Shida sio lugha ya kiswahili,shida in lugha ya kiingereza huwezi amini hapa bongo hata MTU mwenye PhD kizungu kinamsumbua just imagine
MTU first degree stela maris university
Masters:mzumbe university
PhD:udsm
Hiyo mtu hajapata exposure yeyote kwenye lugha ya kingereza(kuishi na native speakers) hivi unazan MTU kama huyo abakubalika kimataifa au kuweza kushawishika kufundisha hicho kiswahili huko Japan amezrzika na salary yake ya 1.2ml
Kusoma hizoo course za kiingerza sio mchezo ada sio chini ya 500000 za kibongo
Wakenya na waganda kiingerza kibawabeba sana kwwnye soko la ajira,kuna mwaka Fulani nlikuwa hong Kong wakenya na waganda wamejaa mbaya na wanapata kazi za ndani n house boy sababu tu anajua kiingereza so atatoa msaada mkubw kwa mtot wake
Kuliko umuajiri mbongo mwenye degree ya kubabaisha asiyejua kingerza vizur bora umuajir mkenya au mganda aliyeishia shule ya msingi akulelee mtoto wako
Changamoto nyingine hatujui wapi pa kuanzia,yan hutujui hata hiyo passport mtu hajui anaipataje yan?
Cha mwisho kabisa ni mtaji ,ujue ukiwaza kwenda hata hapo Malaysia bila dollar 1000 unakuwa deported, hebu waza.
Passport 200000/=
Visa dollor120
Flight ticket 670
Accommodation per day50$
Health insurance 154$/3 month
Kibongo bongo sio rahisi kuyamudu hayo yote ukitarajua kuwa ndii umemaliza chuo
Sent using
Jamii Forums mobile app