wastani kwa idadi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 503
- 1,432
Mfano ukiangalia Nairobi wameukamata uchumi kwa kiasi kikubwa sana
ukija TZ wapo wachache ila wamejitahidi kwenye maendeleo, hupendelea biashara za malori.
Shida inakuja huko kwao kuna hali mbaya, Burundi kuna nafuu,
ukija TZ wapo wachache ila wamejitahidi kwenye maendeleo, hupendelea biashara za malori.
Shida inakuja huko kwao kuna hali mbaya, Burundi kuna nafuu,
- vita vya wao kwa wao haviishi
- Huduma za kijamii zipo chini sana
- umasikini uliokithiri
- njaa
- elimu duni
- jeshi dhaifu mno
- serikali imevurugika
- n.k.