Kwanini Watanzania wengi hawafanikiwi kutokana na kazi zao?

Kwanini Watanzania wengi hawafanikiwi kutokana na kazi zao?

Hapo kwenye BLACK TAX ufafanuzi unahitajika mkuu[emoji120]

Sijaambulia chochote. Maelezo zaidi, tafadhali[emoji120]
Hizo ni pesa zote ambazo wewe (pasipo kupenda) kwa lazima ya moyo wako hupunguza kwenye kipato chako na kuwatumia wahitaji wa ukoo wako yaani unawatumia, wazazi, ndugu, jamaa na wajombaa (marafiki).
 
Hizo ni pesa zote ambazo wewe (pasipo kupenda) kwa lazima ya moyo wako hupunguza kwenye kipato chako na kuwatumia wahitaji wa ukoo wako yaani unawatumia, wazazi, ndugu, jamaa na wajombaa (marafiki).
🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom