Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Pepo mpaka yesu arudi mzee iyo ndo sheria ya Mungu baba kama yeye kidume afufuke....... ila cha kushangaza mnaleta dharau huku ukweli mnao kabisa yaani bila jesus hakuna kutoboa kiumbe chochote
Pepo gani mnazungumzia?
 
Sawa endeleeni kumuamin tapel Mudy mfanyabiashara wa Jumvi wa miaka iyoo....
 

Kama huyo mungu wako ni huyo aliekutuma kuja kucomment namna hii, si bora hata huyo wa wakristo?

Yani kama kakutuma hivi, basi huyo mungu wako ni MPUMBAVU , ni mpumbavu bila hata kupepesa macho.
 
Mi siingii miskitini kama nyie... ndo maana wengi mliolawitiwa ndo mmekua hovyo sana.
Unaonekana huna malinda na ndio maana akili yako inawaza issue za kulawitiwa tu na upo comfortable kuongelea hizo issue,

Mwanaume rijali Gentleman hawezi kuleta issue za aina hiyo ni aibu,
Wazazi wako wana hasara kubwa sana.
 
Wakiristo siku hizi wanataka kubalance kila kitu hadi madhambi! 😀😀

Sasa akiweka na Sheikh hiyo ndo itaondoa ukweli kuwa kuna mapadri matapeli?

Si ajabu msanii muislamu akitengeneza wimbo kulaani Kibwetere alivyowachoma moto waumini kanisani kuna Wakiristu wafia dini watachukia Utadhani Ukiristo unaruhusu mambo ya Kibwetere!
 
usiwe naharaka kuwamuisilamu kwanza utajua kilakituuu sawa mkuu?
Wachina, wahindu, wajapan na sisi watambikia mizimu ambao hatuamini katika hizo story za kusadikika, mmetuzidi nini?

Yani nini kitanishawishi kuwa muislamu?
 
Wachina, wahindu, wajapan na sisi watambikia mizimu ambao hatuamini katika hizo story za kusadikika, mmetuzidi nini?

Yani nini kitanishawishi kuwa muislamu?
mtuakifa haliyakuwa sio muislamu Moto unamhusu. hubembelezwi Bali chagua Moto au pepo.sawa?
 
mtuakifa haliyakuwa sio muislamu Moto unamhusu. hubembelezwi Bali chagua Moto au pepo.sawa?
Ni nani aliyewahi kufa kisha akarudi kuwashudia haya unayosema, au ni zilezile story za kusadikika?

Ukifa utaoza na kubaki mifupa, hakuna story nyingine.
 
Angeweka na scene ya Ostadh akilawiti au sheikh akila wake za watu ingependeza zaidi halafu Dulla ni muislamu.
 
HATA HIVYO UISLAMU NI KIKUNDI TU CHA WAHUNI, KWANI MUNGU WAO HAWEZI TOA HUKUMU, MPAKA WATU WAKE WANAAMUA KUTOA HUKUMU HAPA HAPA DUNIA. YANI WANAMSAIDIA MUNGU WAO.
YANI I TELL YOU FRIENDS IN JF, MUNGU WA KIISLAM NI DHAHIMFU SANA.
MK254
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…