Kwa research niliyo ifanya mtandaoni hususani instagram, pamoja na radion (kupitia vipindi vya michezo) nimegundua watangazaji na wachambuzi wa mpira wengi wao ni YANGA
mf. pale wasafi sports Arena wote wale ni jangwani, EFM ukiondoa Ibrahim Maestro walio baki wote ni yanga, CLOUDS ndiyo kabisa.
Hii inasababisha hata yanga akiwa na makando kando kwenye mechi au migogoro ndani ya club utaona wanayaficha ficha.
Lakini ikiwa upande wa simba wataandika watachambua hao mpaka nucta
Wanatukosea sana sisi wasikilizaji na wafuatiliaji wa habari za michezo mitandaoni