Kwanini Watanzania lazima tuweke magrill kwenye madirisha?

Kwanini Watanzania lazima tuweke magrill kwenye madirisha?

Wengi wanaweka grill lakini awaachi escaping zone ikitokea dharura ya moto thus ukitokea unaua familia nzima.Mimi nimeweka escaping zone na members wote wa familia nimewapa shule unabetua tu dirisha linakuwa ngazi wanajump nje

Hili alinipa mother angu ambaye hata hajapiga shule, nikajiona daah nakosa maarifa na shule ya mtaa!![emoji23]
 
Kanuni za ujenzi zinaweza kutungwa kuzuia ujenzi kama huo, mfano sehemu nyingi US huwezi kujenga ukuta kama fence, na unaruhusiwa kwa urefu fulani tuu uliokubalika kisheria, tatizo maukuta marefu ya cement yanazuia mtiririko wa hewa na kufanya makazi yaonekane ya ovyo sana
Marekani mbali Mkuu, hata Jiji la Dodoma wana Kanuni za Ujenzi wa Ukuta.
 
Mimi mwenyewe huwa siyapendi. Hapa nchini kwetu inategemea na eneo ulipojenga nyumba yako. Isingekuwa sbb za kiusalama ningeweka nyumba yangu hapa uone ina vyumba viwili vya kulala ila nimeweka full windows floor to ceiling zenye ukubwa wa 2.4 m urefu kwa 2 m upana na sijaweka grill. Huwa watu wengi sana wakija kwangu hupata mshangao wa jinsi madirisha yalivyo makubwa na hayana grill.
Mkuu ww upo na idea kama yangu kabisa..nime imagine jinsi ukifungua mapazia muonekano wa madirisha yako na ile view ya nje...
 
Mimi mwenyewe huwa siyapendi. Hapa nchini kwetu inategemea na eneo ulipojenga nyumba yako. Isingekuwa sbb za kiusalama ningeweka nyumba yangu hapa uone ina vyumba viwili vya kulala ila nimeweka full windows floor to ceiling zenye ukubwa wa 2.4 m urefu kwa 2 m upana na sijaweka grill. Huwa watu wengi sana wakija kwangu hupata mshangao wa jinsi madirisha yalivyo makubwa na hayana grill.
Picha iko wapi kuthibitisha haya uliyoaandika hapa

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Kanuni za ujenzi zinaweza kutungwa kuzuia ujenzi kama huo, mfano sehemu nyingi US huwezi kujenga ukuta kama fence, na unaruhusiwa kwa urefu fulani tuu uliokubalika kisheria,
Kanuni za ujenzi hata hapa Tz zipo, urefu wa ukuta na kadhalika. Shida ni kuwa hawa building inspectors hawapiti kucheki hivi vitu.
 
Mimi naamini 100% wewe huelewi hata Waarabu maana yake nini.


Wewe nchi hii siyo mwenyeji zaidi ya Waarabu, kama unabisha tuambie wewe ni mbantu wawapi tukueleze umetokea wapi na lini, halafuu ujilinganishe na uwepo wa Waarabu hapa pwani ya Afrika mashariki.


Naona una macho lakini hayaoni, una masikio lakini hayasikii. Unafikiri Mama Samia ile rangi ya makopo?

Wewe mwenyewe una Uarabu kwenye maisha yako ya kila siku, hujielewi tu. Au wewe siyo mstaarabu?
Huu upotoshaji haukubaliki.
Mwarabu alikuja Pwani ya Afrika Mashariki na kukuta watu wanaoongea lugha inayofanana ndio kusema Sawahili.

Hao watu ndio kina sisi
 
Yapo uliza mafundi tuu nimeshaona somewhere
Hilo grill na kioo lenyewe jamaa nimewakuta usiku sa tisa wameng'oa wameweka pembeni wanahamisha vitu km kwao.
Mi ndio nikawakurupua.
Walishabeba kila kitu.
Tena kwa mkokoteni,maana kirikuu hamna kipindi hiko
wala canter noma itapiga kelele.
Nimewakurupua wakachana njia spidi ya marathon
Na mkokoteni wao
tena kulikua na kimlima pale.
Kuingia ndani wameiba kila kitu
Kasoro kitanda tu.
Yule mwanamke kwake alikuwa analewa tu pub.
Namfata kumwambia umeibiwa anasema we mwongo.
Unataka turudi wote.
Ikawa mi nakuacha utachokikuta huko shauri yako.
Ndio kashtuka tuende.
Aisee alichoona Alilia wiki nzima mpk mwenyewe machozi yakanitoka.
Kulikua na hela mle ndani za kutosha.
Cm2,tv,acha nguo,godoro,deck,
jamaa walisafisha
Kupitia dirisha hilo lilikua na grill wakalitoa lote zima zima likabaki tundu tu.
 
Mimi mwenyewe huwa siyapendi. Hapa nchini kwetu inategemea na eneo ulipojenga nyumba yako. Isingekuwa sbb za kiusalama ningeweka nyumba yangu hapa uone ina vyumba viwili vya kulala ila nimeweka full windows floor to ceiling zenye ukubwa wa 2.4 m urefu kwa 2 m upana na sijaweka grill. Huwa watu wengi sana wakija kwangu hupata mshangao wa jinsi madirisha yalivyo makubwa na hayana grill.
Lol,hayo madirisha ni ya aluminium au?
 
Mimi mwenyewe huwa siyapendi. Hapa nchini kwetu inategemea na eneo ulipojenga nyumba yako. Isingekuwa sbb za kiusalama ningeweka nyumba yangu hapa uone ina vyumba viwili vya kulala ila nimeweka full windows floor to ceiling zenye ukubwa wa 2.4 m urefu kwa 2 m upana na sijaweka grill. Huwa watu wengi sana wakija kwangu hupata mshangao wa jinsi madirisha yalivyo makubwa na hayana grill.
Unachokitafuta utakipata siku moja
 
Hilo grill na kioo lenyewe jamaa nimewakuta usiku sa tisa wameng'oa wameweka pembeni wanahamisha vitu km kwao.
Mi ndio nikawakurupua.
Walishabeba kila kitu.
Tena kwa mkokoteni,maana kirikuu hamna kipindi hiko
wala canter noma itapiga kelele.
Nimewakurupua wakachana njia spidi ya marathon
Na mkokoteni wao
tena kulikua na kimlima pale.
Kuingia ndani wameiba kila kitu
Kasoro kitanda tu.
Yule mwanamke kwake alikuwa analewa tu pub.
Namfata kumwambia umeibiwa anasema we mwongo.
Unataka turudi wote.
Ikawa mi nakuacha utachokikuta huko shauri yako.
Ndio kashtuka tuende.
Aisee alichoona Alilia wiki nzima mpk mwenyewe machozi yakanitoka.
Kulikua na hela mle ndani za kutosha.
Cm2,tv,acha nguo,godoro,deck,
jamaa walisafisha
Kupitia dirisha hilo lilikua na grill wakalitoa lote zima zima likabaki tundu tu.
Waliofanya hivyo walikuwa jamaa zake wa karibu,walimjua fika ndani kwake na ratiba yake ya ulabu.
 
Waliofanya hivyo walikuwa jamaa zake wa karibu,walimjua fika ndani kwake na ratiba yake ya ulabu.
Ndio, aliwaambia mwenyewe na mwizi mmoja niliyemuona anakimbiza mkokoteni ni wa hapo kitaa.
Na bibi alinishtua before kwamba waligombana akamtolea maneno ya shombo.
 
Kimuonekano pana fanana sana na nyumba hii. Tofauti yake mimi nimeweka full windows floor to ceiling nyumba nzima except for bathroom, laundry room and kitchen.
Hiii inakuwa nzuri ATA wakati wa majanga kujiokoa kama moto
 
Back
Top Bottom