini.njoo kwenye uokovu/uisilamu.hao wanao kuja kanisani navimini wanakuja kutafuta mabwana hawana lolote wakimbieeee mkuuu
 
Sio Qaswida tuu, Adhana ni muziki ambao ni unison, hata wakati wa swala zile Aya zote wanaimba. Nina uwezo wa kuzichora nota zake ambao melody ya kuzitamka Aya izo wakati wa ibada inafanana na ile ya kilatini kilichokuwa kinatumika kwenye ibada za kikristu zamani ( Gregorian chant)

Yaani wao ndio wanategemea kuimba kuliko dini yoyote. Hata kikariri kwao vifungu vya Quran huko madrasa ni kwa njia ya kuimba. Labda hawajui nini maana ya kuimba, wimbo, melody nk, waliosoma muziki miongoni mwao hawawezi kusema hilo
Uislam umeruhusu mashairi bila beat, Ila mashairi yawe ya kumpendeza muumba, ndio maana mtume Muhhamad alisema kupiga madufu kwa waislam ni miongoni mwa mambo ya kipumbavu
 
360_F_285632448_23LmpNTAktZuoVqutFRgI7HYv3V9pWVi.jpg
Nasser_Mohamed.jpeg

USHOGA NI DHAMBI IWE UARABUNI , ULAYA AU AFRICA DHAMBI NI DHAMBI TUU.
 
Wakiristo siku hizi wanataka kubalance kila kitu hadi madhambi! 😀😀

Sasa akiweka na Sheikh hiyo ndo itaondoa ukweli kuwa kuna mapadri matapeli?

Si ajabu msanii muislamu akitengeneza wimbo kulaani Kibwetere alivyowachoma moto waumini kanisani kuna Wakiristu wafia dini watachukia Utadhani Ukiristo unaruhusu mambo ya Kibwetere!
Tulia weweee
 
Wale walio enda Arusha kwa nabii ni watu gani? Kuunga mkono tattoos hata wasipo onekana kwenye video za wasanii Haina maana kuwa wao hawana mapungufu . Ukweli nikwamba tunaishi nao na mapungufu Yao tunayaona ..over!
 
Wale walio enda Arusha kwa nabii ni watu gani? Kuunga mkono tattoos hata wasipo onekana kwenye video za wasanii Haina maana kuwa wao hawana mapungufu . Ukweli nikwamba tunaishi nao na mapungufu Yao tunayaona ..over!
Kwanini wasanii waislam hawawatolei mifano wao?
 
Angeweka ustaadhi muda huu nyumba yake ingeshachomwa moto. Wakirsto wastaarabu sana. Ila ustaarab ukizidi unakuwa ukondoo. Haiwezekani mpaka muda huu makanisa hayajatoa tamko
Naunga mkono hoja, hawawezi hata siku moja kuleta mzaha mwenye uislam. Wao mzaha huleta kwenye ukristo tu
 
Naunga mkono hoja, hawawezi hata siku moja kuleta mzaha mwenye uislam. Wao mzaha huleta kwenye ukristo tu
Mbaya zaidi serikali inawachekea... inaboa zaidi ni wasanii tena waislamu... je hawatumiki vibaya kuharibu image ya imani za wenzao?
 
Angeweka ustaadhi muda huu nyumba yake ingeshachomwa moto. Wakirsto wastaarabu sana. Ila ustaarab ukizidi unakuwa ukondoo. Haiwezekani mpaka muda huu makanisa hayajatoa tamko
Ustaadhi anakutana wapi na wanawake awapapase?, Huko wanasali vyumba tofauti,,, hakuna habari ya shehe kukaa na mwanamke eti anamfanyia maombi,,,
Ila maustadhi wa vyuo baadhi ndio wanafanya dhambi na watoto wa vyuo
 
Back
Top Bottom