kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Tatizo ni uongozi mbovu wa chama cha makinikia CCMNaamini watanzania wote hamjambo.Kama mada ilivyo hapo juu hebu tujiulize kama Watanzania, pamoja na Nchi Yetu kuwa na rasilimali nyingi kwanini watanzania ni Masikini?Je tunakosea nini na wapi? Je ni Siasa MBOVU?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata JK aliulizwa alipokuwa nje ya nchi akajibu hata yeye anashangaa, hakutaka kusema ukweli kuwa ccm ndiyo chanzo cha umasikini TanzaniaNaamini watanzania wote hamjambo.Kama mada ilivyo hapo juu hebu tujiulize kama Watanzania, pamoja na Nchi Yetu kuwa na rasilimali nyingi kwanini watanzania ni Masikini?Je tunakosea nini na wapi? Je ni Siasa MBOVU?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaokula mkate wakati wa ibada ndio wanaaminishwa hivyo....Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Nimekuwa mara nyingi nikisikia kutoka kwa wanasiasa wakiwambia wafuas wao kuwa umasikin walio nao umeletwa na ccm, mimi huwa sielewi ccm kasababisha vp watu wawe masikin,
Sizan kama ni sahihi kuaminisha watu kuwa umasikin wao umeletwa na ccm
Je wewe mwenzangu una ona ni sahihi kuwa umasikin wa taifa letu na watu wake umesababishwa na ccm
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu wengi wetu ni viumbe wanafiki!!!!!Naamini watanzania wote hamjambo.Kama mada ilivyo hapo juu hebu tujiulize kama Watanzania, pamoja na Nchi Yetu kuwa na rasilimali nyingi kwanini watanzania ni Masikini?Je tunakosea nini na wapi? Je ni Siasa MBOVU?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusoma hujui, picha nayo je??!!Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Nimekuwa mara nyingi nikisikia kutoka kwa wanasiasa wakiwambia wafuas wao kuwa umasikin walio nao umeletwa na ccm, mimi huwa sielewi ccm kasababisha vp watu wawe masikin,
Sizan kama ni sahihi kuaminisha watu kuwa umasikin wao umeletwa na ccm
Je wewe mwenzangu una ona ni sahihi kuwa umasikin wa taifa letu na watu wake umesababishwa na ccm
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili zako ndo sasa na nyupi za kike unauliza maswali ya kwenye ngoma humu?