#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

Ile kamati ya Corona haikuja na majibu ya maswali kadhaa ambayo ni lazima yajibiwe kwanza kabla ya kutumia hiyo chanjo. Maswali hayo ni:-
(1)Mtu akipata hiyo chanjo hawezi kuambukizwa au kuambukiza Corona?
(2) Kama kweli hiyo chanjo inasaidia, kwa nini basi waliopata chanjo huko Duniani wanaendelea kuvaa barakoa na vifo vinaendelea kama kawaida?
(3)Ni Nchi gani Duniani wananchi wake wamepata chanjo na sasa Corona imetoweka katika Nchi hiyo?
Tunaomba kwanza Maswali haya yajibiwe kabla ya kutumia hiyo chanjo.
1. Yes hawezi ambukizwa but hakuna tiba yenye success rate ya 100% so wanavaa barakoa just in case kuna upenyo wa 0.01% ya mtu kupata maradhi. Kama tu condom kuna waliovaa lakini bado wakapata magonjwa ya zinaa na VVU!!

2. Chanjo haitibu ila ina zuia maambukizi..... Ili iwe na ufanisi inatakiwa walau 70% ya watu wawe wamechanjwa kwenye eneo husika. Israel nadhani wamechanja zaidi ya 60% na maambukizi yameshuka

Screenshot_2021-05-23-23-52-09-1.png


3. Israel

Screenshot_2021-05-23-23-57-10-1.png


Kama unavyoona case zimetoka elfu 1 na kitu kwa siku mpka kesi 1 kufikia 16 May ikionyesha kuna correlation kati ya kuongezeka kwa utoaji chanjo na kupungua kwa maambukizi.

Screenshot_2021-05-23-23-54-55-1.png


Cc UHURU JR
 
Yaani watu na akili zao chanjo wanayo na bado wanakufa!
Nyie ndo mnajifanya mnajua kuliko hao?
Chanjo haizuii kifo inazuia maambukizi.... So ukichanja wengi ndio unapunguza maambukizi hivo vifo vitapungua. Nmeweka takwimu hapo juu
 
India ndiyo walikuwa wasambazaji wakubwa wa chanjo unafahamu kinachowakabili?
Population yao ni kubwa...... Chanjo zinatakiwa billion 2. So subiri wachanjwe walau 60% ya population alafu tuone kejeli zako kma zitasaidia kitu. Sijui mtaficha wapi sura zenu mwakani baada ya wahindi wote kuchanjwa na eventually ugonjwa kutoweka.

Hizi kejeli alikuwa nazo JPM kumbe anategemea kopo la mzungu limuongezee maisha. Siku linazima naye akafa.... Utadhani sio yeye aliekuwa akiwakejeli wazungu eti watengeneze kinga ya VVU na Malaria?
 
Population yao ni kubwa...... Chanjo zinatakiwa billion 2. So subiri wachanjwe walau 60% ya population alafu tuone kejeli zako kma zitasaidia kitu. Sijui mtaficha wapi sura zenu mwakani baada ya wahindi wote kuchanjwa na eventually ugonjwa kutoweka.

Hizi kejeli alikuwa nazo JPM kumbe anategemea kopo la mzungu limuongezee maisha. Siku linazima naye akafa.... Utadhani sio yeye aliekuwa akiwakejeli wazungu eti watengeneze kinga ya VVU na Malaria?
 
Wengi tunakataa sababu hakuna chanjo ambayo wanachanjwa watu bila kufanyiwa majaribio ya muda mrefu na kujua athari zake pia,hii ni biashara ya wahuni ambao wanataka watufanye mazombie, hao hao ndio walitangaza mwaka jana kwamba bara la Afrika litatapakaa maiti barabarani, matokeo yake sote tunajua hakuna maiti hao waliosema ndio haohao wametengana kwa ajili ya ujinga wao na hadi walifikia kutaka kuhonga au kujipendekeza kwa watoa tuzo ya Nobel ili wapewe tuzo hiyo maarufu duniani, ndio maana tunasita kuwaamini na hizo chanjo zao ambazo wao ndio watoa fedha.
Vp simu unayotumia kutapika pumba humu haina mionzi ya kukuletea kansa kutoka kwa mabeberu ilo kutuua waafrika? Vp Ukienda hospitali ultra sound na CT scan hazina madhara kwa afya yako? Kwanini usitumie mitishamba kuepuka mabeberu kukuua?

Umevaa mpaka mtumba wa mzungu mpaka boxer za mzungu alafu unapovuka hapa. Kama anataka kukuua hiyo boxer mtumba uliovaa si angeiweka polonium!!

Ww akili zako kma Jiwe tu.... Kejeli kwa wazungu kumbe alikua anapumua kwa uwezo wa mzungu. Siku mashine inazima naye akaaga dunia..... Kma wazungu walitaka kumuua si wangemnyima defibrillator?
 
Population yao ni kubwa...... Chanjo zinatakiwa billion 2. So subiri wachanjwe walau 60% ya population alafu tuone kejeli zako kma zitasaidia kitu. Sijui mtaficha wapi sura zenu mwakani baada ya wahindi wote kuchanjwa na eventually ugonjwa kutoweka.

Hizi kejeli alikuwa nazo JPM kumbe anategemea kopo la mzungu limuongezee maisha. Siku linazima naye akafa.... Utadhani sio yeye aliekuwa akiwakejeli wazungu eti watengeneze kinga ya VVU na Malaria?
Embu tuwe makini kidogo
 
Huu utoto pelekeni FB..... Takwimu nimekuwekea hapo juu. Tatizo lenu wavivu wa kusoma mmekalia tu umbea. Ssa mtu achomwe sindano ya uongo ilo iweje?? Kwani akiweka hata glucose utajua? Jitu limekomaa eti hawachomwi..... Bora angesema wanachomwa chanjo ya yellow fever sio eti HAWACHOMWI KABISA.

Afu utakuta mijitu uswahilini inaamini kabisa..... Hii nchi JPM alituharibu sana
 
Msweet unapotosha kwa makusudi. Hakuna dawa au chanjo duniani yenye success rate ya 100%

Ni sawa na kusema eti kma ARV haiponeshi Ukimwi wala haizuii kuambukiza mtu basi tusitumie kabisa..... Mtu akiugua VVU aachwe tu mpaka afe maana hta akitumia ARV sio guarantee ya kupona au kutoambukiza? Are you out of ur senses.

Then anasema ukipata madhara serikali haipo liable? Hvi ukipata madhara kwa kutumia Panadol kuna compensation? Ama ukitumia Radiotherapy ikaleta madhara kuna fidia? Hta operation huwa una sign ikifeli (sio kwa uzembe wa daktari) hakunaga compensation!! Sasa kipi kipya hapo?

Kuvaa barakoa na social distance haziwezi kuachwa kisa umechanjwa sababu risk ya kupata tena ipo hta kma ni 0.0001% so why take chances? Ukitumia dawa mseto huwa bado tunaambiwa tulale ndani ya neti..... Huwa hatuachi eti sababu tunatumia dozi!! Precaution ni muhimu.....
 
1. Yes hawezi ambukizwa but hakuna tiba yenye success rate ya 100% so wanavaa barakoa just in case kuna upenyo wa 0.01% ya mtu kupata maradhi. Kama tu condom kuna waliovaa lakini bado wakapata magonjwa ya zinaa na VVU!!

2. Chanjo haitibu ila ina zuia maambukizi..... Ili iwe na ufanisi inatakiwa walau 70% ya watu wawe wamechanjwa kwenye eneo husika. Israel nadhani wamechanja zaidi ya 60% na maambukizi yameshuka

View attachment 1795685

3. Israel

View attachment 1795687

Kama unavyoona case zimetoka elfu 1 na kitu kwa siku mpka kesi 1 kufikia 16 May ikionyesha kuna correlation kati ya kuongezeka kwa utoaji chanjo na kupungua kwa maambukizi.

View attachment 1795689

Cc UHURU JR
We mpuuzi hebu tuondolee magazeti yako ya ukuwadi!

Unahangaika mwenyewe kutetea machanjo yenye sumu.... haulali usiku kucha unatetea machanjo ya ajabu ajabu!

Hahaha ... wewe kweli zero brain.... kuwadi kuu la mabeberu!

Umefeli. Pole.
 
1. Yes hawezi ambukizwa but hakuna tiba yenye success rate ya 100% so wanavaa barakoa just in case kuna upenyo wa 0.01% ya mtu kupata maradhi. Kama tu condom kuna waliovaa lakini bado wakapata magonjwa ya zinaa na VVU!!

2. Chanjo haitibu ila ina zuia maambukizi..... Ili iwe na ufanisi inatakiwa walau 70% ya watu wawe wamechanjwa kwenye eneo husika. Israel nadhani wamechanja zaidi ya 60% na maambukizi yameshuka

View attachment 1795685

3. Israel

View attachment 1795687

Kama unavyoona case zimetoka elfu 1 na kitu kwa siku mpka kesi 1 kufikia 16 May ikionyesha kuna correlation kati ya kuongezeka kwa utoaji chanjo na kupungua kwa maambukizi.

View attachment 1795689

Cc UHURU JR
Nini kipya hapo kwa upande wetu ambao tumeacha social distance na kuvaa barakoa toka mwaka jana?
 
msimamo wa watanzania juu ya corona ni

1,corona ni ugonjwa wa mafua kama yalivyo mengine,na yuko tayari kuishi nao.
hata mheshimiwa anajua hilo,labda kuna namna anatafuta kuridhisha watu fulani.
Sema msimamo wako hayo mamlaka ya kuwaongelea wa Tanzania ulipewa na nani? chanjo iwekwe na kila mtu atajiamulia anataka nini kama yeye hakuna kuongeleana kwa niaba hapa kila mtu ana akili zake anajuwa anataka nini.
 
Sema msimamo wako hayo mamlaka ya kuwaongelea wa Tanzania ulipewa na nani? chanjo iwekwe na kila mtu atajiamulia anataka nini kama yeye hakuna kuongeleana kwa niaba hapa kila mtu ana akili zake anajuwa anataka nini.
Si usubiri ije ujione kiwango cha unafiki ulicho nacho!!!
 
1. Yes hawezi ambukizwa but hakuna tiba yenye success rate ya 100% so wanavaa barakoa just in case kuna upenyo wa 0.01% ya mtu kupata maradhi. Kama tu condom kuna waliovaa lakini bado wakapata magonjwa ya zinaa na VVU!!

2. Chanjo haitibu ila ina zuia maambukizi..... Ili iwe na ufanisi inatakiwa walau 70% ya watu wawe wamechanjwa kwenye eneo husika. Israel nadhani wamechanja zaidi ya 60% na maambukizi yameshuka

View attachment 1795685

3. Israel

View attachment 1795687

Kama unavyoona case zimetoka elfu 1 na kitu kwa siku mpka kesi 1 kufikia 16 May ikionyesha kuna correlation kati ya kuongezeka kwa utoaji chanjo na kupungua kwa maambukizi.

View attachment 1795689

Cc UHURU JR
Kwani Waisrael wanatumia type gani ya chanjo? Zinazo zalishwa kwa teknolojia ya kijinetiki (mRNA) vaccines au chanjo zinazo zalishwa kwa tekinolojia ya asili i.e ambayo ndio hutumika kuzalisha karibu chanjo za aina zote Duniani kwa zaidi miaka mia moja.
 
Unafiki wa nini? Nimeshachoma wala sisubiri ila muache kujifanya wasemaji wa watu. unataka kachome hutaki acha huwezi kushikiwa bunduki.
Huna lolote umechoma wapi bana!!!
Acha ujinga.
 
We mpuuzi hebu tuondolee magazeti yako ya ukuwadi!

Unahangaika mwenyewe kutetea machanjo yenye sumu.... haulali usiku kucha unatetea machanjo ya ajabu ajabu!

Hahaha ... wewe kweli zero brain.... kuwadi kuu la mabeberu!

Umefeli. Pole.
Darasa la saba huwezi kuelewa kitu ndio maana huwezi jibu kwa hoja.

Umekaza mabeberu huku kuanzia boxer uliovaa mpka smartphone unayotumia kuandika ni ya beberu.

Huyo JPM wenu alikua anatukana mabeberu zaidi yako, kumbe anategemea mashine ya mzungu ili apumue!!! Haaahaaa ilipozima kwisha habari yake.
 
Nini kipya hapo kwa upande wetu ambao tumeacha social distance na kuvaa barakoa toka mwaka jana?
Ww uli doubt effectiveness ya chanjo na ukaanza satire kwamba huko kwenye chanjo mbona maambukizi yanapaa na vifo vinaongezeka???

Sasa una maoni gani kuhusu case study ya Israel?
 
Kwani Waisrael wanatumia type gani ya chanjo? Zinazo zalishwa kwa teknolojia ya kijinetiki (mRNA) vaccines au chanjo zinazo zalishwa kwa tekinolojia ya asili i.e ambayo ndio hutumika kuzalisha karibu chanjo za aina zote Duniani kwa zaidi miaka mia moja.
Msihamishe magoli..... Mlidai chanjo hazisaidii maana zimekurupushwa na kwamba vifo haviishi licha ya chanjo kuwepo n.k

Sasa kabla hatujafika mbali, je una maoni gani kwa Covid 19 kuporomoka toka malaki kila wiki huko Israel mpka mgonjwa mmoja tarehe 16 May?? Je unakubali chanjo imehusika kushusha maambukizi?
 
mazezeta waliolishwa kasumba na mwendazake ndio majuha wanaokataa,mtu mwenye akili timamu hatokataa.
 
Huna lolote umechoma wapi bana!!!
Acha ujinga.
Sasa ngoja nikupe tip, kabla sijachoma unapima damu kama umeshawahi kuugua Corona karibu nimepima sikuwa nimeugua nimepata Jab ya kwanza baada ya miezi 3 nitaenda kumalizia nyingine sasa safari wewe utayaona watu wako wapi maana nikisema niko wapi na nimechoma wapi haitakusaidia kitu na taarifa yake chanjo ni bure tu siku ya usiku ile nilisikia miguu kuuma tu kidogo sikutumia dawa hata panadol siku pili niko fine ikipita miezi 3 nitachukuwa second jab na certificate ninayo kwenye simu.
 
Back
Top Bottom