KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
Wazungu wanasema ukiona mtu mwenye hyo tabia, upeo wake wa kufikiri ni mdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko mambele unapewa kesi vizuuri kabisa. Yani umpige mnyama kimaanda maandazi tu[emoji2]Bado wana akili za babaric. Unaweza ona mtoto anafukuza paka wakati huyo paka hana time na yeye yuko bize tu kujitafutia panya na vijusi
Swadakta! Hili huwa linanichefua. Na wengine wasukuma wanavyotesa punda..nilikua naona Simiyu. Walikua wananikera sana wale washenzi kule.Ukitaka kujua maafrica ni makatili..ukute jitu linatumia ng'ombe kulima,hizo stiki huyo ng'ombe anazokula na matusi juu ni balaa.
Ni ujinga tu....hapa mtaani kwetu kuna watoto walikuwa wanatoka shule siku moja nikawaluta wanasalandia mbwa wangu aliyekuwa kwenye kibanda chake tena ndani ya geti wameshika mawe wamtungue. Nikawavizia na nikabahatiak kumkamata mmoja. Nikamuingiza ndani na kumfungulia mbwa amrarue na alimng'ata vizuri tu. Akaenda kwao kisha akarudi na wazazi wake kuja kulalamika na kunishitaki. Nikawaambia ukweli kilichotokea, baba wa mtoto kwa ujinga alionao alkasema eti huu ni mtaa wa Kiislam unafuga mbwa wa nini? Nikamjibu tu vibaka wengi wa hapa mtaani ni waislam Mze baba akanishangaa, wakaenda nishitaki Polisi Mabatini ila kesi haikufika mbali, ilifutwa. Yule dogo ni mwaka sasa hajathubutu kuja kurusha mawe tena, yuko tu makovu yake ya kujitakia.Ni tabia mbaya sana, Wanyama ni viumbe ambao kutowaheshimu huleta laana maana ni vimbe walioumbwa na Mwenyezi Mungu, viumbe hivi kuvifanyia ubaya ni kumdhihaki Mwenyezi Mungu.
unakuta tu mtaani mbwa anapita mtu anaanza kumrushia mawe.
nyumbani kwako unafuga paka, ukimualika mgeni anaanza kumfukuza sshh tokaa!!
kuku anatafuta chakula kwenye jua kali, mara mtu anaanza kumfukuza tu bila sababu.
mbuzi analia meee meee kwavile ndivyo alivyoumbwa, mtu anachukia anaenda kumpiga
Mbwa anakulindia maisha yako, nyumba na mali zako ila mwaka mzima unashindwa kujiongeza hata kumpa msosi wa maana kidogo kama shukrani, huu ni uungwana kweli?
wanyama wanakosa lipi?
Utotoni kulikuwa na michezo ya watoto kwenda kuwinda mijusi then kuwachezea na kuwaua.Roho ya Huruma,na roho ya ukatili hujidhihirisha vile tunavyoishi na hawa wanyama kwa hyo na rahisi kumtambua mtu ni wa aina gani vile anavyo mtreat mnyama
We jamaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani kunguru apite mbele yangu akae site nzuri jiwe linamuhusu
Ukitaka kujua maafrica ni makatili..ukute jitu linatumia ng'ombe kulima,hizo stiki huyo ng'ombe anazokula na matusi juu ni balaa.
Wazungu wanasema ukiona mtu mwenye hyo tabia, upeo wake wa kufikiri ni mdogo