Kwanini Watanzania lazima tuweke magrill kwenye madirisha?

Kwanini Watanzania lazima tuweke magrill kwenye madirisha?

Je ni kwanini watanzania wengi lazima tuweke magrill kwenye nyumba zetu mbona marekani ujambazi ni mwingi kuliko kwetu lakini hawawekagi magrill kwenye madirisha?
Je unaweza kuishi kwenye nyumba isiyo na magrill?
Hatuna usalama na amani inayohubiriwa.

Polisi ndio haohao majambazi

Wanajeshi ndio haohao majambazi.

Dubai tumewapa bandari watuendeshee, Saudi Arabia tuwape mahakama waziendeshe.

Saudi Arabia polisi akikupeleka mahakamani akisema uchuguzi huajakamilika anawekwa yeye ndani kwa kukuonea.
 
Hapana mkuu
Hayo yako[emoji23]
Unazingua sana wewe
Unajua ukweli sema unapindisha pindisha
unazingua
Mkuu ukweli siujui na siwezi kuambiwa.
Japo ndio umeambiwa upande mmoja.

Niwe mkweli, ikiwa ni kile chuma ni sahihi.
Ni bora sana
Kama ingetakiwa recommendation letter nahisi ningemwandikia iliyo bora kabisa na kila mwanaume angependa kuwa wake.

Nikiri yule ni kiumbe bora kabisa yaani ubora wa hali ya juu.
Na ikiwa unamiliki sina budi kukupongeza kwa moyo mweupe kabisa.
 
Mkuu ukweli siujui na siwezi kuambiwa.
Japo ndio umeambiwa upande mmoja.

Niwe mkweli, ikiwa ni kile chuma ni sahihi.
Ni bora sana
Kama ingetakiwa recommendation letter nahisi ningemwandikia iliyo bora kabisa na kila mwanaume angependa kuwa wake.

Nikiri yule ni kiumbe bora kabisa yaani ubora wa hali ya juu.
Na ikiwa unamiliki sina budi kukupongeza kwa moyo mweupe kabisa.
Dah we jamaa una PhD ya uwongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Je, ni kwanini watanzania wengi lazima tuweke magrill kwenye nyumba zetu mbona marekani ujambazi ni mwingi kuliko kwetu lakini hawawekagi magrill kwenye madirisha?

Je, unaweza kuishi kwenye nyumba isiyo na magrill?
Inategemea unaishi maeneo gani ila katika maeneo mengi bila grill hatari sana. Grill zipo wanakata wanakuiba ije kuwa bila grill. Mimi mwenyewe zisipendi ila hamna namna.
Halafu kumbuka wao wanaweka na security systems sometimes mtu akiingia alarm zinapga.
 
Je, ni kwanini watanzania wengi lazima tuweke magrill kwenye nyumba zetu mbona marekani ujambazi ni mwingi kuliko kwetu lakini hawawekagi magrill kwenye madirisha?

Je, unaweza kuishi kwenye nyumba isiyo na magrill?
Acha usiweke utakuja kurudi kubadili heading
 
Grille ni mahususi kuzuia Vibaka na wadokozi wala sio kumzuia Jambazi... na kibaka ni rahisi kumzuia simply kwa electric fence na alarm system, basii....
Jambazi mwenye bunduki grille yako haimzuii chochote, na tushukuru vyombo vyetu vya usalama, siku hizi ujambazi umepungua mno.. soo kwangu mimi grille hazina maana na nimejenga mwaka wa nne sasa bila grille na sijawahi kupata changamoto yoyote ile. Cha msingi nilichohakikisha ni proper security kwenye perimeter kwa kuweka electric fence na alarm system.
Tizama hata mahoteli yote ya kitalii, au nyumba za wazungu Arusha, hakuna hata moja iliyowahi kuwekwa Grille.
Tuamke na tuache ushamba wa kizamani.
 
Grille ni mahususi kuzuia Vibaka na wadokozi wala sio kumzuia Jambazi... na kibaka ni rahisi kumzuia simply kwa electric fence na alarm system, basii....
Jambazi mwenye bunduki grille yako haimzuii chochote, na tushukuru vyombo vyetu vya usalama, siku hizi ujambazi umepungua mno.. soo kwangu mimi grille hazina maana na nimejenga mwaka wa nne sasa bila grille na sijawahi kupata changamoto yoyote ile. Cha msingi nilichohakikisha ni proper security kwenye perimeter kwa kuweka electric fence na alarm system.
Tizama hata mahoteli yote ya kitalii, au nyumba za wazungu Arusha, hakuna hata moja iliyowahi kuwekwa Grille.
Tuamke na tuache ushamba wa kizamani.
Unalindwa na vyombo vya usalama mkuu?Nchi hiihii au ni kule Mocambique?
 
Back
Top Bottom