inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Huelewi hata unachoandika,unabebeshwa tu mambo Kama punda na Wala usijue maana yakeNaibakie kama ulivyoelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huelewi hata unachoandika,unabebeshwa tu mambo Kama punda na Wala usijue maana yakeNaibakie kama ulivyoelewa
Wewe unayeelewa ngoja nikuache na uelewa wako.Huelewi hata unachoandika,unabebeshwa tu mambo Kama punda na Wala usijue maana yake
Jamaa yuko sahihi. Na ibaki kama ulivyoelewa.Huelewi hata unachoandika,unabebeshwa tu mambo Kama punda na Wala usijue maana yake
Na hapa ndo mnapokosea,, hata ukiingia kanisani na nguo nusu uchi kisingizio ni hiki,, kwa kifupi dini yenu nyie wenyewe ndo mnaanza kuichezea mpaka kupelekea na wengine. Yani unakuta mpaka waigizaji mashoga wanaruhusiwa kuingia kanisani kufanya uigizaji wao, kitu ambacho kwa waislam hakiwezi kufanyika. Kipindi cha nyuma nakumbuka pale msikiti wa mtambambani kinondoni akipita mwanamke mbele ya msikiti na vinguo vyake vya ajabu, viboko lazima vimuhusu. Yani disprin kwenda mbele.Hatuenendi kwa mwili bali kwa roho. Tunamwabudu Mungu katita Roho na kweli. Hawa wenzetu kwa kuwa wako kimwili zaidi ndio maana ukiwasema kidogo tu wanakuua au kukuchomea nyumba.
ile video ni kanisani kabisa,lile kanisa lipo kisarawe,Sidhani kama kweli waliingia kanisani kufanya video shooting. Inawezekana na mazingira waliyoyatengeneza kwa kufanana na kanisa ndio wakafanya hiyo shooting.
Mimi sio mfuatiliaji wa secular music though!
Hicho ni kichaka tu Cha kujifichia baada ya kukosa maelezoJamaa yuko sahihi. Na ibaki kama ulivyoelewa.
Inategemea na maudhuiMbona huwa hamuigizi miskiti yenu?
Punguza ujuha mungu wenu kama hataki kupiganiwa kwann asitoke huko akajenga akajenga makanisa,au kwann hakushuka mwenyewe kuja kuhubiri badala yake akawatuma manabii ?Kwani alichosema ni dhambi au ni uongo, kwamba watumishi wote ni wasafi hawafanyi dhambi?
Kwenye sanaa ukihusisha dini inabidi utambue tofauti ya dini ambayo Mungu anapiganiwa na wanadamu dhidi ya dini ambayo wanadamu hawana uwezo wowote wa kumtetea, kumlinda wala kuhukumu kwa niaba yake.
Kuna Mungu wa dini moja yeye asipotetewa sijui inakuaje, ila kuna Mungu ambaye wanaomuamini hajaagiza wamtetee. Anayo maelfu ya malaika wanaimba kwaya wapo bure tu na wana nguvu sasa yanini kujitia ujuaji. Utajuaje labda ni mpango wa Mungu aimbe hivi ili wahusika wajirekebishe?
Basi huyo Mchungaji/Askofu wa hilo kanisa atapambana na Mungu mwenye kanisa lake.ile video ni kanisani kabisa,lile kanisa lipo kisarawe,
Kwanza Uisilamu unakataza mziki kuwa ni haramu,yaani kiufupi tu ikitokea hata yule mwenye kutunza funguo ya msikiti umwambie muigizie msikitini hawezi kubali ujinga huo,Kitu unavyokiheshimisha ndivyo kinavyopata thamani yakeMbona huwa hamuigizi miskiti yenu?
Walivizia wenye kanisa hawapo au wenye kanisa waliruhusu!?ile video ni kanisani kabisa,lile kanisa lipo kisarawe,