ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Najua jf Kuna majibu yote naombeni nisaidieni hili suala langu kwanini tunakufa tukiwa masikini wakati tuna utajiri usio na kifani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatupendi kuhangaisha akiliNajua jf Kuna majibu yote naombeni nisaidieni hili suala langu kwanini tunakufa tukiwa masikini wakati tuna utajiri usio na kifani.
Misuli yake ya ubongo itakuwa ilikuwa na matatizo...jibu alikuwa nalo akaamua kuzugaKuna jamaa mmoja alikuwa anahojiwa somewhere na certain media abroad akaulizwa swali linalofanana na hili Kwanini nchi yako ni masikini; Jibu lake lilifanana na hili Hata mimi sielewi;
Back soon ngoja nijipange
Nafikiri hilo jibu ambalo hakutaka kulitoa ndio lingekuwa muafaka kumjibu ndege JOHN, lakini lingine mtukufu anko kipindi anaingia kama kumbukumbu zangu ziko sawa kuna watu alikuwa anawasema kuwa wametufikisha hapa (kwenye huo umasikini), hadi tukawatengenezea mahakama yao ingawa aliomba tumuombee pengine aliwaogopa kwa namna moja au nyingine, sijui, lakini hii nchi sasa imekuwa dona kantri, sio masikini tena. Ndege jonh aache kuota.Misuli yake ya ubongo itakuwa ilikuwa na matatizo...jibu alikuwa nalo akaamua kuzuga
Kwasababu taifa limejaa wajinga na linaongozwa na wajingaNajua jf Kuna majibu yote naombeni nisaidieni hili suala langu kwanini tunakufa tukiwa masikini wakati tuna utajiri usio na kifani.
nchi ni ya kwetu mkuu au na wewe ndio wale waleHizo mali ni zawakubwa si zako, wewe tafuta zako