Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Na hapa ndo mnapokosea,, hata ukiingia kanisani na nguo nusu uchi kisingizio ni hiki,, kwa kifupi dini yenu nyie wenyewe ndo mnaanza kuichezea mpaka kupelekea na wengine. Yani unakuta mpaka waigizaji mashoga wanaruhusiwa kuingia kanisani kufanya uigizaji wao, kitu ambacho kwa waislam hakiwezi kufanyika. Kipindi cha nyuma nakumbuka pale msikiti wa mtambambani kinondoni akipita mwanamke mbele ya msikiti na vinguo vyake vya ajabu, viboko lazima vimuhusu. Yani disprin kwenda mbele.
Naona umepata pa kuhemea mkuu. Ni kanisa gani linatuhusu kuingia kanisani na nguo nusu uchi? Unafikiri hivyo viboko vilisaidia hao mabinti?
 
Porojo nyiingii kumbe utoko tu,huyo mungu asiyejipigania ahubiri mwenyewe huko mbinguni tumsikie,mbona mnashupaza shingo kumuhubiri mpaka mic zinajaa mate!?
Kuhubiri ndio kumpigania Mungu? Kwani unalazimishwa kuamini si unaamua mwenyewe
 
Nimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.

Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.

Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.

Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!

Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?

Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.

Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
Na wewe pita KULE
 
Nimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.

Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.

Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.

Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!

Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?

Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.

Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
Angeweka Mwalimu wa madrasa anayelawiti watoto saizi maandamano yangekuwa ni kuanzia Mbagala mpaka Bunju 😀
 
Punguza ujuha mungu wenu kama hataki kupiganiwa kwann asitoke huko akajenga akajenga makanisa,au kwann hakushuka mwenyewe kuja kuhubiri badala yake akawatuma manabii ?
Punyeto zimekuathiri sana.
Kukasirika unaruhusiwa
 
Dawa yao ni Samia a.k.a king of Mbuzis, kwanza anawaongoza Masheikh wote, afu kawaambia hawajui kusoma Quran.

Masheikh "Samia anasema muwe mnamalizia ule mstari wa kuoa wanawake wanne" tunaomba majibu? Afu Masheikh gani wanaongozwa na mwanamke?
 
Sasa kwa nini lawama kwa diamond!?..halafu kwaya si ni muziki tu!?
Diamond pale kosa lake ni kuchezea imani za watu,huenda uongozi uribariki lakini jamii ikakemea ndio maana video ikafungiwa,sasa jiulize kwanini dulla makabila kipande cha wimbo wake kamtaja Nabii/mchungaji na basata wameingilia kati,kwakua imani zao za watu zimeguswa
 
Diamond pale kosa lake ni kuchezea imani za watu,huenda uongozi uribariki lakini jamii ikakemea ndio maana video ikafungiwa,sasa jiulize kwanini dulla makabila kipande cha wimbo wake kamtaja Nabii/mchungaji na basata wameingilia kati,kwakua imani zao za watu zimeguswa
Kacheza vipi!?
 
Dawa yao ni Samia a.k.a king of Mbuzis, kwanza anawaongoza Masheikh wote, afu kawaambia hawajui kusoma Quran.

Masheikh "Samia anasema muwe mnamalizia ule mstari wa kuoa wanawake wanne" tunaomba majibu? Afu Masheikh gani wanaongozwa na mwanamke?
Samia anaongoza jamii kubwa kwa mujibu wa katiba yetu inavyotuongoza,kama Samia anaweza atumie cheo chake na kusema Ijumaa hii nitaongoza swala ya Ijumaa na nitakaa kwa upande wa wanaume.....Uone uko kuongoza kwake kama waislamu watakubali
 
Nani alilazimishwa kuhubiri. Wapi ulisikia mtu anakatwa kichwa asipohubiri
Bichwa lako gumu!!..mungu wa kweli hatakiwi kupiganiwa na binaadam kwa kuwa anajiweza mwenyewe,yaani hatakiwi kufanyiwa Jambo na bonaa,Sasa kwa nini hahubiri mwenyewe huko mbinguni tukamsikia na kimfuata badala yake maaskofu,wachungaji,manabii wanahaha kumuhubiri!?
 
Naona umepata pa kuhemea mkuu. Ni kanisa gani linatuhusu kuingia kanisani na nguo nusu uchi? Unafikiri hivyo viboko vilisaidia hao mabinti?
Usijitoe ufahamu makanisa mengi tu tunaona waumini jinsi wanavyovaa utadhani wanakwenda disko, na hili linapigiwa kelele kila leo, kwenye hiyo dini yenu uzungu mwingi mpaka mnavuka mipaka kwenye maadili.
 
Nimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.

Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.

Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.

Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!

Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?

Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.

Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
Whatever ila ujumbe umefika na nyimbo nzuri..
Mm nimependa mlevi kaenda peponi kirahisi tu ..🤣
 
Samia anaongoza jamii kubwa kwa mujibu wa katiba yetu inavyotuongoza,kama Samia anaweza atumie cheo chake na kusema Ijumaa hii nitaongoza swala ya Ijumaa na nitakaa kwa upande wa wanaume.....Uone uko kuongoza kwake kama waislamu watakubali
Inabidi muhame nchi, kwani hamuoni huko taliban wanafanya nini, hadi najiuliza waislam wa TZ ni specie ya wapi?
 
Back
Top Bottom