Kwanini Watanzania wengi hufukuza ama kupiga wanyama bila sababu?

Kwanini Watanzania wengi hufukuza ama kupiga wanyama bila sababu?

Mtu anadaiwa kodi ya nyumba, ana mgonjwa, hela hana, anaumwa njaa n.k halafu mbwa koko apite karibu yake yaani hicho kitofa cha uso atakachokula hutoamini au kunguru ajichanganye kwenye paa la chuma alichopanga kwaaaa kwaaaa yaani atakavyotifuliwa manyoya hatoamini but all in all its natural hatred against animals.
 
Wengi ni laana na uporaji wa mali za masikini na wengine msongo wa mawazo unachangia
Hawana maisha mazuri na kwa kuwa wanachukiwa inakuwa vigumu kujichanganya na watu wa kawaida
Uyasemayo ni kweli kwao kutokuwa na maisha mazuri, lakini yote hii inatokana na ukweli kuwa hata maboss wao wanajuwa kuwa ile kazi imejawa na laana tu na ndiyo maana hata maisha yao ya uraiani baada ya kustaafu ni full vituko. Uje sasa wanakoishi kwenye kota zao, vyoo vimejaa mavi mpaka nje ya mlango, wake zao wakiliwa uroda na wenzao....yaani laana tupu tu.
 
Uyasemayo ni kweli kwao kutokuwa na maisha mazuri, lakini yote hii inatokana na ukweli kuwa hata maboss wao wanajuwa kuwa ile kazi imejawa na laana tu na ndiyo maana hata maisha yao ya uraiani baada ya kustaafu ni full vituko. Uje sasa wanakoishi kwenye kota zao, vyoo vimejaa mavi mpaka nje ya mlango, wake zao wakiliwa uroda na wenzao....yaani laana tupu tu.

Toba
Maskini hao ni wa kuwahurumia tu maana ni majanga tu
 
Hebu chukulia mfano yanayoendelea Ukraine, mtu unamkuta anaenda kutafuta hifadhi pamoja na mnyama wake, leo hii sitashangaa hapa kwetu mtu akihamia hata mtaa wa nne basi atamtelekeza mbwa wake.

kuwatesa wanyama ni kumtemea mate usoni Mwenyezi Mungu alieumba viumbe vyote,

kuna hizi tabia mbaya sana zimezoeleka na watanzania wengi kwa wanyama 👇👇

-unakuta tu mtaani mbwa anajipitia zake, mtu anaanza kumrushia mawe.

-nyumbani kwako unafuga paka, ukimualika mgeni anaanza kumfukuza sshh tokaa!! aende wapi sasa wakati hapo ni kwao ?

-Mtu kavimbiwa nyama, zile zilizobaki ambazo hata hajazila anaenda kutupa badala ya kumpa hata mbwa au paka wanaeishi nae

-kuku yupo bize anatafuta chakula, mara mtu anaanza kumkimbiza tu bila sababu.

-Mbuzi ameletwa kwajili ya nyama ya sherehe, usiku umefika anaachwa ukutani, yani mtu hata hajali kama kuna baridi, mvua, mbuzi angalau apumzike vizuri siku yake ya mwisho, n.k.

-usiombe kukutana na mtu anatumia ng'ombe kulima, yani hizo stiki huyo ng'ombe anazokula na matusi juu ni balaa.

-Dume limempanda jike, mtu anaanza kuwarusha mawe.

-mbuzi analia meee meee kwavile ndivyo alivyoumbwa, mtu anachukia anaenda kumpiga.

-Punda anabebeshwa mizigo mizito yani hata kutembea inakuwa shida lakini mtu wala hajali.

-Mbwa kila usiku anakulinda wewe, familia yako na mali ila kibanda chake hakijasafishwa mwaka mzima kimejaa viroboto, chakula chake ni makombo kila siku, yani mtu hajiongezi hata kumpa nyama mara moja kama shukrani ya ulinzi anaompa.


Hivi hawa wanyama wanakosa lipi?
Unakuta Mbwa jike na Dume wananyanduana na kwa kawaida huwa zinang'ang'aniana. Sasa watakula kipigo hao mpaka waachiane.

Kiukweli ni roho ya kikatili tu. Si kwamba unakuta mnyama ana kosa wala nini ila ni vile tu sisi ni wakatili.
 
Hebu chukulia mfano yanayoendelea Ukraine, mtu unamkuta anaenda kutafuta hifadhi pamoja na mnyama wake, leo hii sitashangaa hapa kwetu mtu akihamia hata mtaa wa nne basi atamtelekeza mbwa wake.

kuwatesa wanyama ni kumtemea mate usoni Mwenyezi Mungu alieumba viumbe vyote,

kuna hizi tabia mbaya sana zimezoeleka na watanzania wengi kwa wanyama 👇👇

-unakuta tu mtaani mbwa anajipitia zake, mtu anaanza kumrushia mawe.

-nyumbani kwako unafuga paka, ukimualika mgeni anaanza kumfukuza sshh tokaa!! aende wapi sasa wakati hapo ni kwao ?

-Mtu kavimbiwa nyama, zile zilizobaki ambazo hata hajazila anaenda kutupa badala ya kumpa hata mbwa au paka wanaeishi nae

-kuku yupo bize anatafuta chakula, mara mtu anaanza kumkimbiza tu bila sababu.

-Mbuzi ameletwa kwajili ya nyama ya sherehe, usiku umefika anaachwa ukutani, yani mtu hata hajali kama kuna baridi, mvua, mbuzi angalau apumzike vizuri siku yake ya mwisho, n.k.

-usiombe kukutana na mtu anatumia ng'ombe kulima, yani hizo stiki huyo ng'ombe anazokula na matusi juu ni balaa.

-Dume limempanda jike, mtu anaanza kuwarusha mawe.

-mbuzi analia meee meee kwavile ndivyo alivyoumbwa, mtu anachukia anaenda kumpiga.

-Punda anabebeshwa mizigo mizito yani hata kutembea inakuwa shida lakini mtu wala hajali.

-Mbwa kila usiku anakulinda wewe, familia yako na mali ila kibanda chake hakijasafishwa mwaka mzima kimejaa viroboto, chakula chake ni makombo kila siku, yani mtu hajiongezi hata kumpa nyama mara moja kama shukrani ya ulinzi anaompa.


Hivi hawa wanyama wanakosa lipi?
Aise hongera sana utakwenda peponi
wasukuma wananiuzi sana hawajui kutunza punda kama wamasai
 
Kuna siku nilikiwa namfukuza paka mmoja hivi alipita mbele yangu,basi tumefukuzana weee gafla kuna panya alijichanganya mbele ya yule paka..kudadadeki yule paka mpuuzi sana eti akaunganisha root na kuanza na yeye kumfukuza yulee panyaa.
basi ikawa panya mbele,paka kati na mimi nyuma....daah kushtuka tumetokezea nyumba moja ina mbwa mmoja mbabe hatari...ile paaaah huyu hapa wo!wo!wo!wow! akaniungia mi nyuma yangu.weeeee ! nilikula kona ya gafla zilipigwa breki za gafla vumbiii tu..tukachanganyana pale kila mmoja kuokoa maisha yake...vumbi lilipotulia nikajikuta nipo uelekeo mmoja na yule panya, yeye mbele mimi nyuma..

nahisi yule panya sijui alikuwa anajua mimi bado yu paka....kumbe maskini mimi sikuwa hata na time nae,nilikuwa najiokolea maisha yangu tu...wale paka na mbwa nao sijui waliunga na uelekeo upi...maana lile timbwili lilikuwa la kushtukiza ....
 
Kuna siku nilikiwa namfukuza paka mmoja hivi alipita mbele yangu,basi tumefukuzana weee gafla kuna panya alijichanganya mbele ya yule paka..kudadadeki yule paka mpuuzi sana eti akaunganisha root na kuanza na yeye kumfukuza yulee panyaa.
basi ikawa panya mbele,paka kati na mimi nyuma....daah kushtuka tumetokezea nyumba moja ina mbwa mmoja mbabe hatari...ile paaaah huyu hapa wo!wo!wo!wow! akaniungia mi nyuma yangu.weeeee ! nilikula kona ya gafla zilipigwa breki za gafla vumbiii tu..tukachanganyana pale kila mmoja kuokoa maisha yake...vumbi lilipotulia nikajikuta nipo uelekeo mmoja na yule panya, yeye mbele mimi nyuma..

nahisi yule panya sijui alikuwa anajua mimi bado yu paka....kumbe maskini mimi sikuwa hata na time nae,nilikuwa najiokolea maisha yangu tu...wale paka na mbwa nao sijui waliunga na uelekeo upi...maana lile timbwili lilikuwa la kushtukiza ....

Una miaka mingapi
 
Kuna siku nilikiwa namfukuza paka mmoja hivi alipita mbele yangu,basi tumefukuzana weee gafla kuna panya alijichanganya mbele ya yule paka..kudadadeki yule paka mpuuzi sana eti akaunganisha root na kuanza na yeye kumfukuza yulee panyaa.
basi ikawa panya mbele,paka kati na mimi nyuma....daah kushtuka tumetokezea nyumba moja ina mbwa mmoja mbabe hatari...ile paaaah huyu hapa wo!wo!wo!wow! akaniungia mi nyuma yangu.weeeee ! nilikula kona ya gafla zilipigwa breki za gafla vumbiii tu..tukachanganyana pale kila mmoja kuokoa maisha yake...vumbi lilipotulia nikajikuta nipo uelekeo mmoja na yule panya, yeye mbele mimi nyuma..

nahisi yule panya sijui alikuwa anajua mimi bado yu paka....kumbe maskini mimi sikuwa hata na time nae,nilikuwa najiokolea maisha yangu tu...wale paka na mbwa nao sijui waliunga na uelekeo upi...maana lile timbwili lilikuwa la kushtukiza ....
Huyu jamaa atakuwa ametupanga weee hahahaha
 
Yani kunguru apite mbele yangu akae site nzuri jiwe linamuhusu
Na hii ndiyo laana imayotuhusu wengi tuu kwani huwezi jua kunguru anataka kukuepusha na nini. Hivi kunguru akitua jalalani kula mzoga wewe inakuuma nini hasa??
 
Na hii ndiyo laana imayotuhusu wengi tuu kwani huwezi jua kunguru anataka kukuepusha na nini. Hivi kunguru akitua jalalani kula mzoga wewe inakuuma nini hasa??
Kwani kuna shida??kama laana ushalaanika na vingi tu laana za kunguru hakuna tabu
 
Back
Top Bottom