#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

Sisi wengine tunaamini Mungu alishatushindia kwa maombi tuliyofanya na Magufuli ndio maana hatutaki barakoa wala social distance wala maji tiririka wala chanjo

Ila kama hiyo chanjo inatakiwa kwa wengine sio kesi ila kwa kuwa iko kwenye majaribio kwanza serikalini isiagize wasitumie Kodi zetu waachie hospital. Binafsi pili Wa kwanza kuchanjwa wawe wanasiasa na wabunge kuwa ikiwa na madhara hata ikiwaua poa tu tutachagua wengine.Kundi la pili naungana na Shehe mkuu Wa Bakwata Mufti shehe Zuberi liwe LA wale wanaoitaka hiyo chanjo watu wasilazimishwe

Watumishi Wa afya wapewe tu vifaa kinga wasichanjwe sababu ikiwa na shida tumekwisha.Wanajeshi pia wasichanjwe jeshini sio sehemu ya majaribio ya dawa
Korona haitaniwi wala kufanyiwa propaganda... wengi wa walioidhihaki na kuifanyia mzaha imewabandua. Itutoshe kujua Mungu hajaribiwi kwa hizi imani haba na roho chafu zilizojaa dhambi na uhasidi, wachunguzeni hao viongozi wa dini usafi wao kisha mtupe mrejesho ili tufuate maneno yao... (ukimkumbuka chui, funga mlango...)
 
Nani kakuchochea..... kwani dawa zote zilizopo nchini hapa umewahi kuchochewa kutumia.

Nyie msiotaka tulieni, watakaotaka watatumia.
Wajinga wanataka kujaza watu ujinga... hawajiulizi ni "wakubwa" wangapi walidondoka mmoja baada ya mwingine... hawajiulizi yuko mkubwa mmoja alipinga sana barakoa lakini ghafla tukamuona ameivaa!!! Akili mkichwa...
 
Wajinga wanataka kujaza watu ujinga... hawajiulizi ni "wakubwa" wangapi walidondoka mmoja baada ya mwingine... hawajiulizi yuko mkubwa mmoja alipinga sana barakoa lakini ghafla tukamuona ameivaa!!! Akili mkichwa...
Hakuna lolote, mtoto mdogo wewe haujui chochote.

Vile vilikuwa vifo vya propaganda vilivyopangwa na wahuni ili watishe watu!

Tanzania iko salama, hakuna corona wala baba yake corona!

Kama una hamu sana na chanjo, nenda ukajichanje na mmeo.

Nenda ukawaambie hao wajinga wenzako na uwaeleze kuwa Watanzania hawaugui ugonjwa wowote na hawahitaji chanjo za kihuni.
 
msimamo wa watanzania juu ya corona ni

1,corona ni ugonjwa wa mafua kama yalivyo mengine,na yuko tayari kuishi nao.
hata mheshimiwa anajua hilo,labda kuna namna anatafuta kuridhisha watu fulani.
Hiyo nami naona ndio point. Mama apo amecheza na mind za wazungu wanajifanya wanatupenda kutuchanja. Ujue CORONA ni siasa na ni diplomasia pia. Ile ripoti upande mmoja inawaambia wazungu corona ipo na tunahitaji chanjo.Upande mwigine inawaambia wananchi msikubali kuchanjwa ndio Maana wakaweka pendekezo la chanjo huru. KAMA chanjo itakuwa huru Nan akubali kuchanjwa aaathubutuu
 
Hakuna lolote, mtoto mdogo wewe haujui chochote.

Vile vilikuwa vifo vya propaganda vilivyopangwa na wahuni ili watishe watu!

Tanzania iko salama, hakuna corona wala baba yake corona!

Kama una hamu sana na chanjo, nenda ukajichanje na mmeo.

Nenda ukawaambie hao wajinga wenzako na uwaeleze kuwa Watanzania hawaugui ugonjwa wowote na hawahitaji chanjo za kihuni.
Ikiwa wajawazito wajinga kama wewe wangaliko basi kizazi cha wajinga hakitaisha nchi hii!! Adui maradhi na ujinga wangaliko....
Manabii wa uongo na vibwetere wangaliko karne hii!!!???
Tanzania sio kisiwa wala haijitoshelezi kwa lolote... Tanzania inaihitaji dunia, dunia haina shida na Tanzania ndio maana tulipoleta kiherehere mbaazi zilishuka hadi TShs. 150/= na wangaliko wapumbavu hawajajifunza kitu...!!!
Elimu, Elimu, Elimu...
 
mwenda zake kawalisha watu matango poli kuhusu chanjo.nashangaa unakataa chanjo ya corona wakati wakati huo huo unakubali na unatumia chanjo ya aina tano.je huyo mzungu unae muogopa kwenye corona hawezi kuku fanyia kwenye chanjo ya surua? tusiwe na victim mentality
 
Chanjo iwe hiari ,.ziletwe chanjo zote WHO isilazimishe kutuletea za ulaya magharibi tu.yaani AstraZeneca, Johnson Johnson nk
Walete ya urus kamai Sputnik V na ya kichina .hizi za ulaya magharibi zina side effect na hata kusababisha vifo hata baadhi nchi za ulaya wameacha kutumia au kutumia kwa umri fulani.
Sehemu kubwa ya Tanzania hasa mikoani hakuna Corona na haijawai kutia mguu.so chanjo ya nini ambayo Ina madhara? chanjo wapeleke hukohuko wanapoishi waendesha nchi.au iwe kwa wasafiri nje ya nchi kutii masharti ya waendako

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Huku Mtaani Mkuu kila mtu ni Hataki kusikia chanjo nafikiri kwa sababu watu walijengwa hivyo

Jiwe na serikali yake ya walamba miguu waliwabrain wash sana baadhi ya waTZ vichwa Maji kuhusu Chanjo za kovid19 hazifai.

Chanjo ni Option ,anayetaka atachanjwa asiyetaka basi sio lazima.
 
Hakuna lolote, mtoto mdogo wewe haujui chochote.

Vile vilikuwa vifo vya propaganda vilivyopangwa na wahuni ili watishe watu!

Tanzania iko salama, hakuna corona wala baba yake corona!

Kama una hamu sana na chanjo, nenda ukajichanje na mmeo.

Nenda ukawaambie hao wajinga wenzako na uwaeleze kuwa Watanzania hawaugui ugonjwa wowote na hawahitaji chanjo za kihuni.
Ni vizuri kwamba "The Denial In Chief" alizolewa na 🦠🦠🦠. Ujinga tumeufukia nae huko Chattle, na nyie kama mna hasira sana, mnaweza kufa mkaungane nae huko muendelee na ubishi.
 
kama mna hasira sana, mnaweza kufa mkaungane nae huko muendelee na ubishi.
We bwata tu, ila hizo chanjo ukajidunge na mmeo mkiwa mnapeana mahaba.

Nenda ukawaambie hao wahuni kwamba watanzania hawahitaji chanjo za hovyo hovyo!
 
We bwata tu, ila hizo chanjo ukajidunge na mmeo mkiwa mnapeana mahaba.

Nenda ukawaambie hao wahuni kwamba watanzania hawahitaji chanjo za hovyo hovyo!
Chanjo inakuja...nakwambia tena, ujinga tumeuacha Chattle... kama una hasira kufa
 
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.

Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.

Mapendekezo yangu

1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
Mkuu!

Kama watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona, umeshindwa kuuliza huko mtaani wakakwambia kwanini wanakataa?
 
Ikiwa wajawazito wajinga kama wewe wangaliko basi kizazi cha wajinga hakitaisha nchi hii!! Adui maradhi na ujinga wangaliko....
Manabii wa uongo na vibwetere wangaliko karne hii!!!???
Tanzania sio kisiwa wala haijitoshelezi kwa lolote... Tanzania inaihitaji dunia, dunia haina shida na Tanzania ndio maana tulipoleta kiherehere mbaazi zilishuka hadi TShs. 150/= na wangaliko wapumbavu hawajajifunza kitu...!!!
Elimu, Elimu, Elimu...
We endelea kuandika magazeti tu!

Hiyo chanjo mjichanje wenyewe na mama zenu, msituletee ujinga wa chanjo za mwendokasi.

Huku mtaani hakuna hata mmoja anayeugua mafua. Kiufupi tuko sawa bara'bara!

Kajidungeni na mama zenu huo ujinga wa machanjo ya kihuni.
 
Chanjo iliyotengenezwa ndani ya mwaka mmoja, hakuna conclusive research iliyofanyika kuweza kupata final approval, hakuna data za mid- and long-term effects. Short-term effects zimeshaonekana, efficacy ipo chini lazima uchanje kila miezi 6, ni teknolojia mpya ya utengenezaji wa chanjo inayohusisha vinasaba DNA/RNA imeshaleta complications za autoimmunity kama blood clots, autoimmune thrombocytopaenia, sijui tunakimbizana kwenda wapi? au ndo presha za mabeberu hizi.....
Unaongelea chanjo zote au moja..maana sio zote zenye mode of action unayoisema na sio zote zenye side effects uliyosema..Sputnik V kwa mfano efficacy yake Ni zaidi ya 97 percent
 
Kweli kabisa mkuu..yaani watu wengine ukiwasikiliza wanachosema utashangaa Sana..Nenda clinic ya mama na mtoto..chanjo zote wanazodungwa watoto wetu zinatoka..nje..je walishindwa kutumaliza kwa hizo chanjo...
Utasikia mtu anakuja na hoja dhaifu kabisa kuwa eti chanjo ina lenga kutumaliza waafrika wakati karibu 80% ya dawa zilixopo mahospitalini mwetu zinatoka huko, hao wazungu wakitaka kufanya hivyo si watafanya tu hata kwenye ARVs!!? Watu wamekuwa brainwashed sana na jiwe kuu la pembeni.
 
Unaongelea chanjo zote au moja..maana sio zote zenye mode of action unayoisema na sio zote zenye side effects uliyosema..Sputnik V kwa mfano efficacy yake Ni zaidi ya 97 percent
Kama Sputnik V au ile ya china Sinovac zipo vizuri kwa namna teknolojia ilivyotumika kuzitengeneza wanaweza kuziruhusu hizo angalau wale wenye uhitaji waweze kuchanja......angalizo langu kwa serikali kamwe isihamasihe kampeni yoyote ya chanjo kwa hizi chanjo za covid-19.......
 
Kama Sputnik V au ile ya china Sinovac zipo vizuri kwa namna teknolojia ilivyotumika kuzitengeneza wanaweza kuziruhusu hizo angalau wale wenye uhitaji waweze kuchanja......angalizo langu kwa serikali kamwe isihamasihe kampeni yoyote ya chanjo kwa hizi chanjo za covid-19.......
Chanjo ikija ni hiari ..hakuna mtanzania atakayelazimishwa..kuchanjwa..labda mahitaji yake tu ndio yamlazimishe..kwa mfano Nimesikia nchi inayopokea watu kuhiji..imesema atakayeruhusiwa kuingia kwenye nchi hiyo Ni aliyechanjwa..
Ila tusisilishane matango pori kwamba chanjo ni mtego kwetu Africa wakati watoto wetu wanadungwa chanjo kuanzia siku ya kwanza ya maisha yao..na hakuna chanjo hata moja inatengenezwa na wa Tz
 
Back
Top Bottom