Bora useme ukweli kuliko kukaa kimya !
Uwezi kusafiri kwa wenzako ukaona wanakitu kimoja tu mfano mafuta,kilimo,utalii na n.k lakini kinawanufaisha mpaka unabaki kusema kwa nini hawa wapo hivi!
Kwa nchi yangu ina madini,kilimo,bandari,utalii,usafirishaji nchi za mipakani kwenye maitaji na n.k lakini hivi vyote bado ni kichwa pasua kwa serekali yetu!
Tuje kwenye makusanyo ya mapato TRA,manispaa,tarura ,polisi na faini,utaifishaji na kila kona unapokwenda utakutana na rungu la serekali pesa inapatikana.
Tuje kwenye misaada ambayo kila siku unasikia serekali inapokea pesa sijui bilioni,tilioni hivi vyote vina kwenda wapi!
Kusema ukweli kuna tatizo ya kuangalia hili.!