Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Nimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.

Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.

Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.

Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!

Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?

Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.

Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
mti wenye matunda hupigwa mawe siku zote.

hata muislam hajisikii amani kama hajajipambanisha na mkristo kama benchmark.
 
Nimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.

Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.

Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.

Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!

Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?

Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.

Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
Dini ya kiislamu wanafundishwa itikadi kali, ubaguzi na chuki dhidi ya watu wa imani nyingine ni kiasi cha kuwatibua tu wakuwashie moto ni sawa na mama wa kambo ambae hakupendi ukimpa sababu tu ya kujustify her hatred awezi kukuacha salama ndo maana watu hawaifungamanishi na maigizo ya mambo mabaya sio kwenye mziki tu hata kwenye movie ipo ivyo hata Atheists wakitoa hoja zao mara nyingi wanaitumia dini ya kikristo kama rejea ukiona atheist anatumia uislamu kama rejea ya hoja zake ujue hayupo katika eneo ambalo watu wanaweza kumfikia mfano hapa jf, facebook n.k ila sio mbele za watu maana anajua kitakachofuata
 
Wangeandamana kuchoma moto nyumba, kumbuka kipindi cha 2012 walivosema ndalichako kawafelisha
 
Dini ya kiislamu wanafundishwa itikadi kali, ubaguzi na chuki dhidi ya watu wa imani nyingine ni kiasi cha kuwatibua tu wakuwashie moto ni sawa na mama wa kambo ambae hakupendi ukimpa sababu tu ya kujustify her hatred awezi kukuacha salama ndo maana watu hawaifungamanishi na maigizo ya mambo mabaya sio kwenye mziki tu hata kwenye movie ipo ivyo hata Atheists wakitoa hoja zao mara nyingi wanaitumia dini ya kikristo kama rejea ukiona atheist anatumia uislamu kama rejea ya hoja zake ujue hayupo katika eneo ambalo watu wanaweza kumfikia mfano hapa jf, facebook n.k ila sio mbele za watu maana anajua kitakachofuata
ukiristo sio dini.nikikundi chakikoba kwaajili yakulea matowash na wachungaji
 
Mungu wa wakristo hua anapambana mwenyewe juu dhihaka utakayo mfanyia cos ni yu hai yaani alikufa na akafufuka....ila kwa upande wa pili Mungu wao anategemea binadamu mwampiganie ili aendeleee kueshimiwa cos yeye alijua kabisa siku akifaa na lake halipo hivyoo pindi yupo hai aliweka sheria nyingi ili siku akifaa zimlinde........
Kwa hili wakristo ni jambo la kujivunia kwamba unaabudu Mungu ambaye bado yupo hai na sio Mungu Mfu kama upande wa pili....
 
waislamu hatutegemei miujiza Kama wakiristo wanaoenda kukesha uwanja wataifa kusibiri miujiza yamwamposa mwisho wasiku wanakufa naumaskini wao.wakirito stukeni
 
Mungu wa wakristo hua anapambana mwenyewe juu dhihaka utakayo mfanyia cos ni yu hai yaani alikufa na akafufuka....ila kwa upande wa pili Mungu wao anategemea binadamu mwampiganie ili aendeleee kueshimiwa cos yeye alijua kabisa siku akifaa na lake halipo hivyoo pindi yupo hai aliweka sheria nyingi ili siku akifaa zimlinde........
Kwa hili wakristo ni jambo la kujivunia kwamba unaabudu Mungu ambaye bado yupo hai na sio Mungu Mfu kama upande wa pili....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mungu amekufa naaka fufuka.ukiristo siodiniiiiiiiiii
 
Kwasababu mziki ni haram katika uislam endapo uislam utahusishwa kivyovyoye kwenye mziki ni lazima itazua taharuki kubwa hivyo ndo uislam ulivyoweka misingi yake, ndo maana mtu kabla ya kufanya anapata hofu na anabadilishia mawazo yake kwa kutumia upande wa pili
 
Back
Top Bottom