Kwanini Watanzania wengi hufukuza ama kupiga wanyama bila sababu?

Kwanini Watanzania wengi hufukuza ama kupiga wanyama bila sababu?

Hebu chukulia mfano yanayoendelea Ukraine, mtu unamkuta anaenda kutafuta hifadhi pamoja na mnyama wake, leo hii sitashangaa hapa kwetu mtu akihamia hata mtaa wa nne basi atamtelekeza mbwa wake.

kuwatesa wanyama ni kumtemea mate usoni Mwenyezi Mungu alieumba viumbe vyote,

kuna hizi tabia mbaya sana zimezoeleka na watanzania wengi kwa wanyama 👇👇

-unakuta tu mtaani mbwa anajipitia zake, mtu anaanza kumrushia mawe.

-nyumbani kwako unafuga paka, ukimualika mgeni anaanza kumfukuza sshh tokaa!! aende wapi sasa wakati hapo ni kwao ?

-Mtu kavimbiwa nyama, zile zilizobaki ambazo hata hajazila anaenda kutupa badala ya kumpa hata mbwa au paka wanaeishi nae

-kuku yupo bize anatafuta chakula, mara mtu anaanza kumkimbiza tu bila sababu.

-Mbuzi ameletwa kwajili ya nyama ya sherehe, usiku umefika anaachwa ukutani, yani mtu hata hajali kama kuna baridi, mvua, mbuzi angalau apumzike vizuri siku yake ya mwisho, n.k.

-usiombe kukutana na mtu anatumia ng'ombe kulima, yani hizo stiki huyo ng'ombe anazokula na matusi juu ni balaa.

-Dume limempanda jike, mtu anaanza kuwarusha mawe.

-mbuzi analia meee meee kwavile ndivyo alivyoumbwa, mtu anachukia anaenda kumpiga.

-Punda anabebeshwa mizigo mizito yani hata kutembea inakuwa shida lakini mtu wala hajali.

-Mbwa kila usiku anakulinda wewe, familia yako na mali ila kibanda chake hakijasafishwa mwaka mzima kimejaa viroboto, chakula chake ni makombo kila siku, yani mtu hajiongezi hata kumpa nyama mara moja kama shukrani ya ulinzi anaompa.


Hivi hawa wanyama wanakosa lipi?

Uwezo mdogo wa kufikiri. Unajua wanyama wana hisia kama sisi, wanapata maumivu, wanaumia wakipigwa, wanapata huzuni ndugu zao wakifa.

Kwa sababu hawawezi kuongea kama sisi, haimainishi tusiwathimini, tusiwape heshima.
 
Aisee me nisingekuwa na mudA wa Kuna kukuuliza Wala kuendesha kesi ilikuwa ni kuwatia vilema wote wewe na mbwa wako,huwezi linganisha thamani ya mtoto na ya mbwa,never hata kiuumbaji Mungu alimpendelea zaidi binadamu
Una upungufu fulani wa akili kichwani mwako, ebu kajipime tena. Yaani mwanao apande juu ya mti na kupiga mbwa wangu mawe makusudi kisa mtaa ni wa waislam, huu ni uungwana? Niliwalalamikia wazazi wao juu ya watoto wao kufanya hivyo lakini wapi, walionekana kama hawajali. Walikuja juu tu baada ya mtoto wao kuraruliwa na mbwa ndipo wakanipeleka Mahakamani. Simzuii mtu yeyote anayejitakia matatizo nami, mimi na mbwa wangu tunawakaribisha, hata wewe unakaribishwa pia kuja kuturushia mawe.
 
Shukuru umekutana na wazazi wastaarabu sio watu wa visasi yaaani mchukue Mwanangu ufanye ulichotenda kisha nikuache aiseee utajua hujui😬
Mtume mwanao aje kupiga mbwa wangu kisha uje kuzungumza haya. Atakachokipata yeye na wewe mtabaki kushangaa kuwa dunia ina watu.
 
Una upungufu fulani wa akili kichwani mwako, ebu kajipime tena. Yaani mwanao apande juu ya mti na kupiga mbwa wangu mawe makusudi kisa mtaa ni wa waislam, huu ni uungwana? Niliwalalamikia wazazi wao juu ya watoto wao kufanya hivyo lakini wapi, walionekana kama hawajali. Walikuja juu tu baada ya mtoto wao kuraruliwa na mbwa ndipo wakanipeleka Mahakamani. Simzuii mtu yeyote anayejitakia matatizo nami, mimi na mbwa wangu tunawakaribisha, hata wewe unakaribishwa pia kuja kuturushia mawe.
Wewe ni mbongo halisi na itabaki kuwa hivyo,upeo wako tuu waonesha,there was a thousands of options you could have done rather than your pathetic and inhumanity actions to a kid
Hata watetezi wa haki za wanyama hawawezi kukutetea juu ya upuuzi uliofanya,ila sikushauri uache endelea hivyo kuexpose mbwa Koko wako kwa watoto wadogo na ukiwakuta wakamate uwang'atishe kwa mbwa ila soon you will get what you deserve
 
Wewe ni mbongo halisi na itabaki kuwa hivyo,upeo wako tuu waonesha,there was a thousands of options you could have done rather than your pathetic and inhumanity actions to a kid
Hata watetezi wa haki za wanyama hawawezi kukutetea juu ya upuuzi uliofanya,ila sikushauri uache endelea hivyo kuexpose mbwa Koko wako kwa watoto wadogo na ukiwakuta wakamate uwang'atishe kwa mbwa ila soon you will get what you deserve
I repeat, you gotta be stupid or something insane is bothering your ass. You are talking about inhumanity without even thinking, do you know what inhumane is as a vocab? Ask your stupid ass, is climbing a tree and hitting sleeping dogs with stones humane? Mtu alishaonywa countless times na wazazi wake wakaambiwa but didn't care warning their child wanamwacha tu akifanya ujinga, is this my dumb problem? Asiyefunzwa na wazazi......?
 
Ni tabia mbaya sana.

Inaonesha ambavyo nafsi zetu ni katili, zisizo na huruma na ushamba
You nailed it!! Nafsi ya Mtu katili asiyekuwa na cheo inaonekana katika mateso anayoweza mfanyia mnyama asiyekuwa na hatia!!
 
Hukuona mfano askari polisi wa Kenya 2000 wana matatizo ya akili
Hao ndio Askari wanaofanya patrol na kuwachunga wananchi
Sasa raia wa kawaida ndio kabisa tunatishwa kwa maneno tu
Aisee hatari sana na nina uhakika hata hapa Tanzania mapolisi wengi ni vichaa ila ndiyo hivyo tena hawajijuwi
 
Kuna hawa wanaotomba mifugo wakamatwe walipe faini wafungwe


Sasa bora hizi chips funga zingehamia vijijini wana umuhimu sana hawa wadada
 
Mi napenda wanyama haswa paka nawapenda sana
Kuna siku niliona video mtu kaweka stastus inaonyesha jamaa kamkaba paka shingon anamkandamiza huku akipiga pushup jamani niliumia sana yule paka alikuwa analia jamani nahisi alimuua
Mi siwapendi PAKA, Mbwa Koko,
Kuna mbwa wana faida, sio mbwa wanatiana hata mbele ya watu
 
Hhah napenda paka alikuwa akiona hujatandika kitanda haji kulala ukitandika tu anakuja lala weeeeee akiamka anaenda sehemu yake ya kukojoa anakojoa hajawah kukojoa kitandani au kujisaidia popote ndani kisha huyo anakufata umfatie nyama,kuna siku nikamkuta chooni anakojoa [emoji23][emoji23][emoji23] nilicheka mno
Ikifika usiku wakati wa kulala nae anaenda kupanda kitandani kulala kile kile kitanda habadilishi,anajiingiza kwenye blanket basi hicho kitanda ni aunt yangu,muda mwingine aunt kapitiwa usingizi paka anaenda penyeza kwenye blanket analala akamtengenezea sehemu yake ya kulala akawa anamuekea alale lakin sasa mkiaka asubuhi anapanda kitandani analala ndani ya blanket nikija kutoa blanket anakuwa mkali tunaanza kuvutiana blanket nilikuwa nacheka jamani,mkifunga mlango kama hajaingia ndani wee atapiga piga huo mlango na kulia mpaka mtamfungulia aje alale ndani eti kulala nje hawezi
Mi wangeshangaa hawaioni paka
 
Back
Top Bottom