Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Hahaha jamaa amenifurahisha sana ameongea kwa hisia mno mkuu.unafurah nini mkuu?
anyway, kwenye uislamu huo mziki wenyewe hauruhusiwi huyo kijana anatakiwa kutandikwa viboko hadharani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha jamaa amenifurahisha sana ameongea kwa hisia mno mkuu.unafurah nini mkuu?
ukristo sio rahisi kuuchezea,ni rahisi kuwachezea wakristo.Dini ya kikristo rahisi kuchezewa
Ule upande mwingine, ukiwachezea
Watakushukia kama mwewe
Ova
mti wenye matunda hupigwa mawe siku zote.Nimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.
Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.
Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.
Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!
Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?
Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.
Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
Dini ya kiislamu wanafundishwa itikadi kali, ubaguzi na chuki dhidi ya watu wa imani nyingine ni kiasi cha kuwatibua tu wakuwashie moto ni sawa na mama wa kambo ambae hakupendi ukimpa sababu tu ya kujustify her hatred awezi kukuacha salama ndo maana watu hawaifungamanishi na maigizo ya mambo mabaya sio kwenye mziki tu hata kwenye movie ipo ivyo hata Atheists wakitoa hoja zao mara nyingi wanaitumia dini ya kikristo kama rejea ukiona atheist anatumia uislamu kama rejea ya hoja zake ujue hayupo katika eneo ambalo watu wanaweza kumfikia mfano hapa jf, facebook n.k ila sio mbele za watu maana anajua kitakachofuataNimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.
Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.
Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.
Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!
Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?
Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.
Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
wakiristo ni akili mbilihawa.hamnazo kichwani hawajamaaHahaha jamaa amenifurahisha sana ameongea kwa hisia mno mkuu.
anyway, kwenye uislamu huo mziki wenyewe hauruhusiwi huyo kijana anatakiwa kutandikwa viboko hadharani.
ukiristo sio dini.nikikundi chakikoba kwaajili yakulea matowash na wachungajiDini ya kiislamu wanafundishwa itikadi kali, ubaguzi na chuki dhidi ya watu wa imani nyingine ni kiasi cha kuwatibua tu wakuwashie moto ni sawa na mama wa kambo ambae hakupendi ukimpa sababu tu ya kujustify her hatred awezi kukuacha salama ndo maana watu hawaifungamanishi na maigizo ya mambo mabaya sio kwenye mziki tu hata kwenye movie ipo ivyo hata Atheists wakitoa hoja zao mara nyingi wanaitumia dini ya kikristo kama rejea ukiona atheist anatumia uislamu kama rejea ya hoja zake ujue hayupo katika eneo ambalo watu wanaweza kumfikia mfano hapa jf, facebook n.k ila sio mbele za watu maana anajua kitakachofuata
Wahovyo ni wanaochezewa au wasiochezewa kwenye Dini yao?Hawa watu ni hovyo sana.
Tengeneza wewe clip yako uimbe halafu uwaigize hao masheikh ili muende sawa ila usiwapangie watu chakufanya.mi naona Ingekua vizuri waigizie masheikh
Kumbe majibu munayo wenye sasa munahoji nini.Wakiweka sheikh au msikiti lazima wakatwe vichwa au kupigwa mawe.
Wewe ndio mwehu, naongea reality, ibada yenu haijawahi kuwezekanika bila kuimbaunakichaa kachukue dawa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mungu amekufa naaka fufuka.ukiristo siodiniiiiiiiiiiMungu wa wakristo hua anapambana mwenyewe juu dhihaka utakayo mfanyia cos ni yu hai yaani alikufa na akafufuka....ila kwa upande wa pili Mungu wao anategemea binadamu mwampiganie ili aendeleee kueshimiwa cos yeye alijua kabisa siku akifaa na lake halipo hivyoo pindi yupo hai aliweka sheria nyingi ili siku akifaa zimlinde........
Kwa hili wakristo ni jambo la kujivunia kwamba unaabudu Mungu ambaye bado yupo hai na sio Mungu Mfu kama upande wa pili....
Mambo mengine ni ya elimu tuu, insonyesha uwezo wa kufikiri na elimu aliyonayo. Hajui kuwa any melodic sound is a songLabda ana definition yake ya muziki ambayo hatuijui