MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Nilikuwa nafikiri kuwa mama kashika sana Dini yake. Hivyo, mwezi huu wa RAMADHANI, asingekuwa na safari za mbali sana na nyumbani, hasa kwa shughuri ambayo anaweza kuifanya wakati mwingine kama hiyo aliyoenda kuifanya!Ameenda kupumzika Pasaka
Anaenda kukopa bilioni 10 huku safari ikigharimu bilioni 6Mkuu wacha mama afuate vijipesa!!
Sometimes muwe mnatumia Akili ili msionekane ni Hopeless Creatures hapa JamiiForums sawa? Pitia pages zote za Ikulu au Msemaji wake au Msemaji wa Serikali zote wamesema ni Ziara ya Kikazi huko Marekani na hawajasema ni ya Siku ngapi.Una hakika gani ni ya kikazi sasa? Inawezekana ni binafsi lakini inaonekana kikazi juu juu
Na katika hizo 10 ~6 zinaenda Zanzibar 4 Tanganyika na ukija kutoa garama za nauli na posho za wazee wa unanijua mininani?asala bwelai faida uambaiAnaenda kukopa bilioni 10 huku safari ikigharimu bilioni 6
Wakati huo safari inagharamiwa na TanganyikaNa katika hizo 10 ~6 zinaenda Zanzibar 4 Tanganyika na ukija kutoa garama za nauli na posho za wazee wa unanijua mininani?asala bwelai faida uambai
Kama hajaenda kutuingiza kwenye mkopo mwingine sijui?
😁😁 Nyie watu bhana nimewashindwaAnaenda kukopa bilioni 10 huku safari ikigharimu bilioni 6
Kaenda kubembeaUna hakika gani ni ya kikazi sasa? Inawezekana ni binafsi lakini inaonekana kikazi juu juu
Na akili nyingi huondoa maarifa, maana yangu ni inawezekana wametangaza ni ya kikazi tu lakini ni binafsiSometimes muwe mnatumia Akili ili msionekane ni Hopeless Creatures hapa JamiiForums sawa? Pitia pages zote za Ikulu au Msemaji wake au Msemaji wa Serikali zote wamesema ni Ziara ya Kikazi huko Marekani na hawajasema ni ya Siku ngapi.