Kwanini Watanzania lazima tuweke magrill kwenye madirisha?

Kwanini Watanzania lazima tuweke magrill kwenye madirisha?

chungasana

Mungu duniani hayupo

Marekani walivyojirisha hayupo ,walipangilia Mitaa na kuboresha huduma za kiulinzi...
 
Je, ni kwanini watanzania wengi lazima tuweke magrill kwenye nyumba zetu mbona marekani ujambazi ni mwingi kuliko kwetu lakini hawawekagi magrill kwenye madirisha?

Je, unaweza kuishi kwenye nyumba isiyo na magrill?
Panya road wengi 🏃🏃
 
Nimeona Waarabu wengi wanapenda Sana kufunga ukuta mrefu
Wengi wa aina hii ni antisocial kwa Wana mtaa kubadilika ni shughuli
Kanuni za ujenzi zinaweza kutungwa kuzuia ujenzi kama huo, mfano sehemu nyingi US huwezi kujenga ukuta kama fence, na unaruhusiwa kwa urefu fulani tuu uliokubalika kisheria, tatizo maukuta marefu ya cement yanazuia mtiririko wa hewa na kufanya makazi yaonekane ya ovyo sana
 
Kanuni za ujenzi zinaweza kutungwa kuzuia ujenzi kama huo, mfano sehemu nyingi US huwezi kujenga ukuta kama fence, na unaruhusiwa kwa urefu fulani tuu uliokubalika kisheria, tatizo maukuta marefu ya cement yanazuia mtiririko wa hewa na kufanya makazi yaonekane ya ovyo sana
Wazo zuri pia
 
We unaongea nini? Bila grill hapo utajikuta mpk mwenyewe umebakwa hapo washaiba kila kitu.
Unaijua ndoano?
Siku nimechill hapo gheto kwangu na simu pembeni naliona jamaa kaingiza bonge la jiti lina nanga mbele kisa aibe simu.
Hapo nipo macho namchora tu.
Nilivuta lile jiti kwa spidi nikarirudisha kwa spidi ile ile nikasikia yowe tu huko nje kama hakutoboka macho huko nje litakua lilimtwanga mahali usoni.
Hakujua km kaenda kuiba kwa shaolin master
 
We unaongea nini? Bila grill hapo utajikuta mpk mwenyewe umebakwa hapo washaiba kila kitu.
Unaijua ndoano?
Siku nimechill hapo gheto kwangu na simu pembeni naliona jamaa kaingiza bonge la jiti lina nanga mbele kisa aibe simu.
Hapo nipo macho namchora tu.
Nilivuta lile jiti kwa spidi nikarirudisha kwa spidi ile ile nikasikia yowe tu huko nje kama hakutoboka macho huko nje litakua lilimtwanga mahali usoni.
Hakujua km kaenda kuiba kwa shaolin master
Shaolin, hii chai
 
Mimi naweka wazi nini maslahi na biashara za gereji!
mtoa mada nadhani majibu umeyapata kutokana na wachangiaji walio tangulia!ila pia kuna njia nyingi za kujilinda kwa teknolojia!
MWISHO DESIGN KAMA UNAONA WATU WA WELDING TUNAFAIDI SANA?KARIBU TUVIMBE MACHO NA KUCHOMA.
 
Hatuna usalama na amani inayohubiriwa.

Polisi ndio haohao majambazi

Wanajeshi ndio haohao majambazi.

Dubai tumewapa bandari watuendeshee, Saudi Arabia tuwape mahakama waziendeshe.

Saudi Arabia polisi akikupeleka mahakamani akisema uchuguzi huajakamilika anawekwa yeye ndani kwa kukuonea.
Something hakipo sawa. Take a break kuhusu hii mambo ya waarab. Ungekuwa unathamini sana hao ungeenda kuishi huko. Mbona uwezo wako umekuwa tofauti sana kipindi hiki dada? Ni suala la bandari tuu au kuna mengine?
 
Wengine wanaweka grill kwa sababu ya mchwa. Mimi pia sipendi grill lakini maeneo ninayokaa kuna mchwa hatari sana. Nafkiri grill inafaa sana na inaweza kuwa grill bila kioo.
 
Something hakipo sawa. Take a break kuhusu hii mambo ya waarab. Ungekuwa unathamini sana hao ungeenda kuishi huko. Mbona uwezo wako umekuwa tofauti sana kipindi hiki dada? Ni suala la bandari tuu au kuna mengine?
Mimi naamini 100% wewe huelewi hata Waarabu maana yake nini.


Wewe nchi hii siyo mwenyeji zaidi ya Waarabu, kama unabisha tuambie wewe ni mbantu wawapi tukueleze umetokea wapi na lini, halafuu ujilinganishe na uwepo wa Waarabu hapa pwani ya Afrika mashariki.


Naona una macho lakini hayaoni, una masikio lakini hayasikii. Unafikiri Mama Samia ile rangi ya makopo?

Wewe mwenyewe una Uarabu kwenye maisha yako ya kila siku, hujielewi tu. Au wewe siyo mstaarabu?
 
Wengine wanaweka grill kwa sababu ya mchwa. Mimi pia sipendi grill lakini maeneo ninayokaa kuna mchwa hatari sana. Nafkiri grill inafaa sana na inaweza kuwa grill bila kioo.

Grill bila kioo? Ndo dirisha gani hilo sasa
 
Back
Top Bottom