halafu ilemuvi yayesu kwani ntie wakiristo yule niyesu kweli?nyie niwajinga sana.yesualikua mzungu? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣dah mjemsikitini tuwaombee dua.
Inategemea na maudhui
HATA HIVYO UISLAMU NI KIKUNDI TU CHA WAHUNI, KWANI MUNGU WAO HAWEZI TOA HUKUMU, MPAKA WATU WAKE WANAAMUA KUTOA HUKUMU HAPA HAPA DUNIA. YANI WANAMSAIDIA MUNGU WAO.
YANI I TELL YOU FRIENDS IN JF, MUNGU WA KIISLAM NI DHAHIMFU SANA.
MK254
Wakristo wa sasa hivi wamejaa upumbavu na mafundisho feki kuhusu dini yao. Hata Yesu mwenyewe alikuwa hataki mzaha kabisa na mambo ya imani yake. Aliwafukuza watu waliokuwa wanafanya biashara hekaluni bila kujali lolote. Wakristo wa sasa wangesema Yesu hajali haki za binadamu wala wananchi wanyonge. Sio Yesu tu hata kina Musa, Daudi, Joshua na wengine wa kwenye biblia walikuwa hawataki upumbavu linapokuja suala la imani yao.
Waislamu ninawapongeza kwa kuifundisha dini yao vizuri kwa watoto pia kwa kukataa kuchezewa imani yao. Hata wanaoabudu mizimu hawawezi kukubali uwachezee.
Wakristo tuache ujinga.
Basi huyo Mchungaji/Askofu wa hilo kanisa atapambana na Mungu mwenye kanisa lake.
nyie wakiristo mbona wanawake zenu nadada zenu wanaingia kanisani navichupi?🤣🤣🤣dah hakuna dini hapo njooni kwenye uislamu. huko mmepoteaaaaaaaaaaaaaa tokeeeeeniiiiiiiiiiiiiiiiii
Kwanza Usialamu unakataza mziki kuwa ni haramu,yaani kiufupi tu ikitokea hata yule mwenye kutunza funguo ya msikiti umwambie muigizie msikitini hawezi kubali ujinga huo,Kitu unavyokiheshimisha ndivyo kinavyopata thamani yake
Walivizia wenye kanisa hawapo au wenye kanisa waliruhusu!?
Bby miss uUnaweza ukaingia kushuti video kanisani bila kuruhusiwa na wenye kanisa?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyo mungu asiyehitaji kusaidiwa,anajiweza mwenyewe,kwa nini asihubiri mwenyewe anaacha wahubiri wanahaha kumuhubiri jua Kali!?
Ile kushoti video walipata baraka kutoka kwenye uongozi,nahisi viongozi walipomuona msanii Diamond wakajua shida zao zote zitaisha kupitia kwake,Kwamaana ile video walitumia siku nzima kushuti
Na wewe pita KULE
🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠 Till unakodoa tuu...?Na
Na wewe pita kule.
Sasa kwa nini lawama kwa diamond!?..halafu kwaya si ni muziki tu!?
wakiristo hamieni muje kwenye dini yaki uislam.tokeni huko maporini mje tuwafundishe kuoga janaba
Kacheza vipi!?
Bichwa lako gumu!!..mungu wa kweli hatakiwi kupiganiwa na binaadam kwa kuwa anajiweza mwenyewe,yaani hatakiwi kufanyiwa Jambo na bonaa,Sasa kwa nini hahubiri mwenyewe huko mbinguni tukamsikia na kimfuata badala yake maaskofu,wachungaji,manabii wanahaha kumuhubiri!?
Usijitoe ufahamu makanisa mengi tu tunaona waumini jinsi wanavyovaa utadhani wanakwenda disko, na hili linapigiwa kelele kila leo, kwenye hiyo dini yenu uzungu mwingi mpaka mnavuka mipaka kwenye maadili.
Whatever ila ujumbe umefika na nyimbo nzuri..
Mm nimependa mlevi kaenda peponi kirahisi tu ..🤣
Wewe Economist uchwara utakuwa umenielewa ila unaleta ujanja wa mbuzi kujambia mdomo.Wewe ndio uache ujinga. Mbona waislamu kutwa wapo kwa Mwamposa au mchungaji Ezekiel kule Mombasa?. Juzi tu hapa wametoka kuabudu kwa Geor Davi na kumtambua Kama Nabii Mkuu , acha upotoshaji.