Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Mbwa wangu amekula kochi. Leo nikirudi ni stiki za kutosha.... Kenge yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila sisi tunakupenda hasa sisi Kunguru ndio maana tunakunyea kichwani. YaleHapanaaaa sina urafiki na hao wanyama awe nyau au mbwa sitaki urafiki nao
Kama kusafisha uchafu usipate kipindupindu ni uhuni sawa binadamu tumekuelewaNyie ni ndege wahuni wahuni hapa mjini
Kweli mkuu, kuna watu wana moyo wa ajabu sana. Na hii tabia iko zaidi huku nchi masikini. Nadhani umasikini umeathiri hadi kwenye moyo, mtu anajikuta ana "ukatili" tu usioeleweka.viumbe hivi tumepewa mamlaka ya kuvitawala kihalali na si kuvinyanhasa ama kuvitesa, viumbe hivi kuvifanyia ubaya ni sawa na kumtemea mate usoni Mwenyezi Mungu.
unakuta tu mtaani mbwa anapita mtu anaanza kumrushia mawe.
nyumbani kwako unafuga paka, ukimualika mgeni anaanza kumfukuza sshh tokaa!!
kuku anatafuta chakula kwenye jua kali, mara mtu anaanza kumfukuza tu bila sababu.
mbuzi analia meee meee kwavile ndivyo alivyoumbwa, mtu anachukia anaenda kumpiga
usiombe kukutana na mtu anatumia ng'ombe kulima, yani hizo stiki huyo ng'ombe anazokula na matusi juu ni balaa.
Punda anabebeshwa mizigo mizito yani hata kuibeba unaona amavyoteseka na amechoka lakini mtu wala hajali.
Mbwa anakulindia maisha yako, nyumba na mali zako ila mwaka mzima unashindwa kujiongeza hata kumpa msosi wa maana kidogo kama shukrani, huu ni uungwana kweli?
wanyama wanakosa lipi?
Basi hao paka wenu wasituguseeeeAsante umenena mkuu yan mtu namualika nyumbani anamfukuza paka sebuleni hajui pale paka nae ni mwenyeji wake!
MOYO WAKO UMEJAA GIZA TUPU.Niliua paka mwenyewe tena kwa kutumia kwanja ndani tulikimbizana nikakata mguu alijikunyata mahala nilipita kwanja kadhaa za kichwa mpk akafa nikazika.
Wanyama ni wazuri ila wakila mifugo yetu kama kuku mengine ni hatari sana.
Asante umenena mkuu yan mtu namualika nyumbani anamfukuza paka sebuleni hajui pale paka nae ni mwenyeji wake!
Unasemaje roho za kishetani na kutomtambua Mungu!?
Hujaenda nyumba ya mlokole anayemiliki maji ya Bulldozer, Hadi mende, mjusi huwa anamwagiwa maji, na kupigiwa kelele shindwaaaaah!
Hii haina tofauti na wale watanzania pale kivukoni wakishashuka kwenye ferry wanaanza kukimbia, bc ujue matatizo na shida ndiyo yanawafanya watu waheuke wafanye mambo kama hayo.
Hii haina tofauti na wale watanzania pale kivukoni wakishashuka kwenye ferry wanaanza kukimbia, bc ujue matatizo na shida ndiyo yanawafanya watu waheuke wafanye mambo kama hayo.
Hata tabia ya kuachia hao, wanyama wenu wazagae kiholela mtaani ni ushamba pia.Ni tabia mbaya sana.
Inaonesha ambavyo nafsi zetu ni katili, zisizo na huruma na ushamba