FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Na katika bilioni 10 tutalipa riba bilioni 5, jumla bilioni 15, na zote zitalipwa na Tanganyika huku Zanzibar ikisamehewaNa katika hizo 10 ~6 zinaenda Zanzibar 4 Tanganyika na ukija kutoa garama za nauli na posho za wazee wa unanijua mininani?asala bwelai faida uambai
Sio lazima uambiwe,wewe uliza je majukumu ya Rais hayafanyiki?Tumeishia kuambiwa tu anasafiri Kikazi nchini Marekani ila walipa Kodi ( Watanzania ) hatujaambiwa Rais wetu atakuwa huko kwa Siku ngapi.
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu hapa mmeteleza kidogo kwani Watanzania wana Haki ya kujua Rais wao atakuwa huko nchini Marekani kwa Siku ngapi hasa mkizingatia hii ni Ziara ya Kikazi na siyo Binafsi.
Unalipa kodi? tukitaka kujuwa ya watu sote tunakuwa walipa kodi mwache Mama afanye kazi wewe pigana na maisha huku vitu vinapanda wewe unataka kujuwa Mama anaenda siku ngapi itasaidia nini. Kwanza hakuna watu wanakwepa kodi kama nchi hiiTumeishia kuambiwa tu anasafiri Kikazi nchini Marekani ila walipa Kodi ( Watanzania ) hatujaambiwa Rais wetu atakuwa huko kwa Siku ngapi.
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu hapa mmeteleza kidogo kwani Watanzania wana Haki ya kujua Rais wao atakuwa huko nchini Marekani kwa Siku ngapi hasa mkizingatia hii ni Ziara ya Kikazi na siyo Binafsi.
Kwa hiyo ulitaka afanye ziara za bure?Mama yupo Kazn...
Juzi kinana kakutana na balozi wa markan, Leo mama anaenda hukohuko jikoni. Kuna jambo c bure . Mayele anaupiga mwingi
Wee 👇Chief Hangaya akiwa anatoka wala hawamuoneshi kapanda ndege gani ila akirudi utakuta wanatoa pich ya Emirates anashuka!
Kumbe kwembe kwenda anaendaga na Boeing ya air tanzania, ila ataki watu wajue watamsema ila anasubr sifa za kutumia ndege ya abiria ya Emirates akiwa anarudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeishia kuambiwa tu anasafiri Kikazi nchini Marekani ila walipa Kodi ( Watanzania ) hatujaambiwa Rais wetu atakuwa huko kwa Siku ngapi.
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu hapa mmeteleza kidogo kwani Watanzania wana Haki ya kujua Rais wao atakuwa huko nchini Marekani kwa Siku ngapi hasa mkizingatia hii ni Ziara ya Kikazi na siyo Binafsi.
Uongozi wa hovyo huu.Tumeishia kuambiwa tu anasafiri Kikazi nchini Marekani ila walipa Kodi ( Watanzania ) hatujaambiwa Rais wetu atakuwa huko kwa Siku ngapi.
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu hapa mmeteleza kidogo kwani Watanzania wana Haki ya kujua Rais wao atakuwa huko nchini Marekani kwa Siku ngapi hasa mkizingatia hii ni Ziara ya Kikazi na siyo Binafsi.
Hopeless Creature Nigeria ni reference ya Tanzania?Sio lazima uambiwe,wewe uliza je majukumu ya Rais hayafanyiki?
Pili Buhari huwa akiugua huwa hawaambii wa Nigeria kwamba nitatibiwa kwa muda fulani ni mpaka atakaporudi na mambo yanaenda.
Ndio.Hopeless Creature Nigeria ni reference ya Tanzania?
Bora mama yeye ni muwazi. Jiwe alikuwa anakopa kisiri na kudanganya uma. Wenye akili tulishtuka ila wale wenzangu na mimi aka Wanyonge na Sukuma gang wao ni kuimba mapambio tu.Kama hajaenda kutuingiza kwenye mkopo mwingine sijui?
Kaenda sayari nyingine au Marekani?Anaenda kukopa bilioni 10 huku safari ikigharimu bilioni 6
Wazee wa legacy, poleni sana kwa kufiwa na mungu wenu. Mungu ni mwema siku zote. Lijamaa lingeifikisha nchi sehemu mbaya sanaDuuu my lost country Tanzania
Rest in peace JPM
Nakushauri uhamie ZanzibarNa katika bilioni 10 tutalipa riba bilioni 5, jumla bilioni 15, na zote zitalipwa na Tanganyika huku Zanzibar ikisamehewa
Hapo mwana lumumba unaona umeongea la maanaUnalipa kodi? tukitaka kujuwa ya watu sote tunakuwa walipa kodi mwache Mama afanye kazi wewe pigana na maisha huku vitu vinapanda wewe unataka kujuwa Mama anaenda siku ngapi itasaidia nini. Kwanza hakuna watu wanakwepa kodi kama nchi hii
Anaenda kukopa bilioni 10 huku safari ikigharimu bilioni 6