wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
πππ Mimi siwezi kua mshabiki wa team ya mseto.Hasa ukute wewe ni shabiki wa YANGA na matarajio juzi Simba afungwe lkn kashinda halafu paka akatishe mbele yake, hapo kuna haja ya kuuliza kitatokea Nini?
Hata sielewi ila kumuacha tu hivihivi unaona kama hujajitendea haki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka kama mazuri
Sasa kakukosa nini
Yani mimi kupiga mbwa koko aliyeko Road, ambaye anayemfuga anashindwa mjali kwa msosi qnakuja kuwinda kuku wangu inaleta laana katika ukoo wangu.Ni tabia mbaya mno....
Ni kukosa kulelewa vyema utotoni....
Ni roho za kishetani na kutomtambua Mwenyezi Mungu vilivyo.....
Ni kutoipenda dunia na ULIMWENGU.......
Ni kutohofu yasiyoonekana.....
Wanyama ni viumbe ambao kutowaheshimu huleta laana katika koo zetu na ndio maana UMASIKINI umetamalaki katika kaya nyingi za watanzania......
#YetzerHatov
#DO NOT DO HARM
#SIEMPRE JMT[emoji120]
Napiga zangu hot chair mara paka anakuja kukaa pemben yangu anataka nimdomdoshee kanyama,,kikwel uwa nasimama na kutaka kumshushia kipigo
Tumekukosea niniYani kunguru apite mbele yangu akae site nzuri jiwe linamuhusu
Unasemaje roho za kishetani na kutomtambua Mungu!?Ni tabia mbaya mno....
Ni kukosa kulelewa vyema utotoni....
Ni roho za kishetani na kutomtambua Mwenyezi Mungu vilivyo.....
Ni kutoipenda dunia na ULIMWENGU.......
Ni kutohofu yasiyoonekana.....
Wanyama ni viumbe ambao kutowaheshimu huleta laana katika koo zetu na ndio maana UMASIKINI umetamalaki katika kaya nyingi za watanzania......
#YetzerHatov
#DO NOT DO HARM
#SIEMPRE JMTπ
Roho ya Huruma,na roho ya ukatili hujidhihirisha vile tunavyoishi na hawa wanyama kwa hyo na rahisi kumtambua mtu ni wa aina gani vile anavyo mtreat mnyamaRoho mbaya, nafikiri na malezi pia.
ushamba, uchoyo na ulafi uacheNapiga zangu hot chair mara paka anakuja kukaa pemben yangu anataka nimdomdoshee kanyama,,kikwel uwa nasimama na kutaka kumshushia kipigo
Nyie ni ndege wahuni wahuni hapa mjiniTumekukosea nini
Kuku wa jirani wamefukuafukua kutafuta chakula kwenye bustani yangu, nilipokuja kushtuka ni kilio.kuku anatafuta chakula kwenye jua kali, mara mtu anaanza kumfukuza tu bila sababu.
Bado wana akili za babaric. Unaweza ona mtoto anafukuza paka wakati huyo paka hana time na yeye yuko bize tu kujitafutia panya na vijusiNi tabia mbaya sana, Wanyama ni viumbe ambao kutowaheshimu huleta laana maana ni vimbe walioumbwa na Mwenyezi Mungu, viumbe hivi kuvifanyia ubaya ni kumdhihaki Mwenyezi Mungu.
unakuta tu mtaani mbwa anapita mtu anaanza kumrushia mawe.
nyumbani kwako unafuga paka, ukimualika mgeni anaanza kumfukuza sshh tokaa!!
kuku anatafuta chakula kwenye jua kali, mara mtu anaanza kumfukuza tu bila sababu.
mbuzi analia meee meee kwavile ndivyo alivyoumbwa, mtu anachukia anaenda kumpiga
Mbwa anakulindia maisha yako, nyumba na mali zako ila mwaka mzima unashindwa kujiongeza hata kumpa msosi wa maana kidogo kama shukrani, huu ni uungwana kweli?
wanyama wanakosa lipi?