Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masikini tu. Level za Kenya.Lebanon si masikini, kaangalie Gdp per capita yao sometime wanawazidi hadi south Africa. Ni uchumi wa Kati wa juu wale.
indonesia? malaysia? qatar,uae? acha kushambulia dini usiyoijua hizo nchi za america kusini zote ni za wakristo mbona zina umaskini wa kutupwaSehemu yoyote dini ya kislam ilipokita mizizi hakunaga maendeleo,ni upuuzi ujinga na umasikini.
Wana Gdp per capita kubwa kushinda Kenya, hao mara kwa mara wanagonga hadi 5000 usd per capita.Masikini tu. Level za Kenya.
Wote wanacheza 2000 hadi 5000. Masikini tu.Wana Gdp per capita kubwa kushinda Kenya, hao mara kwa mara wanagonga hadi 5000 usd per capita.
Kenya Toka ipate Uhuru hata 3000 hawajawahi gusa, wamejitahidi sana ni $2000Wote wanacheza 2000 hadi 5000. Masikini tu.
We unaweza kulinganisha UAE na USA ukasema UAE imepitwa kidogo sana na USA.Afadhali kivipi? Maana vice versa is true,
Kuna Nchi kibao zina Amani na Uchumi wake umepitwa na Somalia
Mfano Madagascar, Burundi, South Sudan, Afrika ya kati, Msumbiji, Niger, etc.
Somalia na Nigeria Gdp per capita zimetofatiana kidogo mno, Somalia ni $770 na Nigeria $870, moja nchi ambayo hata kutawalika haitawaliki nyengine ni nchi yenye mafuta mengi zaidi Africa.
Lebanon ni masikini. Hivi karibuni serikali yao ilikuwa karibu kufirisika. Kinachowaokoa ni remittances. Kama tu Somalia inavyookolewa remittances.Kenya Toka ipate Uhuru hata 3000 hawajawahi gusa, wamejitahidi sana ni $2000
Income zinakua categorised kama hivi
-$1100 kushuka hawa ni low income
-$1100 mpaka $4500 hawa ni lower middle income
-$4500 - $14,500 hawa ni upper middle income
-$14,500 kuendelea ndio uchumi mkubwa.
So nchi ukifika $4500 kupanda tayari ni upper middle, kipato Chao kwa Africa ni level za South Africa, Morocco, Egpty etc.
Per capita basis yes, hawana utofauti sana, there is a reason Ukiwa Raia wa UAE unaingia Nchi 185 visa Free na Usa Ni 186, sababu Individual wana Uchumi mkubwa na ni benefit kwa Raia wake kutembelea Nchi husika.We unaweza kulinganisha UAE na USA ukasema UAE imepitwa kidogo sana na USA.
Elimu ya uchumi siyo kwa kila abdul!
Kuwa na Failed Government haimaanishi individual na raia ni masikini Gdp per capita haidanganyi.Lebanon ni masikini. Hivi karibuni serikali yao ilikuwa karibu kufirisika. Kinachowaokoa ni remittances. Kama tu Somalia inavyookolewa remittances.
Haiti kuna waislam wangapi?Sehemu yoyote dini ya kislam ilipokita mizizi hakunaga maendeleo,ni upuuzi ujinga na umasikini.
Raia masikini. Per capita ya 2000- 3000 inayotegemea pesa wanazitumiwa na ndugu zao walioko ughaibuni ni umaskini.Kuwa na Failed Government haimaanishi individual na raia ni masikini Gdp per capita haidanganyi.
-Tanzania Export 6.8B idadi ya watu 60M roughly 113 USD export per capitaRaia masikini. Per capita ya 2000- 3000 inayotegemea pesa wanazitumiwa na ndugu zao walioko ughaibuni ni umaskini.
Wote masikini. Tumezidiana tu umasikini. Nchi kama Israel inayouza zaidi ya mara kumi yetu ndiyo unaweza sema siyo maskini.-Tanzania Export 6.8B idadi ya watu 60M roughly 113 USD export per capita
-Kenya Exports 7.3B idadi ya watu million 55 roughly 132 USD export per capita
-Lebanon Exports 3.8B idadi ya watu 5.3M roughly 716 USD export per capita.
So si kweli wanategemea misaada ya Dispora kila criteria ya Uchumi wametuacha mbali Tu,
Uongo.Sehemu yoyote dini ya kislam ilipokita mizizi hakunaga maendeleo,ni upuuzi ujinga na umasikini.
hamna nchi ya kikush inayoizidi GDP nchi ya kibantuwale ni wakish ndg yangu sio wabantu wamependeleaa akili kuliko sisi
wajinga mara zote hugombana wao kwa waoKwanini hakuna amani? Kuna nchi imewavamia?