king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,178
- 2,033
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Nimekuwa mara nyingi nikisikia kutoka kwa wanasiasa wakiwambia wafuas wao kuwa umasikin walio nao umeletwa na ccm, mimi huwa sielewi ccm kasababisha vp watu wawe masikin,
Sizan kama ni sahihi kuaminisha watu kuwa umasikin wao umeletwa na ccm
Je wewe mwenzangu una ona ni sahihi kuwa umasikin wa taifa letu na watu wake umesababishwa na ccm
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina sababu maana sijui wewe ndo leta sababu zinazofanya umasikin wa watanzinia uwe umeletwa na ccmeleza sababu zinazokufanya usiamini umasikini wa nchi hii haujaletwa na ccm
bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
Aisee unaweza ukataja japo majina mawili ya hao mafisadNi sawa na mimi ninavyo waaminisha watu kuwa mafisadi wanaungwa mkono na chadema.
#nakwenda_zimbabwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngosha kwahiyo ujinga ni chanzo cha umasikinUmaskini wa watanzania umeletwa na watanzania wote sio CCM pekee kwa sababu sisi ni wajinga haijapata kutokea
Nisichokijua ni huo umasikin umeletwa na hiyo ccmMbona jambo lipo wazi tu mkuu wangu, au usichojua hapa ni nini?
SijaelewaUnapaswa kujuwa kazi ya serikali ni nini?pia kazi ya chama tawala ni nini.Baada ya hapo ujuwe wajibu na haki ya mwananchi ni nini.
Aisee hasira sio nzur kwa afyaKwani ni Uongo?
Yaani miaka zaidi ya 50 toka tupate uhuru tupo chini ya CCM lakini mpaka leo hii serikali yetu inategemea wahisani(wazungu) watupe pesa ya kununua chakula, dawa na kujenga vyoo.
CCM ni zaidi ya uchawi, ni laana kubwa sana kuendelea kuikumbatia CCM.
Mafisadi wa CHADEMA wanalihusu nini taifa??? Usiwe kilaza , hoja hapa ni watu wenye nguvu kubwa bungeni kupitisha sheria na mikataba ya kipumbavu ambayo leo mh. Rais anahaika kuifuta , ni kina nani wapitishaji kwa nguvu mikataba na sheria hizo za kipuuzi? Hao ndio wanao litia hasara taifa hili nadhani unawaju.Ni sawa na mimi ninavyo waaminisha watu kuwa mafisadi wanaungwa mkono na chadema.
#nakwenda_zimbabwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohoo! Sasa we huoni tulivyokuwa tunabadilisha dhahabu kwa shanga ?
Una uhakika kuwa dhahabu ilikuwa inabadilishwa kwa shanga au ndo mamihayoOhoo! Sasa we huoni tulivyokuwa tunabadilisha dhahabu kwa shanga ?
Hujasoma historia ya Tanganyika ama?Una uhakika kuwa dhahabu ilikuwa inabadilishwa kwa shanga au ndo mamihayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili mavi kama hizi zako zimesababishwa na ccm.Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Nimekuwa mara nyingi nikisikia kutoka kwa wanasiasa wakiwambia wafuas wao kuwa umasikin walio nao umeletwa na ccm, mimi huwa sielewi ccm kasababisha vp watu wawe masikin,
Sizan kama ni sahihi kuaminisha watu kuwa umasikin wao umeletwa na ccm
Je wewe mwenzangu una ona ni sahihi kuwa umasikin wa taifa letu na watu wake umesababishwa na ccm
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app