Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna aliye kasirika bali unatakiwa kujibu swari.Kukasirika unaruhusiwa
Qaswida sio muziki?Kwanza Usialamu unakataza mziki kuwa ni haramu,yaani kiufupi tu ikitokea hata yule mwenye kutunza funguo ya msikiti umwambie muigizie msikitini hawezi kubali ujinga huo,Kitu unavyokiheshimisha ndivyo kinavyopata thamani yake
Imagine mpaka muda huu hawajatoa tamko.Wakristo ndo wana ruhusu huu upuuzi wa kuchezewa dini yao upande wa pili sasa hivi chamoto angekuwa amesha kipata.
Hapa utapinga na kuunga mkono BASATA kufungia wimbo. Kisa wametajwa mashoga lazima mgogoro uwepo na watetezi ndio nyinyiBichwa lako gumu!!..mungu wa kweli hatakiwi kupiganiwa na binaadam kwa kuwa anajiweza mwenyewe,yaani hatakiwi kufanyiwa Jambo na bonaa,Sasa kwa nini hahubiri mwenyewe huko mbinguni tukamsikia na kimfuata badala yake maaskofu,wachungaji,manabii wanahaha kumuhubiri!?
Uvumilivu wetu unawapa kichwa Hawa wapumbavu, niishie hapa kwa leo.Nimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.
Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.
Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.
Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!
Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?
Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.
Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
Sasa mtu kununua Biblia inamsaidia nini Mungu? Hela si ni yake anaitafuta na kutumia anavyotaka. Au ukijilipua unamsaidia nini Mungu?Hakuna aliye kasirika bali unatakiwa kujibu swari.
Kama mungu wenu ahitaji usaidizi hilo kanisa unalo salia limejegwa na mungu?
Au hiyo biblia unayo tumia kumuabudu yy ndo anekununulia?
Bila roma kusimama kidete kuutetea huo ukristo kwa panga siunge sambatishwa na Ottoman?
Bila wakristo kulivamia bara la amerika na kuuwa mamilion ya wahindi wekundu kungekuwepo dini ina itwa ukristo barani Amerika?
Basi punguza shobo na dini za watu abudu unacho kuamini.Sasa mtu kununua Biblia inamsaidia nini Mungu? Hela si ni yake anaitafuta na kutumia anavyotaka. Au ukijilipua unamsaidia nini Mungu?
Yani unadhani kuna hisani binadamu atamfanyia Mungu?
Mbona unanikalipia mkuu, kila mtu na abebe msalaba wake.Usijitoe ufahamu makanisa mengi tu tunaona waumini jinsi wanavyovaa utadhani wanakwenda disko, na hili linapigiwa kelele kila leo, kwenye hiyo dini yenu uzungu mwingi mpaka mnavuka mipaka kwenye maadili.
Nimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.
Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.
Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.
Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!
Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?
Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.
Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
Manabii level za Mtume. Yesu ni level za MunguUpumbavu mlianza wenyewe kuchezea na kuweka kipande cha yesu yule jamaa ..Ambaye bado kundi kubwa la wajinga wanaamini ndo yesu.
Kuwapa watu vyeo vya unabii wakati ni washamba tu kwamba ni manabii level za yesu😂😂😂😂
👉Jiheshimu uheshimike !!
Naona umepata pa kuhemea mkuu. Ni kanisa gani linatuhusu kuingia kanisani na nguo nusu uchi? Unafikiri hivyo viboko vilisaidia hao mabinti?
😂😂😂Manabii level za Mtume. Yesu ni level za Mungu
Au aongeze kipande cha gaidi mmoja wa Al Shabaab aliyelipua watu kwa mabomu, halafu akafika peponi akakabidhiwa mabikira 72, na mito ya pombe.Tukiondoa hiyo changamoto ya mchungaji...
Wimbo wake ni Bora kabisa wa kufungia mwaka.
Namshauri aongeze na kipande Cha Sheikh akiwa kashaoa wake wanne na Bado ana michepuko ya kutosha ili kuweka mizani sawa.
Unaweza ukaingia kushuti video kanisani bila kuruhusiwa na wenye kanisa?Walivizia wenye kanisa hawapo au wenye kanisa waliruhusu!?
😃😃😃😃 hapana sikukalipii mkuuMbona unanikalipia mkuu, kila mtu na abebe msalaba wake.
Siku zote mwanadamu aliyesoma na kuelimika, hufanya maamuzi yake kwa kutumia akili! Ila yule bumunda ambaye hajaelimika, ndiyo hukimbilia kwenye matumizi ya nguvu, kama silaha yake kuu.🤣🤣🤣ukiristo siodini mkuu kwahio wasanii wakiimba kanisani usishangae Wala dulamakabila alicho fanya nikawaidatu kwakua ukiristo niusanii kushinda huo usanii wadula makabila😂😂.ukiristo nikikundi chakukusanya sadakatu hamna kingine chamaana.🤣🤣🤣.uisilamu hauchezewi nanyau yeyote..mmeelewa?au??????????????????????