Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

🤣🤣🤣ukiristo siodini mkuu kwahio wasanii wakiimba kanisani usishangae Wala dulamakabila alicho fanya nikawaidatu kwakua ukiristo niusanii kushinda huo usanii wadula makabila😂😂.ukiristo nikikundi chakukusanya sadakatu hamna kingine chamaana.🤣🤣🤣.uisilamu hauchezewi nanyau yeyote..mmeelewa?au??????????????????????
 
Upumbavu mlianza wenyewe kuchezea na kuweka kipande cha yesu yule jamaa ..Ambaye bado kundi kubwa la wajinga wanaamini ndo yesu.
Kuwapa watu vyeo vya unabii wakati ni washamba tu kwamba ni manabii level za yesu😂😂😂😂

👉Jiheshimu uheshimike !!
 
Hatuenendi kwa mwili bali kwa roho. Tunamwabudu Mungu katita Roho na kweli. Hawa wenzetu kwa kuwa wako kimwili zaidi ndio maana ukiwasema kidogo tu wanakuua au kukuchomea nyumba.
Na hapa ndo mnapokosea,, hata ukiingia kanisani na nguo nusu uchi kisingizio ni hiki,, kwa kifupi dini yenu nyie wenyewe ndo mnaanza kuichezea mpaka kupelekea na wengine. Yani unakuta mpaka waigizaji mashoga wanaruhusiwa kuingia kanisani kufanya uigizaji wao, kitu ambacho kwa waislam hakiwezi kufanyika. Kipindi cha nyuma nakumbuka pale msikiti wa mtambambani kinondoni akipita mwanamke mbele ya msikiti na vinguo vyake vya ajabu, viboko lazima vimuhusu. Yani disprin kwenda mbele.
 
Wakristo wa sasa hivi wamejaa upumbavu na mafundisho feki kuhusu dini yao. Hata Yesu mwenyewe alikuwa hataki mzaha kabisa na mambo ya imani yake. Aliwafukuza watu waliokuwa wanafanya biashara hekaluni bila kujali lolote. Wakristo wa sasa wangesema Yesu hajali haki za binadamu wala wananchi wanyonge. Sio Yesu tu hata kina Musa, Daudi, Joshua na wengine wa kwenye biblia walikuwa hawataki upumbavu linapokuja suala la imani yao.

Waislamu ninawapongeza kwa kuifundisha dini yao vizuri kwa watoto pia kwa kukataa kuchezewa imani yao. Hata wanaoabudu mizimu hawawezi kukubali uwachezee.

Wakristo tuache ujinga.
 
Punguza ujuha mungu wenu kama hataki kupiganiwa kwann asitoke huko akajenga akajenga makanisa,au kwann hakushuka mwenyewe kuja kuhubiri badala yake akawatuma manabii ?
Punyeto zimekuathiri sana.
 
Wakristo hakika ni wapole haswa na Muumba wa wakristo hahitaji umshikie mapanga binaadam mwenzio bali muachie mwenyewe amalizane naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…