Kwanini Watanzania hatujaambiwa Ziara ya Rais Samia huko Marekani itakuwa ni ya Siku ngapi?

Kwanini Watanzania hatujaambiwa Ziara ya Rais Samia huko Marekani itakuwa ni ya Siku ngapi?

Na katika hizo 10 ~6 zinaenda Zanzibar 4 Tanganyika na ukija kutoa garama za nauli na posho za wazee wa unanijua mininani?asala bwelai faida uambai
Na katika bilioni 10 tutalipa riba bilioni 5, jumla bilioni 15, na zote zitalipwa na Tanganyika huku Zanzibar ikisamehewa
 
Tumeishia kuambiwa tu anasafiri Kikazi nchini Marekani ila walipa Kodi ( Watanzania ) hatujaambiwa Rais wetu atakuwa huko kwa Siku ngapi.

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu hapa mmeteleza kidogo kwani Watanzania wana Haki ya kujua Rais wao atakuwa huko nchini Marekani kwa Siku ngapi hasa mkizingatia hii ni Ziara ya Kikazi na siyo Binafsi.
Sio lazima uambiwe,wewe uliza je majukumu ya Rais hayafanyiki?

Pili Buhari huwa akiugua huwa hawaambii wa Nigeria kwamba nitatibiwa kwa muda fulani ni mpaka atakaporudi na mambo yanaenda.
 
Tumeishia kuambiwa tu anasafiri Kikazi nchini Marekani ila walipa Kodi ( Watanzania ) hatujaambiwa Rais wetu atakuwa huko kwa Siku ngapi.

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu hapa mmeteleza kidogo kwani Watanzania wana Haki ya kujua Rais wao atakuwa huko nchini Marekani kwa Siku ngapi hasa mkizingatia hii ni Ziara ya Kikazi na siyo Binafsi.
Unalipa kodi? tukitaka kujuwa ya watu sote tunakuwa walipa kodi mwache Mama afanye kazi wewe pigana na maisha huku vitu vinapanda wewe unataka kujuwa Mama anaenda siku ngapi itasaidia nini. Kwanza hakuna watu wanakwepa kodi kama nchi hii
 
Mama yupo Kazn...
Juzi kinana kakutana na balozi wa markan, Leo mama anaenda hukohuko jikoni. Kuna jambo c bure . Mayele anaupiga mwingi
Kwa hiyo ulitaka afanye ziara za bure?

Screenshot_20220413-194921.png


Screenshot_20220413-195141.png
 
Tumeishia kuambiwa tu anasafiri Kikazi nchini Marekani ila walipa Kodi ( Watanzania ) hatujaambiwa Rais wetu atakuwa huko kwa Siku ngapi.

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu hapa mmeteleza kidogo kwani Watanzania wana Haki ya kujua Rais wao atakuwa huko nchini Marekani kwa Siku ngapi hasa mkizingatia hii ni Ziara ya Kikazi na siyo Binafsi.

Suburini mahari​

 
Tumeishia kuambiwa tu anasafiri Kikazi nchini Marekani ila walipa Kodi ( Watanzania ) hatujaambiwa Rais wetu atakuwa huko kwa Siku ngapi.

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu hapa mmeteleza kidogo kwani Watanzania wana Haki ya kujua Rais wao atakuwa huko nchini Marekani kwa Siku ngapi hasa mkizingatia hii ni Ziara ya Kikazi na siyo Binafsi.
Uongozi wa hovyo huu.
 
Kama hajaenda kutuingiza kwenye mkopo mwingine sijui?
Bora mama yeye ni muwazi. Jiwe alikuwa anakopa kisiri na kudanganya uma. Wenye akili tulishtuka ila wale wenzangu na mimi aka Wanyonge na Sukuma gang wao ni kuimba mapambio tu.
 
Unalipa kodi? tukitaka kujuwa ya watu sote tunakuwa walipa kodi mwache Mama afanye kazi wewe pigana na maisha huku vitu vinapanda wewe unataka kujuwa Mama anaenda siku ngapi itasaidia nini. Kwanza hakuna watu wanakwepa kodi kama nchi hii
Hapo mwana lumumba unaona umeongea la maana
 
Back
Top Bottom