Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Mahakama yenyewe haiwaamini watanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachonishangaza humu kuna watu wanafanya kazi kwenye mahakama zetu , lakini hata wakisoma maoni yetu hayafanyiwi kazi...Huu ni kweli hata kama haupendezi.
It's not rocket science, it's very obvious!Leo nilikuwa mahakamani ambapo nilikutana na mtu mmoja aliyenimbia kuwa ana kesi yake mahakamani lakini hana Imani kama mahakama itatenda haki.
Kwa uzowefu wangu ni kwamba watu wengi hawana Imani na mfumo wa mahakama ila hawana la kufanya kwa kuwa ni lazima mashauri yao yaamuliwe mahakamani.
Ni kwa nini watanzania wengi hawana imani na mifumo ya mahakama?
Rushwa ni adui wa haki.Leo nilikuwa mahakamani ambapo nilikutana na mtu mmoja aliyenimbia kuwa ana kesi yake mahakamani lakini hana Imani kama mahakama itatenda haki.
Kwa uzowefu wangu ni kwamba watu wengi hawana Imani na mfumo wa mahakama ila hawana la kufanya kwa kuwa ni lazima mashauri yao yaamuliwe mahakamani.
Ni kwa nini watanzania wengi hawana imani na mifumo ya mahakama?
Nchi karibia zote za bara la Afrika isipokuwa South Africa kwa kiasi Fulani zina Mifumo ya Mihimili ya Dola iliyo dhaifu sana kupita kiasi. Kuna mihimili ya Dola ambayo imevurugika vibaya sana kiasi kwamba Serikali za nchi hizi zinaendeshwa kwa mtindo wa "Magenge ya Watu Walioshika silaha na kupora kila rasilimali ya nchi ili kujinufaisha wao binafsi na members wa Magenge yao". Mahakama zimekuwa kama Kamati za Kuhalalisha Uporaji wa Magenge ya Watawala na Kisha kuwatetea members wao, Waingereza Mahakama za namna hii wanaziita "Kangaroo Courts". Mahakama hizo ni kama "Kamati tu za Watetezi wa Magenge ya Watawala wa nchi" ndio maana haziaminiki huku Mahakimu au Majaji wakijinufaisha kwa kupokea rushwa, na rushwa imekuwa kama reward kwao kwa kazi ngumu ya kuwatetea watawala kwani pia wanajua fika kwamba hawataweza kuchukuliwa hatua zozote za kisheria kwani Mahakimu/Majaji na watawala ni mapacha wanaolindana na kuteteana kwa kila jambo.Leo nilikuwa mahakamani ambapo nilikutana na mtu mmoja aliyenimbia kuwa ana kesi yake mahakamani lakini hana Imani kama mahakama itatenda haki.
Kwa uzowefu wangu ni kwamba watu wengi hawana Imani na mfumo wa mahakama ila hawana la kufanya kwa kuwa ni lazima mashauri yao yaamuliwe mahakamani.
Ni kwa nini watanzania wengi hawana imani na mifumo ya mahakama?
Hata jaji mkuu nae kamasi TU.Mmh mahakama za TZ ni uozo mtupu. Yaan rushwa nje nje haki yako inapotea ivi ivi unaona.
Nilichofanyiwa sitakisahau, natamani kupata mawasiliano ya Jaji Mkuu nimwelezee
Yaani Profesa wa Sheria naye haaminiki?Hata jaji mkuu nae kamasi TU.
Hatuwezi kuibadili hali Hiyo??Kwa sababu ya kukosa maadili kwa hao viongozi wa mahakama
CWT ni tawi la CCM?? 😝😝😝Katika vitu vimeua nguvu ya mahakama ni katiba,hii nchi mahakama ni tawi la ccm kama ilivyo uvccm,bakwata,cwt n.k.
🏃🏃🏃🏃Daaah mmegonga misumari ileile
Hili nalo neno!!!Achana na mahakama, kuna taasisi gani ya serikali inayoaminiwa?
Inawezekana kwa kufanya maamuzi magumu na kuondoa ukiritimba unaosababisha mianya ya RushwaHatuwezi kuibadili hali Hiyo??