kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Naamini watanzania wote hamjambo!
Kama mada ilivyo hapo juu hebu tujiulize kama Watanzania, pamoja na Nchi Yetu kuwa na rasilimali nyingi kwanini watanzania ni Masikini?Je tunakosea nini na wapi? Je ni Siasa MBOVU?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mada ilivyo hapo juu hebu tujiulize kama Watanzania, pamoja na Nchi Yetu kuwa na rasilimali nyingi kwanini watanzania ni Masikini?Je tunakosea nini na wapi? Je ni Siasa MBOVU?
Sent using Jamii Forums mobile app