Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Kwa Tanzania hapa wakristo wanajinasibu ni wasomi wa darasani kuliko dini zingine yaani wao kutwa kuwabully waislamu kwamba hawajali kuhusu elimu ya dunia lakini hao hao wakristo wanajinasibu kwamba Wana elimu kubwa kwenye nchi hii hawana mchango wowote kwa maendeleo yoyote yale ndio kwanza nchi inaenda kwenye lindi la umasikini hatuoni mchango wa elimu Yao

Kiongozi wa dini anajinasibu ana masters eti PhD lakini PhD ipo kwenye makaratasi ila kwa ground hamna kitu ila sasa usomi wao upo kwenye sheria na kada zingine ambazo hazina fiada yoyote ile ili ipige kwenye maendeleo wasomi wa teknologia,sayansi,kilimo na uhandisi sasa wewe msomi wa sheria ya katiba unajiita msomi 🥃🥃🥃?

Tunataka usomi wa vitendo sio usomi wa kwenye makaratasi kutwa kupiga kelele tu halafu hamna maendeleo yoyote yale mpaka miaka 63 nchi ipo kwenye lindi la umasikini halafu kuna watu wanajiita wasomi wapo Tu.
Nyie ndio mnatuvuta mashati.
Uongozi wa dini yenu unapochukua madaraka huwa tunarudi nyima.
Mnauza ardhi kila uvhao.
Cv. Lolindo saga
Ngorongoro, bandari
 
Kwa Tanzania hapa wakristo wanajinasibu ni wasomi wa darasani kuliko dini zingine yaani wao kutwa kuwabully waislamu kwamba hawajali kuhusu elimu ya dunia lakini hao hao wakristo wanajinasibu kwamba Wana elimu kubwa kwenye nchi hii hawana mchango wowote kwa maendeleo yoyote yale ndio kwanza nchi inaenda kwenye lindi la umasikini hatuoni mchango wa elimu Yao

Kiongozi wa dini anajinasibu ana masters eti PhD lakini PhD ipo kwenye makaratasi ila kwa ground hamna kitu ila sasa usomi wao upo kwenye sheria na kada zingine ambazo hazina fiada yoyote ile ili ipige kwenye maendeleo wasomi wa teknologia,sayansi,kilimo na uhandisi sasa wewe msomi wa sheria ya katiba unajiita msomi 🥃🥃🥃?

Tunataka usomi wa vitendo sio usomi wa kwenye makaratasi kutwa kupiga kelele tu halafu hamna maendeleo yoyote yale mpaka miaka 63 nchi ipo kwenye lindi la umasikini halafu kuna watu wanajiita wasomi wapo Tu.
Wewe ndiye unayechagulia watu wasome nini, na ni wewe pia unayepima maendeleo yao? Hata kama mtu amesoma sheria, kama anaweza kutoa ushauri wa kisheria mtu akashinda kesi, na badala ya kufungwa gerezani akafanya kazi na familia yake ikapata maendeleo, wewe unaona bado hajafanya maendeleo? Hata kama kwa mtazamo wako unaweza kuona hajafanya maendeleo, lakini kiuhalisia amefanya maendeleo makubwa kumfanya mtu asiende kupoteza muda wake jela kwa kosa ambalo hata halijui au amesingiziwa. Mtu kuwa huru tu ni maendeleo. Moja ya hotuba za Mwalimu Nyerere anasema "maendeleo ni kupanuka kwa uhuru wa watu na uchumi." Kwa hiyo, mtu akiwa huru kuliko kukaa jela ni maendeleo. Upo hapo?
 
Da hii post ina vitu muhimu ndani yake ila ndio hivyo mtoa maada kaja kidini dini zaidi..

Ila Africa inabidi tuangalie mifumo yetu ya elimu..

Yani bongo unakuta vyuo vya vitendo kama VETA vinadharauliwa na waliofaulu o-level au a-level..
Au unakuta mtu kafaulu vizuri masomo ya sayansi ila chuo anaenda kusomea uhasibu au maungwini mengine..
Yani huku msomi ni yule anayejua kupiga soga na kufanya uchambuzi kwa maneno ila hata kutengeneza kistuli hawezi
😃😃😃 Umenifurisha waswahili mtu anaye jua kupiga soga ndiye anaonekana ni kichwa lakini Kwa wezetu hiyo kitu hamna, msomi atatambulika Kwa terms anazo zungumza kulingana elimu husika na hapa kwenye terms ndio kuna utambuzi wakujua huyu ni msomi au ni domo Kaya.
 
Elimu ipi? Wakati mimi napasua mabusha ya ndugu yako huko tamisemi
. Ngoja nikuache, maana hapa ni sawa kama nabishana na picha ya ukutani.


. Eti TAMISEMI 😁😁. Asilimia kubwa walioajiriwa na Tamisemi ni wale waliomaliza form four vyet vyao vina D3, then wakajiendeleza na vyuo vya kuunga unga vya MBAGALA COLLEGE
 
Back
Top Bottom