Kwanini watanzania hasa waliosomea Lugha wanashindwa kuchangamkia fursa za kazi za ualimu wa Kiswahili, Kiingereza na utafsiri wa lugha nchini Japan

Kwanini watanzania hasa waliosomea Lugha wanashindwa kuchangamkia fursa za kazi za ualimu wa Kiswahili, Kiingereza na utafsiri wa lugha nchini Japan

Parabola, mtu huku bongo anaisoma lugha ili afaulu apate cheti ili a graduate na kula mpunga na ndugu zake lakini muulize alichokisomea kama anaweza kukifanyia kazi

Huyo mwenye masters ya linguistics and translation, mpe page moja ya kwahili akutafsrie kwa kingereza utacheka ufe

Alafu umuambie akamfundushe lugha ya kiswahili mzungu?

Mzungu wa watu atakaa miaka kumi bila kuelewa anachikisoma

Ulishawahi kuskia kiingerza cha wazir wa elimu professor Joyce Ndalichako?

Na kwa kingereza kile sasa ndio amejionowa kwa kusoma Canada, jiulize je asingeenda kusoma huko angeongea nn na yule mchina?



Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀 utakuwa hauko serious kabisa mkuu, mimi ndalichako nilimuacha akiwa katibu wa NECTA na wala sikuwahi kujua kama ni waziri wa elimu kwa sasa na hata sijawahi kumsikia popote akiongea
 
Tuna kasumba hizi

1. Uvivu wa kusoma na kufutilia mambo mfano kwenye mitandao kuna fursa nyingi za ajira nje na free courses ila umakini na persistence ya kusoma all small details na kuapply hatuna. Kwa mfano uweke link hapo yenye page 7 tu bado mtu atauliza naomba nifanyie mchongo. Angalia hata mashirika ya kimataifa hapo Geneva watanzania ni wachache sana si kwamba hatuna elimu ila sijui elimu yetu imetulemaza hatu compete kivyetu vyetu sielewi.

2. Kuamini kuwa kila kazi ni connection: vijana wengi huamini hivi na kukata tamaa ya kusaka ajira nje

3. Fear of unknown. Yaani hujui unaogopa nini ila tunaogopa tu kwenda kufanya kazi mbali na nyumbani hatutaki mwenda nje ya comfort zone zetu.

4. Kubweteka na degree na masters zetu. Kuna course nyingi za soft skills zinazomuongezea mtu thamani mf presentation skills, team work, language etc ila tunabweteka na masters tunasahau kila mwaka thamani ya ulichosoma jana inapungua. Mfano fani ya Computer science huwezi kuwa umegraduate mwaka juzi ukasema umetosheka na programming languages za enzi zile lazima uwe unajinoa hapa na pale sasa vijana wa leo wanaringia vyeti na picha kubwa za graduation parties. Kumbuka pia interview za mashirika makubwa wana muassess mtu kwenye competencies nyingi haswa soft skills na upembuzi wake katika mambo kadha wa kadha nje ya fani yake.

5. Kutokuelekezana kwa waliofanikiwa. Mkuu nikupongeze kwa thread nzuri ila baadhi ya waliotoka na kufanikiwa hawatoi mrejesho chanya hata kuwapa moyo wadogo wajaribu. Kuna waliojaribu kufungua hadi blogs hao tunawapa sifa za jinsi ya kupata scholarships ila bado wengi wangeweza ku shed light kwa wenzao.

6. Kuogopa macho ya jamii. Katika jitihada hizi kijana anawaza dah sijui ntaonekanaje . Je nikifeli si ntachekwa na classmates wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
basi ni changamoto kama ni hivi, na tusikubali tu soko la pamoja la ajira la Africa mashariki maana wenzetu watatawala katika mashirika yote ya EA ni bora tubaki hivohivo kama hali ni hii
 
Parabola, mtu huku bongo anaisoma lugha ili afaulu apate cheti ili a graduate na kula mpunga na ndugu zake lakini muulize alichokisomea kama anaweza kukifanyia kazi

Huyo mwenye masters ya linguistics and translation, mpe page moja ya kwahili akutafsrie kwa kingereza utacheka ufe

Alafu umuambie akamfundushe lugha ya kiswahili mzungu?

Mzungu wa watu atakaa miaka kumi bila kuelewa anachikisoma

Ulishawahi kuskia kiingerza cha wazir wa elimu professor Joyce Ndalichako?

Na kwa kingereza kile sasa ndio amejionowa kwa kusoma Canada, jiulize je asingeenda kusoma huko angeongea nn na yule mchina?




Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mwenye masters ya linguistics and translation, mpe page moja ya kwahili akutafsrie kwa kingereza utacheka ufe

Alafu umuambie akamfundushe lugha ya kiswahili mzungu?

Mzungu wa watu atakaa miaka kumi bila kuelewa anachikisoma

Ulishawahi kuskia kiingerza cha wazir wa elimu professor Joyce Ndalichako?

Na kwa kingereza kile sasa ndio amejionowa kwa kusoma Canada, jiulize je asingeenda kusoma huko angeongea nn na yule mchina?


😀😀😀😀 hahaha wewe mtu sio mzuri kabisa hahaha
 
Mkuu Asante kwa kwa thread nzuri binafsi nimefuatilia sana za China shida ni moja kama sio native speaker kupata kaZi kama sio native speaker ni shida hata visa huwez kupata nishafuatilia sana.Pili ukiwa Ngozi nyeusi hata ukipata inabidi uwambie wanafunzi unatoka either UK,US au Australia nk.Hata hao wakenya na waganda yawezekana wanafundisha bila kua na kibali jamaa wako strict sana hata Japan.Hapo tukomae na Kiswahili chetu tutatoboa.
 
Inawezekana waJp hawakuwataarifu wizara ya mambo ya nje, au wao wakalikalia hiyo fursa ili tukose wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo linaweza kuwa kwa balozi wa Tanzania Japan pia,Anapaswa aangalie fursa kwa vijana wa kitanzania na ahakikishe vijana wengi kadri inavyowezekana wanazitumia.
 
Mkuu Asante kwa kwa thread nzuri binafsi nimefuatilia sana za China shida ni moja kama sio native speaker kupata kaZi kama sio native speaker ni shida hata visa huwez kupata nishafuatilia sana.Pili ukiwa Ngozi nyeusi hata ukipata inabidi uwambie wanafunzi unatoka either UK,US au Australia nk.Hata hao wakenya na waganda yawezekana wanafundisha bila kua na kibali jamaa wako strict sana hata Japan.Hapo tukomae na Kiswahili chetu tutatoboa.
Kwa kutumia kiswahili hutaweza kwenda Fanya kazi nchi yeyote labda kenya ukauze githeli!

Ili kiswahili kiwe na soko kwako lazima uwe competent kwenye lugha ya kiingereeza pia na hapo ndio pagumu

Ukiskia mtu yupo competency kwenye lugha inatakiwa awe na uelewa wa skills nne

Listening skills
Reading skills
Speaking skills and
Writing skills

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kutumia kiswahili hutaweza kwenda Fanya kazi nchi yeyote labda kenya ukauze githeli!

Ili kiswahili kiwe na soko kwako lazima uwe competent kwenye lugha ya kiingereeza pia na hapo ndio pagumu

Ukiskia mtu yupo competency kwenye lugha inatakiwa awe na uelewa wa skills nne

Listening skills
Reading skills
Speaking skills and
Writing skills

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umesema ukweli kabisa
 
Tatizo linaweza kuwa kwa balozi wa Tanzania Japan pia,Anapaswa aangalie fursa kwa vijana wa kitanzania na ahakikishe vijana wengi kadri inavyowezekana wanazitumia.
Siyaelewi majukumu yao huwa nini ukiachana na masuala ya kidplomasia
 
Mkuu Asante kwa kwa thread nzuri binafsi nimefuatilia sana za China shida ni moja kama sio native speaker kupata kaZi kama sio native speaker ni shida hata visa huwez kupata nishafuatilia sana.Pili ukiwa Ngozi nyeusi hata ukipata inabidi uwambie wanafunzi unatoka either UK,US au Australia nk.Hata hao wakenya na waganda yawezekana wanafundisha bila kua na kibali jamaa wako strict sana hata Japan.Hapo tukomae na Kiswahili chetu tutatoboa.
Hili ngoja nilifuatilie
 
Tatzo ni mfumo wetu wa elimu, vyuo vinazalisha magalasa badala ya wataalam
 
Kwa kutumia kiswahili hutaweza kwenda Fanya kazi nchi yeyote labda kenya ukauze githeli!

Ili kiswahili kiwe na soko kwako lazima uwe competent kwenye lugha ya kiingereeza pia na hapo ndio pagumu

Ukiskia mtu yupo competency kwenye lugha inatakiwa awe na uelewa wa skills nne

Listening skills
Reading skills
Speaking skills and
Writing skills

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo skills ni za kawaida kaka inategemea tu msingi uliokua nao.Binafsi hizo skills ninaZimudu.Nina exposure ya kutosha na foreigners haswa kutoka USA.Sikatai kwa wabongo wengine.Mimi nilienda hadi BAKITA waniingize kwenye kanzi data yao nikaambiwa hata kama nilisoma Linguistics kama sikusoma Kiswahili Niko Illegible.So sometimes vikwazo vinaanzia home.
 
Hizo skills ni za kawaida kaka inategemea tu msingi uliokua nao.Binafsi hizo skills ninaZimudu.Nina exposure ya kutosha na foreigners haswa kutoka USA.Sikatai kwa wabongo wengine.Mimi nilienda hadi BAKITA waniingize kwenye kanzi data yao nikaambiwa hata kama nilisoma Linguistics kama sikusoma Kiswahili Niko Illegible.So sometimes vikwazo vinaanzia home.
😳😳😳Mkuu hii unasema kweli?
 
Mkuu Asante kwa kwa thread nzuri binafsi nimefuatilia sana za China shida ni moja kama sio native speaker kupata kaZi kama sio native speaker ni shida hata visa huwez kupata nishafuatilia sana...
Mbona kuna profesa mmoja anaitwa mbele anafundisha kiswahili chuo kikubwa huko America, tusijidharau kwa rangi nafikiri kama uko vizuri unapata tu
 
Back
Top Bottom