Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Acha upotoshaji, wakristo hawajawahi kuvamia marekani, Bali marekani ilikuwa koloni la uingereza .

 
Wewe Economist uchwara utakuwa umenielewa ila unaleta ujanja wa mbuzi kujambia mdomo.

Halafu unikome Mimi sio economist sawa shika adabu yako , Soma vizuri jina ulielewe sio unarukia tu. Siwezi kumuelewa mtu asiyejielewa.
 
Tengeneza wewe clip yako uimbe halafu uwaigize hao masheikh ili muende sawa ila usiwapangie watu chakufanya.

Kuwapangia Cha kufanya kwenye kudhihaki dini ya wengine?. Ngoja BASATA waufungui huo wimbo maana alitaka kiki kupitia wakristo.
 
waislamu hatutegemei miujiza Kama wakiristo wanaoenda kukesha uwanja wataifa kusibiri miujiza yamwamposa mwisho wasiku wanakufa naumaskini wao.wakirito stukeni

Mbona nusu ya walioenda walikuwa waislamu?
 
Kumbe majibu munayo wenye sasa munahoji nini.
Yaani munajitekenya wenyewe alafu munacheka

Ametoa jibu kwanini akina zuchu hawafanyi mizaha msikitini. Sasa Kama wanaogopa kwao ndio wake wafanye mizaha kwa wakristo huo ni upumbavu, ndio maana nyimbo zao zinapigwa marufuku.
 
yesu hakufa nali alipaa.kwahio lazima aludi kufa ndio kilakitu kitimie. pale msalabani mliwekewa toy tu mlivyo maandazi mkasema limekufa nakufufuka machizi nyie..πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ


Wewe una shida ya ziada.
 

Kwanini waislamu wanapenda kuudhihaki Ukristo?.
 
Mshamba nn? Wapo wajinga mpaka kanisani Wana sanamu ya yule jamaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚we wa wapi aisee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…