Kwanini Watanzania hatujaambiwa Ziara ya Rais Samia huko Marekani itakuwa ni ya Siku ngapi?

Kwanini Watanzania hatujaambiwa Ziara ya Rais Samia huko Marekani itakuwa ni ya Siku ngapi?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Tumeishia kuambiwa tu anasafiri Kikazi nchini Marekani ila walipa Kodi ( Watanzania ) hatujaambiwa Rais wetu atakuwa huko kwa Siku ngapi.

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu hapa mmeteleza kidogo kwani Watanzania wana Haki ya kujua Rais wao atakuwa huko nchini Marekani kwa Siku ngapi hasa mkizingatia hii ni Ziara ya Kikazi na siyo Binafsi.
 
Una hakika gani ni ya kikazi sasa? Inawezekana ni binafsi lakini inaonekana kikazi juu juu
 
Ameenda kuzindua Bongo movie yake, kwahy yupo mpaka siku ya mwisho ya uzinduzi (nadhani itakuwa ni New York 14 April na Los Angeles 18 April)
 
Una hakika gani ni ya kikazi sasa? Inawezekana ni binafsi lakini inaonekana kikazi juu juu
Sometimes muwe mnatumia Akili ili msionekane ni Hopeless Creatures hapa JamiiForums sawa? Pitia pages zote za Ikulu au Msemaji wake au Msemaji wa Serikali zote wamesema ni Ziara ya Kikazi huko Marekani na hawajasema ni ya Siku ngapi.
 
Kingineeeeee...nna vijipesa nimevitoa mahala nitakuongezea mdogo wangu January.......
 
Sometimes muwe mnatumia Akili ili msionekane ni Hopeless Creatures hapa JamiiForums sawa? Pitia pages zote za Ikulu au Msemaji wake au Msemaji wa Serikali zote wamesema ni Ziara ya Kikazi huko Marekani na hawajasema ni ya Siku ngapi.
Na akili nyingi huondoa maarifa, maana yangu ni inawezekana wametangaza ni ya kikazi tu lakini ni binafsi
 
Back
Top Bottom