Upo sawa Mkuu, tunatakiwa tubadilike kifikra kwanza kwa kutumia elimu ndipo tubadilike physically.....tatizo elimu ya kutubadilisha kifikra ipo wapi? au ni hii ya kukaririsha isiyo fikirishi?Tatizo ni mifumo yetu ya kielimu na mapokeo yetu. Kubadilika toka umasikini kwenda kwenye utajiri ni fikra na si vitu tumilikivyo.
Nakubaliana nawe kwenye ufikirivu mdogo unaoongozwa na ubinafsi.
We unaweza ezeka Nyumba kabla ya msingi?Hueleweki,
Kwa karne ya Sasa Inawezekana kwenda nayo yote na ukafanikiwa.
Mbona plan ya ndege na viwanja imetamkwa na Mkuu wa nchi na budget ipo kwa maelezo yake. Au huwa ufuatilii taarifa rasmi.
Kwa nini Low income, Low Suppy Low Purchasing power. Je unauhakika hii hali ni temporary au Permanent
Isome South KoreaWe unaweza ezeka Nyumba kabla ya msingi?
Wewe ndiye ueleweki kwani ni lazima uchangie pita tu nenda uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo .
Waache wenye uwezo wachangie
SawaIsome South Korea
Isome China
Isome Singapore
Isome Malaysia
Nchi zote hizi zimekuwa kwa dimensions karibu zote sio kakitu kamoja.
Shida iko wapi kama una DASH 8 inayotua viwanja vingi tu, wakati vingine vinafanyiwa renovation.
Kuna aproach nyingi za kutatua matatizo sio lazima zote ziwe
Hierarchical .
Mkuu kazisome kwa makini ni juzi tu zimeanza kuendeleaHaya sasa ni mawazo ya mwendokasi unaleta mifano ya nchi ambazo zimeendelea kabla ya kuzaliwa kwako
Kwanza lazima niweke wazi kwamba Tanzania ni kati ya nchi 30 masikini zaidi ulimwenguni.
Kwanini Tanzania ni masikini?
Tanzania ni masikini kwa sababu ya mambo makuu mawili
1: Ability in thinking for change for both Leaders and citizens.
Uwezo wa Ku plan kwa viongozi wa kitanzania kwenye mambo ya maendeleo na kuzisimamia hizo plan zao uko chini mno muda mwingi wanautumia kuhubiri siasa pasipo kufanya kazi za kimaendeleo .
Kama ilivyo kwa binadamu tumepewa akili 100% lakini katika theory za kibinadamu unapoweza kutumia akili yako hata kwa 25% kabla uwe mweu unaweza kuwa umeshafanya jambo angalau hata moja la nchi au dunia kukukumbuka.
Hata mnaosoma Vitabu ukipitia "Thinking for change" cha John Maxwell utanielewa kidogo namaanisha nini.
"Taifa limeamua kumuacha mtu mmoja alisaidie kufikiria wakati nchi ina watu zaidi ya 50milion +
Anatutengenezea vicious cycle of poverty na sisi tunamwangalia tu.......tuendelee kuwa masikini wa vipato je tutakuwa na akili wakati tuna umasikini wa kipato na njaa ambayo inatokana na kuishi chini ya dollar moja?
Tunazunguka na kurudi pale pale clockwise and anticlockwise.
Kwa style hii tutaendelea kubadilisha marais hata aje Malaika kutoka mbinguni tutashindwa tu.
Sera ya Serikali haitakiwi kuwa Sera ya chama inatakiwa kuwa Sera ya taifa ndani ya Katiba ya nchi au Vitabu vya Sera.
Ndio maana unaona Sasa hivi tunacheza na aina zote za vicious cycle kwa sababu ya kutokua na Sera ya taifa ambayo tunaifuata kabla hata na baada ya ya uchaguzi.
A: Supply side of vicious cycle:
Low income - Low saving - low investment - low productivity- low income
Kama kipato ni kidogo - tutawezaje Ku save - tutawezaje kuwekeza - Tusipowekeza tutapataje product jibu ni hatutapata ndio maana tutaendelea na kuwa na kipato kidogo hivyo kuendelea kuwa masikini.
View attachment 409094
B : Demand side of vicious cycle:
Low income - low demand - low investment - low productivity then low income .
Kutoka kwenye kipato chetu kama ni kidogo ,hatutanunua vitu kuliko kipato chetu,tutawekeza kidogo, na kuzalisha kidogo tutarudi palepele kipato chetu kitakuwa kidogo.
View attachment 409095
C : Vicious cycle of market imperfections
View attachment 409097
Na mpaka hapo utagundua ni kwanini biashara imekuwa ngumu kufanyika Tanzania sasa hivi .
2: Poor utilization of natural Resources:
Hili ni tatizo la Africa karibu yote lakini kwa nchi yetu imekuwa to much.
Kwa shehena ya madini tuliyonayo tungeweza kuacha kufanya biashara nyingine kama nchi tukawa tukiuza madini tu na tukatajirika.
Kwa gesi tuliyonayo tungeweza kuuza gesi tu tukatulia hata kwa miaka 5 bila kufanya biashara yeyote na nchi ikaendelea..
Kwa Maji tulionayo tungeweza kuwekeza kwenye Kulimo, ufugaji na Uvuvi tusifanye kazi yeyote na tutaendelea.
Kwa utalii tulionao Milima,mabonde,mbuga za wanyama ,Fukwe za Bahari tungeweza kuwekeza kwenye utalii bila kufanya kitu kingine na tungetoboa maisha yangeenda .
Lazima tuamue kuchagua tunaanza na kipi ambacho tutakifanya kwa ufanisi wa hali ya juu kuliko kufanya juu juu kwa kulukia mambo....
Mfano ununuzi wa ndege ungekuja moja kwa moja na plan ya kupanua viwanja vya ndege vilivyopo karibu na maeneo ya utalii ili utalii ufanye kazi pamoja na Usafirishaji.
Nafikiri utakuwa umepata mwanga kwanini Tanzania ni masikini na kwa nini tutaendelea kuwa masikini miaka mingi ijayo kama hatutachukua hatua na kuwa specialization "
Kwani nchi zote zilizopiga hatua za kimaendeleo zime Specialize kwenye mambo Fulani.....
Israel ni nchi iliyopo kwenye jangwa lakini inaendeshwa na kilimo cha matunda.
Isome South Korea
Isome China
Isome Singapore
Isome Malaysia
Mungu ibariki Tanzania.
Jibu moja tu: Tanzania itaendelea kuwa poor kwa sababu ya low investment in people. Kila kiongozi anayekuja yeye pia ni product ya low investment kwa hiyo anakuwa na low capacity ya kufikiri. Ndiyo maana wanafikiri kuendelea ni vitu. Mwendeleze mtu ili ajiendeleze, hapo yatapatikana maendeleo. Sidhani kama kuna taifa duniani lenye mawazo finyu juu ya maendeleo kama sisi. Hebu nenda vijijini kwetu utaweza kufananisha na vijiji vya nchi gani nyingine duniani, jinsi ujinga, ukiwa, umaskini wa mawazo ulivyopamba. Labda South Sudan.
Yani mtachambua na kuchambua ila ukweli ni kwamba ktk nchi yoyote ile uchumi husababishwa na bidii za wananchi wenyewe ktk kujikwamua kutoka kwenye umasikini,ni lazima tuwe busy busy busy busy.viongozi ni kiunganishi cha kuhamasisha tu na kutulea semina za hapa na pale za kukuza uchumi kwa njia ya kuwajibika,yote kwa yote lazima tubadili mawazo kama wananchi,kufanya kazi kwa bidii na yoyote ile halali bila aibu wala uvivuKwanza lazima niweke wazi kwamba Tanzania ni kati ya nchi 30 masikini zaidi ulimwenguni.
Kwanini Tanzania ni masikini?
Tanzania ni masikini kwa sababu ya mambo makuu mawili
1: Ability in thinking for change for both Leaders and citizens.
Uwezo wa Kuplan kwa viongozi wa kitanzania kwenye mambo ya maendeleo na kuzisimamia hizo plan zao uko chini mno muda mwingi wanautumia kuhubiri siasa pasipo kufanya kazi za kimaendeleo .
Kama ilivyo kwa binadamu tumepewa akili 100% lakini katika theory za kibinadamu unapoweza kutumia akili yako hata kwa 25% kabla uwe mweu unaweza kuwa umeshafanya jambo angalau hata moja la nchi au dunia kukukumbuka.
Hata mnaosoma Vitabu ukipitia "Thinking for change" cha John Maxwell utanielewa kidogo namaanisha nini.
"Taifa limeamua kumuacha mtu mmoja alisaidie kufikiria wakati nchi ina watu zaidi ya 50milion +
Anatutengenezea vicious cycle of poverty na sisi tunamwangalia tu.......tuendelee kuwa masikini wa vipato je tutakuwa na akili wakati tuna umasikini wa kipato na njaa ambayo inatokana na kuishi chini ya dollar moja?
Tunazunguka na kurudi pale pale clockwise and anticlockwise.
Kwa style hii tutaendelea kubadilisha marais hata aje Malaika kutoka mbinguni tutashindwa tu.
Sera ya Serikali haitakiwi kuwa Sera ya chama inatakiwa kuwa Sera ya taifa ndani ya Katiba ya nchi au Vitabu vya Sera.
Ndio maana unaona Sasa hivi tunacheza na aina zote za vicious cycle kwa sababu ya kutokua na Sera ya taifa ambayo tunaifuata kabla hata na baada ya ya uchaguzi.
A: Supply side of vicious cycle:
Low income - Low saving - low investment - low productivity- low income
Kama kipato ni kidogo - tutawezaje Ku save - tutawezaje kuwekeza - Tusipowekeza tutapataje product jibu ni hatutapata ndio maana tutaendelea na kuwa na kipato kidogo hivyo kuendelea kuwa masikini.
View attachment 409094
B : Demand side of vicious cycle:
Low income - low demand - low investment - low productivity then low income
Kutoka kwenye kipato chetu kama ni kidogo ,hatutanunua vitu kuliko kipato chetu,tutawekeza kidogo, na kuzalisha kidogo tutarudi palepele kipato chetu kitakuwa kidogo.
View attachment 409095
C : Vicious cycle of market imperfections
View attachment 409097
Na mpaka hapo utagundua ni kwanini biashara imekuwa ngumu kufanyika Tanzania sasa hivi .
2: Poor utilization of natural Resources:
Hili ni tatizo la Africa karibu yote lakini kwa nchi yetu imekuwa to much.
Kwa shehena ya madini tuliyonayo tungeweza kuacha kufanya biashara nyingine kama nchi tukawa tukiuza madini tu na tukatajirika.
Kwa gesi tuliyonayo tungeweza kuuza gesi tu tukatulia hata kwa miaka 5 bila kufanya biashara yeyote na nchi ikaendelea..
Kwa Maji tulionayo tungeweza kuwekeza kwenye Kulimo, ufugaji na Uvuvi tusifanye kazi yeyote na tutaendelea.
Kwa utalii tulionao Milima,mabonde,mbuga za wanyama ,Fukwe za Bahari tungeweza kuwekeza kwenye utalii bila kufanya kitu kingine na tungetoboa maisha yangeenda . Lazima tuamue kuchagua tunaanza na kipi ambacho tutakifanya kwa ufanisi wa hali ya juu kuliko kufanya juu juu kwa kulukia mambo....
Mfano ununuzi wa ndege ungekuja moja kwa moja na plan ya kupanua viwanja vya ndege vilivyopo karibu na maeneo ya utalii ili utalii ufanye kazi pamoja na Usafirishaji.
Nafikiri utakuwa umepata mwanga kwa nini Tanzania ni masikini na kwa nini tutaendelea kuwa masikini miaka mingi ijayo kama hatutachukua hatua na kuwa specialization "
Kwani nchi zote zilizopiga hatua za kimaendeleo zime Specialize kwenye mambo Fulani.....
Israel ni nchi iliyopo kwenye jangwa lakini inaendeshwa na kilimo cha matunda.
Isome South Korea
Isome China
Isome Singapore
Isome Malaysia
Mungu ibariki Tanzania.
Upo sawa Mkuu, tunatakiwa tubadilike kifikra kwanza kwa kutumia elimu ndipo tubadilike physically.....tatizo elimu ya kutubadilisha kifikra ipo wapi? au ni hii ya kukaririsha isiyo fikirishi?
Ona jinsi wasomi wanavyo ililia serekali iwape ajira, ina maana hawana fikra za kuwakwamua kutoka kuwa masikini hadi kuwa matajiri bila ya kuajiriwa?
Asante nimekuelewa sana umeongea bila siasa na ndio lengo la Uzi huu.Mkuu "CHARMILTON", mfumo uliotengeneza elimu hii tuliyonayo umetengenezwa kiusahihi na kiuficho sana ili kila auonaye kwa mtazamo wa kawaida aone ni rafiki mwema lakn yeyote atakayeutafakari vema auone katika uhalisia wake. Naomba nikuulize haya:
1.Ni kwa nini watoto wadogo hupendana na hawakotayari kuona wenzao wakikosa lakini watu
watu wazima wanapiga dili hata zile za huduma za afya na kupelekea wenzao kufa?
2.Ni kwa nini watoto wadogo wanatamani kumiliki vitu vyao (mfano kila mtoto husifia kitu kizuri
kuwa chake) lakini watu wazima hutamani kufanya kazi za wengine na si kubuni zao ili wawe
huru?
3.Ni kwa nini mijadala yetu hata hapa jamii forums huonyesha ushabiki na si uhalisia?
4.Ni kwa nini viongozi wengi wa nyanja mbalimbali hawapo tayari kuwaambia ukweli
wanaowaongoza na badala yake huwaeleza yawapendezayo huku wakiwaumiza wale
waliowaamini kuwa wangewaongoza na badala yake wakawatawala?
5.Ni kwa nini viongozi wengi hupanga mipango ambayo pamoja na kuwekeza fedha nyingi
lakini huwa haifanikiwi?
6.Ni kwa nini tafiti nyingi hufanyika,na kazi kufanyika lakini mafanikio hayafikii?
YOOTE HAYO,NI MATOKEO YA MFUMO WA ELIMU TUNAOUPOKEA NA KUWA PROGRAMDE NAO
AMBAO MALENGO YAKE NI KUTUFANYA TUISHI KAMA TEGEMEZI.SI SISI TU BALI DUNIA
NZIMA. SINA TAFITI LAKINI NAAMINI SI ZAIDI YA ASILIMIA SABA YA WANA DUNIA WANA ELIMU SAHIHI YA KUJITEGEMEA NA HAWA NDIO WANACONTROL DUNIA KWA MAARIFA HAYO.
Job creation nayo ni challenge kubwa. Kwa vioongzi wetu njie pakee wanayotegemea ni Uwekezaji tena wa nje. Na serikali amabayo ndiyo muajiri mkubwa kuna shemu nyigine kuna watu wafanyakazi wengi zaidi ya mahitaji na mbaya zaidi smometime perfomence haiendani na idadi.
Ebu tuambiane katika local level
- How can job be created.
- Ni jukumu la nani kutengeza ajira. ( Kila mwanamanchi ,viongozi, serikali, wenye uwezo)
Umasikini hautaondoka kwa kuwa tumeamua kuweka nchi rehani,rasilimali zote kwa wageni. Mada nzuri hii.
People are living in poverty if their income and resources (material, cultural and social) are so inadequate as to preclude them from having a standard of living which is regarded as acceptable by general society - VERY TRUE