whats wrong with this?
[/B][/COLOR]
Sijui, labda mjinga ni mimi. Hivi unakusanya pesa hadi zinazidi million 30 ndo unazibeba kifua mbele kwenda benki ili wakuone fahari au? Kama mtu anaweza kukatwa mkono kwa ajili ya simu isiyozidi laki 2 au chain ya laki 1, ni akil na busara kupita mitaani na milioni 30?
Kuna jamaa mzungu alipewa dola 1000 taslimu (Tshs 1.4mil) ampelekee mshikaji ulaya akakataa kata kata kwamba hawezi kubeba pesa nyingi kiasi hicho (cash). May be jamaa kama huyo ndo wajinga au sisi tunaotembea mjini na mamilioni ya shilingi, tena wakati mwingine tunapanda hata daladala?
Mkuu upo sawa elimu kwanzaNimesoma kitabu kimoja kinasema sababu za umasikini ni: history, bad governance, natural disasters, personal qualities and cultural practices, lack of income and power, unemployment, lack of education, globalization, overpopulation (Taylor, 2003). Some researchers also add diseases in the listing like malaria.
Nafikiri cha msingi hapa ni elimu kwanza ambayo itaondoa mengine yote na kubaki na poverty free community. Mfano Tanzania tunaongelea kilimo kwanza bila kutoa elimu kwa wakulima namna ya kulima kwa ustadi, je unategemea mavuno yatakuwa mengi, njaa itaendelea na kujikuta tunarudi kwenye wimbo wa MDGs - reduce hunger by 50% by 2015!
Kwa kifupi nafikiri elimu ni kupata habari, maarifa, ujuzi, n.k. na vitu hivi uitwa "information"/ 'knowledge - collection of info' na kuna msemo information is power, information is a resource like gold, diamond, etc. Watanzania wengi kwanza hatujisomei, tunapenda kuiba mitihani, tunapenda kununua vyeti (diploma disease), mitihani yetu mingi ni marudio ya maswali hivyo watu usoma past pepers tu na kutumia madesa kwenye elimu ya juu.
Nimesoma kitabu kimoja kinasema sababu za umasikini ni: history, bad governance, natural disasters, personal qualities and cultural practices, lack of income and power, unemployment, lack of education, globalization, overpopulation (Taylor, 2003). Some researchers also add diseases in the listing like malaria.
Nafikiri cha msingi hapa ni elimu kwanza ambayo itaondoa mengine yote na kubaki na poverty free community. Mfano Tanzania tunaongelea kilimo kwanza bila kutoa elimu kwa wakulima namna ya kulima kwa ustadi, je unategemea mavuno yatakuwa mengi, njaa itaendelea na kujikuta tunarudi kwenye wimbo wa MDGs - reduce hunger by 50% by 2015!
Kwa kifupi nafikiri elimu ni kupata habari, maarifa, ujuzi, n.k. na vitu hivi uitwa "information"/ 'knowledge - collection of info' na kuna msemo information is power, information is a resource like gold, diamond, etc. Watanzania wengi kwanza hatujisomei, tunapenda kuiba mitihani, tunapenda kununua vyeti (diploma disease), mitihani yetu mingi ni marudio ya maswali hivyo watu usoma past pepers tu na kutumia madesa kwenye elimu ya juu.
Sijui, labda mjinga ni mimi. Hivi unakusanya pesa hadi zinazidi million 30 ndo unazibeba kifua mbele kwenda benki ili wakuone fahari au? Kama mtu anaweza kukatwa mkono kwa ajili ya simu isiyozidi laki 2 au chain ya laki 1, ni akil na busara kupita mitaani na milioni 30?
Kuna jamaa mzungu alipewa dola 1000 taslimu (Tshs 1.4mil) ampelekee mshikaji ulaya akakataa kata kata kwamba hawezi kubeba pesa nyingi kiasi hicho (cash). May be jamaa kama huyo ndo wajinga au sisi tunaotembea mjini na mamilioni ya shilingi, tena wakati mwingine tunapanda hata daladala?
Mkuu huenda milioni 30 ni mauzo ya biashara yake kwa nusu siku tu! Usishangae.
Abdul amekwambia labda ndio mauzo yake ya nusu siku ulitaka aweke nyumbani??mi namsifu kwa kupeleka benki kuliko akina DAU wanaoweka kwenye safe na kuibiwa.
watanzania ni wajinga na serikali inapenda sana tuendelee kuwa hivyo. Kutokana na ujinga wetu hatuoni kama nchi ina resources na kama zipo viongozi hawataki tuzitap hizo resources na badala yake wanaitwa watu toka nje kuja kufaidika.
\Kwa muda mrefu, nimekuwa nikiangalia jinsi tunavyofanya mambo yetu na kuanza kuwa na wasi wasi kwamba tunaweza kuwa tunasumbuliwa na ugonjwa wa hatari sana. Kama hatutaweza kuutambua ugonjwa wetu, basi itakuwa vigumu na labda itachukua miaka mingi kutafuta tiba sahihi.
Ukifika vijijini (kwenye maeneo mengi ya nchi yetu), unakutana na ardhi nzuri sana, majani mengi tu ya kulisha mifugo lakini watu bado ni maskini. Fursa kama hizo hazipatikani sehemu nyingine na hata kwenye mikoa iliyochangamka kama Kilimanjaro.
Ukifika mjini huko ni balaa. Kuna watu wanashinda chini ya mwembe kuanzia asubuhi hadi jioni siku saba za week. Ila kuna wale ambao wanaonekana kama wametoka kidogo nao wana vituko vyao. Leo nimekutana na mama mmoja mfanyabiashara, akiwa benki anaweka karibia shs milioni 30 taslimu.
Katika mazingira kama hayo, sisi tuna tatizo lipi hasa? Ujinga au umasikini?
Kwani wafanyabiashara hawawezi kukaa na mabenki wakatengeneza utaratibu mzuri wa kulipana kuliko kubeba rambo zimejaa minoti? Nimeambiwa Kenya wanatumia Bank cheaques kufanya malipo. Hizi zinafanyakazi kama cash. Kwa kujifanya majuha na kubeba mipesa ndo kusema sisi ni wajanja kuliko watu wengine duniani?
mkuu hayo ya cheques yote yapo bongo lakini sio kila biashara wanaweza kulipana kwa cheque,mfano mtu anaduka la jumla la vocha za simu anawauzia wale wa vibanda,je hawa watamlipa kwa cheki 10,000 au 100,000 zao??
Kwa muda mrefu, nimekuwa nikiangalia jinsi tunavyofanya mambo yetu na kuanza kuwa na wasi wasi kwamba tunaweza kuwa tunasumbuliwa na ugonjwa wa hatari sana. Kama hatutaweza kuutambua ugonjwa wetu, basi itakuwa vigumu na labda itachukua miaka mingi kutafuta tiba sahihi.
Ukifika vijijini (kwenye maeneo mengi ya nchi yetu), unakutana na ardhi nzuri sana, majani mengi tu ya kulisha mifugo lakini watu bado ni maskini. Fursa kama hizo hazipatikani sehemu nyingine na hata kwenye mikoa iliyochangamka kama Kilimanjaro.
Ukifika mjini huko ni balaa. Kuna watu wanashinda chini ya mwembe kuanzia asubuhi hadi jioni siku saba za week. Ila kuna wale ambao wanaonekana kama wametoka kidogo nao wana vituko vyao. Leo nimekutana na mama mmoja mfanyabiashara, akiwa benki anaweka karibia shs milioni 30 taslimu.
Katika mazingira kama hayo, sisi tuna tatizo lipi hasa? Ujinga au umasikini?
[/SIZE]
Mkuu tatizo ni mfumo, Mfumo mfomo
Kwa jinsi mambo yalivyo kwa mazingira ya vijijini hata ukijitahidi vipi huwezi kutoka hata kidogo, ntatoa mifano michache mfano mkulima anaelima mahindi maharage, karanga ´kutokana na kukosa viwanda vya kati wafanya biashara wanaenda mpaka vijijini wao ndo wanapanga bei mkulima hana maamuzi hata kidogo bei hailingani na garama za uzalishaji wewe unafikiri huyu Mkulima ataendelea nini mfano utakuta dhamani halisi ya gunia la mahindi ni shilingi laki mbili mkulima aliyelima ataambulia hapo elfu ishirini na Bakhresa anayesaga hayo mahindi atakula hapo zaidi ya laki na hamsini,,, Makampuni ya Muhamed enterprises yalianza kwa kuwaibia wakulima vijijini
Huo ni mfano moja hali iko hivyo kwa Wafugaji, wavuvi, wachimbaji madini wadogodogo nk,,Huwezi amini mfanya biashara anatoka Yemen anaenda mpka chunya kununua Gold kwa mchimbaji mdogo kapita wapi kote je huyo mchimbaji mdogo bei itaijulia wapi, mfumo unamruhusu, mtu anatoka nairobi mpaka mufindi kununua mbao,, mfumo unamruhusu,,,
Nimejionea kwa wenzetu wazungu vyama vya ushirika ndio vinatafuta masoko, Ndivyo vina toa link kati ya muuzaji na mnunuzi, hivi vyama ndio vinaongeza dhamani kwa bidhaa wanazolima wakulima sisi vyama vya ushirika tuliuwa, vingine tukageuza vitega uchumi tutegemee nini???hapa kwetu anayemunganisha ni DALALI tena mwizi, mwenye njaa,
hakuna aliyetuloga Watanzania, wapo watu wanajitahidi lakini jasho lao linaishia mifukoni mwa wafanya biashara wachache na wanasiasa,
WaTZ ni wajinga na WAVIVU.Akili zinauwezo wa kuondoa umasikini hata kama unaishi jangwani kusiko na resources.
Charity what you think should be done?
Ujinga,Uswahili,uroho na kujifanya kujua kumbe hakuna kitu.
Tuna maji mengi,Lake Victoria,Tanganyika,Nyasa ,Bahari ya Hindi etc.
Hakuna hata large scale irrigation ingeweza kusaidia kilimo mwaka mzima.
Na sasa global warming ,mvua hazinyeshi.
Baada ya miaka 50 ya Uhuru,watu wanalala njaa ,maana mvua hazinyeshi,kwa hiyo hakuna kuvuna.
Hakuna kitu kinachoniuma ukisikia kuwa MZUNGUanakwambia you cant run your affairs and feed your people!
Kuna watu somewhere nchini wanakula panya,sababu hakuna mlo wa kawaida.
Kwa TZ naona ule msemo usemao kwenye miti hakuna wajenzi uko applicable we have everything lakini bado tuu maskini sometimes huwa nawaza Tz ingekuwa located SAHARA desert tungetia akili