Kwanini Watanzania wengi hufukuza ama kupiga wanyama bila sababu?

Kwanini Watanzania wengi hufukuza ama kupiga wanyama bila sababu?

Hhah napenda paka alikuwa akiona hujatandika kitanda haji kulala ukitandika tu anakuja lala weeeeee akiamka anaenda sehemu yake ya kukojoa anakojoa hajawah kukojoa kitandani au kujisaidia popote ndani kisha huyo anakufata umfatie nyama,kuna siku nikamkuta chooni anakojoa [emoji23][emoji23][emoji23] nilicheka mno
Ikifika usiku wakati wa kulala nae anaenda kupanda kitandani kulala kile kile kitanda habadilishi,anajiingiza kwenye blanket basi hicho kitanda ni aunt yangu,muda mwingine aunt kapitiwa usingizi paka anaenda penyeza kwenye blanket analala akamtengenezea sehemu yake ya kulala akawa anamuekea alale lakin sasa mkiaka asubuhi anapanda kitandani analala ndani ya blanket nikija kutoa blanket anakuwa mkali tunaanza kuvutiana blanket nilikuwa nacheka jamani,mkifunga mlango kama hajaingia ndani wee atapiga piga huo mlango na kulia mpaka mtamfungulia aje alale ndani eti kulala nje hawezi
Kero ya paka ni kwamba huwa anaajiona yeye ndio anakumiliki wewe, vile anavyoona unamlisha, unamshika shika, n.k anaona yeye ndie bosi wako, yani inafikia kipindi kama siku mnapika samaki na yeye mmempa dagaa, hatakula hizo dagaa 😂 atasubiria samaki hao mnaowaunga ama kuwakaanga. 😂😂😂 ubaya wa paka mwengine ni kwamba mda wowote anaweza kuondoka hapo kwenu anarudi baada ya miezi ana mimba 😂😂

Kwa mbwa tayari huwa anajua wewe ndie master / mmiliki wake, inakuwa rahisi hata kufundishika, ila sasa wabongo wengi wanatesa mbwa wao.
 
Ni ujinga tu....hapa mtaani kwetu kuna watoto walikuwa wanatoka shule siku moja nikawaluta wanasalandia mbwa wangu aliyekuwa kwenye kibanda chake tena ndani ya geti wameshika mawe wamtungue. Nikawavizia na nikabahatiak kumkamata mmoja. Nikamuingiza ndani na kumfungulia mbwa amrarue na alimng'ata vizuri tu. Akaenda kwao kisha akarudi na wazazi wake kuja kulalamika na kunishitaki. Nikawaambia ukweli kilichotokea, baba wa mtoto kwa ujinga alionao alkasema eti huu ni mtaa wa Kiislam unafuga mbwa wa nini? Nikamjibu tu vibaka wengi wa hapa mtaani ni waislam Mze baba akanishangaa, wakaenda nishitaki Polisi Mabatini ila kesi haikufika mbali, ilifutwa. Yule dogo ni mwaka sasa hajathubutu kuja kurusha mawe tena, yuko tu makovu yake ya kujitakia.
Kama hili ni tukio kweli umelifanya kwa mtoto,hakika ulivuka mipaka...ila naona ni kama tu umeamua kuchangia mada kwa chai.
 
Ni mazoea mabaya tu.

Tunapaswa kuwahurumia, na kutowatesa.
 
viumbe hivi tumepewa mamlaka ya kuvitawala kihalali na si kuvinyanyasa ama kuvitesa, viumbe hivi kuvifanyia ubaya ni sawa na kumtemea mate usoni alietuumba.

unakuta tu mtaani mbwa anapita mtu anaanza kumrushia mawe.

nyumbani kwako unafuga paka, ukimualika mgeni anaanza kumfukuza sshh tokaa!!

kuku anatafuta chakula kwenye jua kali, mara mtu anaanza kumkimbiza tu bila sababu.

mbuzi analia meee meee kwavile ndivyo alivyoumbwa, mtu anachukia anaenda kumpiga

usiombe kukutana na mtu anatumia ng'ombe kulima, yani hizo stiki huyo ng'ombe anazokula na matusi juu ni balaa.

Punda anabebeshwa mizigo mizito yani hata kuibeba unaona wazi jinsi anavyoteseka lakini mtu wala hajali.


Mbwa anakulindia maisha yako, nyumba na mali zako ila haogeshwi amejaa kupe, kibanda chake hakijasafishwa mda mrefu viroboto kibao, kumlisha ni ugali na dagaa kila siku yani hata kusema umpe nyama mara moja moja kama shukrani ya ulinzi wake hamna.


Hivi hawa wanyama wanakosa lipi?
Ni hali ya umaskini tu wa hali na mali akili na nafsi zetu ni maskini sana, ndio maana roho mbaya zinatutawala
 
Kero ya paka ni kwamba huwa anaajiona yeye ndio anakumiliki wewe, vile anavyoona unamlisha, unamshika shika, n.k anaona yeye ndie bosi wako, yani inafikia kipindi kama siku mnapika samaki na yeye mmempa dagaa, hatakula hizo dagaa 😂 atasubiria samaki hao mnaowaunga ama kuwakaanga. 😂😂😂 ubaya wa paka mwengine ni kwamba mda wowote anaweza kuondoka hapo kwenu anarudi baada ya miezi ana mimba 😂😂

Kwa mbwa tayari huwa anajua wewe ndie master / mmiliki wake, inakuwa rahisi hata kufundishika, ila sasa wabongo wengi wanatesa mbwa wao.
Na pia paka wanaringa na dharau ila nawapenda wanavyodeka tu nadhan ndio wameumbwa hivyo
Sijawah kuishi na mbwa ila najua ni wazuri
 
Yes, sichezi na wajinga kwani huyu mtoto na wenzake huu ulikuwa mchezo wao.....kila nikawakataza walifanya kama mchezo. Wakitoka shule na madrasat wanapitia nyumbani na kurushia mbwa mawe ili awabwakie tu. Mtoto akicheza na moto au wembe -----------!
Akili yako haipo sawa, yaan mtoto anafanana na mbwa?? Hao wazazi labda ni masikini sana ila ingekua mm show ungeipata vzur
 
viumbe hivi tumepewa mamlaka ya kuvitawala kihalali na si kuvinyanyasa ama kuvitesa, viumbe hivi kuvifanyia ubaya ni sawa na kumtemea mate usoni alietuumba.

unakuta tu mtaani mbwa anapita mtu anaanza kumrushia mawe.

nyumbani kwako unafuga paka, ukimualika mgeni anaanza kumfukuza sshh tokaa!!

kuku anatafuta chakula kwenye jua kali, mara mtu anaanza kumkimbiza tu bila sababu.

mbuzi analia meee meee kwavile ndivyo alivyoumbwa, mtu anachukia anaenda kumpiga

usiombe kukutana na mtu anatumia ng'ombe kulima, yani hizo stiki huyo ng'ombe anazokula na matusi juu ni balaa.

Punda anabebeshwa mizigo mizito yani hata kuibeba unaona wazi jinsi anavyoteseka lakini mtu wala hajali.


Mbwa anakulindia maisha yako, nyumba na mali zako ila haogeshwi amejaa kupe, kibanda chake hakijasafishwa mda mrefu viroboto kibao, kumlisha ni ugali na dagaa kila siku yani hata kusema umpe nyama mara moja moja kama shukrani ya ulinzi wake hamna.


Hivi hawa wanyama wanakosa lipi?
Wasukuma wana tabia ya kutesa sana punda.Nenda uone wamasai wanavyotunza punda wao
 
viumbe hivi tumepewa mamlaka ya kuvitawala kihalali na si kuvinyanyasa ama kuvitesa, viumbe hivi kuvifanyia ubaya ni sawa na kumtemea mate usoni alietuumba.

unakuta tu mtaani mbwa anapita mtu anaanza kumrushia mawe.

nyumbani kwako unafuga paka, ukimualika mgeni anaanza kumfukuza sshh tokaa!!

kuku anatafuta chakula kwenye jua kali, mara mtu anaanza kumkimbiza tu bila sababu.

mbuzi analia meee meee kwavile ndivyo alivyoumbwa, mtu anachukia anaenda kumpiga

usiombe kukutana na mtu anatumia ng'ombe kulima, yani hizo stiki huyo ng'ombe anazokula na matusi juu ni balaa.

Punda anabebeshwa mizigo mizito yani hata kuibeba unaona wazi jinsi anavyoteseka lakini mtu wala hajali.


Mbwa anakulindia maisha yako, nyumba na mali zako ila haogeshwi amejaa kupe, kibanda chake hakijasafishwa mda mrefu viroboto kibao, kumlisha ni ugali na dagaa kila siku yani hata kusema umpe nyama mara moja moja kama shukrani ya ulinzi wake hamna.


Hivi hawa wanyama wanakosa lipi?
Yaani ni ukweli mtupu..!! Tunawabutuaga vibaya sana yaani..!! Enzi zetu tukikuta mbwa wamenasiana yaani tunabiga haswaa.. Hata sijui ilikuwa kwa sababu gani.. MUNGU ATUSAMEHE KWA KWELI
 
Si unaona hapa dogydogy wangu anaitwa wisky anaingia ndani

Na chill naye .....kwanza wakati mwingine naonaga bora mnyama kuliko binadam,maana mwanadam
Hata umfanyie nini hana shkran
Minafki tu
Nje yuko simba,simba mtata zaidi hanaga kujuana na watu
Hawa ndiyo rafiki zang wa unwell

Ova
20220419_154011.jpg
 
Asili ya mwafrika huwa hapendi wanyama na hili huusishwa na Imani za kishirikina mf. Paka,panya,bundi,nyoka,njiwa,mijusi, fisi na vingine vingi. Wazee wetu ndio chanzo.
 
Kuna wale paka wanaofugwa na kurandaranda kwenye pub au migahawa ya uswahilini. Kila wakiona mteja kapewa huduma ya chakula nao usogea miguni wakivizia wadondoshewe chakula. Uwa najiuliza kama hao paka ni wa wamiliki wa hizo pub au migahawa ambao wapo pale kwa lengo la kukubiliana na panya kwa nini wasiwe wanawaandalia hata makombo ya chakula kilichobakizwa na wateja kwa kuwawekea sehemu yao maalumu ili wasiwe wanawabugudhi wateja kwa kuwazongazonga miguuni? Maana mteja kula chakula huku kamkaushia paka anaemzongazonga huku akilia nako kunamletea aibu mbele ya wateja wengine na akisema ampe sehemu ya chakula alichohudumiwa kama ni kidogo basi yeye anaweza asishibe.
 
Back
Top Bottom