#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

Mbona huleti link ya Seychelles inayoongoza kwa kuchanja watu wake,na mlipuko uko juu tena.
unaleta utetezi wa kushobokea wazungu tu.Ni nchi gani imeondoa janga la corona baada ya kuchanjwa? Lockdown za nini? Mask za nini?

Nchii hii haitatoka ilipo kama mambo yenyewe ni hivi!! Yaani unauliza ni nchi gani imeondoa janga la corona wakati hakuna nchi iliyotangaza kuiondoa corona?? Dunia ni kijiji na muingiliano wa watu ndio unasambaza ugonjwa. Kuna variants pia.

Kwa kuwa si watu wote wamechanjwa, hatua nyingine zinachukuliwa sambamba ili kudhibiti maambukizi. Hata taarifa ndogo za namna hii nazo huna?? Wala hashobokei wazungu, ukweli ni kuwa ndio wameshauri hata njia za kuondokana na tatizo. Badala ya kuwazogoa labda ungesema covidol, nyungu, bupiji na nimcarf zinafanyaje kimatibabu!!

Bro, hilo fuvu ndani kuna tundu tu!!
 
Hahahahahahah...... Kwaiyo watanzania ni watu was kudemka na upepo
Kabisa mkuu, huyu waziri wa afya si alikua anapromote sana nyungu saivi hana cha kusema anawaza aingie namna gani aendane na ngoma inayochezwa sada hivi. Kwa wenzetu huyu angekua ashajiuzulu kitambo sababu janga ni kubwa kidunia halafu anatofautiana mtazamo na bosi wake.
 
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.

Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.

Mapendekezo yangu

1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
Kuna upotoshaji mkubwa sana umeishafanywa dhidi ya chanjo ya corona
 
Hiyo chanjo watachanjwa wao na watoto zao, Mimi haitaingia mwilini mwangu abadan, ....., Aslani
 
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.

Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.

Mapendekezo yangu

1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
Wanaikataa chanjo kwa sababu wanaona haijatupiga ile kisawasawa!
 
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.

Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.

Mapendekezo yangu

1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
 

Attachments

  • VID-20210522-WA0006.mp4
    15.5 MB
Wanaikataa chanjo kwa sababu wanaona haijatupiga ile kisawasawa!
Kwani hilo mbona jambo dogo, ni kiasi tu cha kutangaza kila kifo ni cha corona basi watu watajenga hofu na hapo ukiwaambia chanjo watakubali, sasa kuna vifo vya malaria,presha,magonjwa ya moyo na maradhi mengine ila hivi vifo vyote vikiitwa ni vya corona hapo lazima muogope na kukubali chanjo.
 
... siku hizi Mataga wanatambulika kama watanzania "wengi"? Be serious ndugu; labda hayajawahi kukukuta; nenda hospitalini uone wagonjwa wa Covid wanavyoteseka utatamani chanjo ije muda huu huu! Tuwaonee huruma wazee wetu na wengine wenye matatizo ya kiafya; corona ni hatari sana kwa uhai wao! Mataga achana nao hawafagi Corona wale!
mwambie huwezi kusema wengi Kama hakuna KURA ya maoni ya wote wenye haki ya kupiga kura
 
Ilitokea malalamiko nchi za ulaya juu ya madhala yaletwayo na hizi chanjo.
Kimsingi watu walilalamikia side effects zinazotokea baada ya kuchanjwa.
Serikali zilisimamisha uchanjwaji na uchunguzi ukafanyika.
Majibu: Ni kweli kulikuwa na side effects kwa baadhi ya watu baada ya kuchanjwa ,nyingi zikiwa ni za kawaida tu lakini baadhi zikihitajika mtu kufika hospitali.
Case za vifo vilivyotokea havikuwa sababu ya chanjo ya corona ,, ila watu walihusisha na chanjo kwasababu hao watu walichanjwa. Kwani aliyechanjwa hafi? Ni swala la uelewa kuchanjwa hakumaanishi wewe utaishi milele na unaweza ukafa hata kwa corona hiyohiyo kwani chanjo hazikingi kwa asilimia 100..

Watanzania wameogopeshwa na huo uvumi na pia ile kusema hizi chanjo ni alama ya mpinga kristo.
Na watu wa legacy hii inawaudhi kwani mama anaonekana kuwa smart kuliko baba yao, hivyo wanazidisha kuvumisha uongo.
Mtu anaongea anasema vifo ni 10 kati ya watu 100,, yaani asilimi 10% UONGO WA MCHANA KWEUPE.
Acheni kupotosha.

Isitoshe chanjo ni hiari.

Hivi sasa maambukizi ulaya yanapungua sana na masharti ya lockdowan yanazidi kulegezwa sana. Sehem mbalimnali za kula bata zinazidi kufunguliwa. Tuache uongo.
 
kwan chanjo yetu ya asili iko wap
 
Chanjeni wenyewe halafu sisi tuwatazame mnavyoendelea kwa miaka 5!!
Naamini mabeberu wanachanjana maji (placebo), ili kutuingiza chaka na sisi tukubali chanjo huku wakitufanyia majaribio!! Nilichofurahi kuliko vitu vyote ni kuwa hakuna atakayelazimishwa kuchanjwa
Mkuu hili la kusema hakuna atakayelazimishwa kuchanjwa lichukue kwa tahadhari kubwa.....hao watu wanaweza kuweka mitego ambayo itakulazimu kuchanja, kwa sasa wameshaanza kuweka kigezo cha kuonyesha ushahidi wa kuchanja ili kuingia kwenye nchi zao......muda ni mwalimu mzuri ngoja tuendelee kushuhudia hizi move....
 
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.

Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.

Mapendekezo yangu

1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
Umejuaje wengi wanapinga? Kuna survey yeyote umerejea mpaka ukaja na hitimisho hilo ?
 
nina wiki sasa tangu nipige chanjo na nipo mzima kabisa
Umejiaminisha siyo, unajua madhara ya miaka 5 hadi 10? kuna mmoja kavimba ulimi umetokeza nje na hiyo imetokea baada ya miezi kupita. Unaelewa kitu kinachoitwa autoimmunity na hypersensivity, acha kabisa.....kwa taarifa yako kadri watu watakavyoendelea kurudia kuchanja tuseme chanjo ya pili, ya tatu, ya nne ndo tutashuhudia mtiti unaotokana na autoimmune na hypersensitivity reactions. Watu wanaelimishwa hizo chanjo hazijapewa muda wa kutosha kuwa kwenye majaribio wanaleta ujuaji, haya kazi iendelee.....
 
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.

Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.

Mapendekezo yangu

1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
mwenye Mada hii sidhani kama watanzania wote wanataka chanjo hii nafikiri huu ni mtazamo wako tu.... kiuhalisia mimi sihitaji chanjo hii.... imepita mwaka sasa hali Ya covid 19 ilikuwa serious kupitiliza lakin Mungu alitusimamia katika nchi hii tukavuka salama, sasa iwapo utakua na interest zako juu ya chanjo hii basi hujakatazwa kuchanjwa lakini usiwe msemaji wa Majority.
 
Huku Mtaani Mkuu kila mtu ni Hataki kusikia chanjo nafikiri kwa sababu watu walijengwa hivyo

Chanjo iliyotengenezwa ndani ya mwaka mmoja, hakuna conclusive research iliyofanyika kuweza kupata final approval, hakuna data za mid- and long-term effects. Short-term effects zimeshaonekana, efficacy ipo chini lazima uchanje kila miezi 6, ni teknolojia mpya ya utengenezaji wa chanjo inayohusisha vinasaba DNA/RNA imeshaleta complications za autoimmunity kama blood clots, autoimmune thrombocytopaenia, sijui tunakimbizana kwenda wapi? au ndo presha za mabeberu hizi.....
Umeshaambiwa ni kwa emergency use mbona hamtaki kuelewa kuweni wafuatiliaji wa mambo
 
Umejiaminisha siyo, unajua madhara ya miaka 5 hadi 10? kuna mmoja kavimba ulimi umetokeza nje na hiyo imetokea baada ya miezi kupita. Unaelewa kitu kinachoitwa autoimmunity na hypersensivity, acha kabisa.....kwa taarifa yako kadri watu watakavyoendelea kurudia kuchanja tuseme chanjo ya pili, ya tatu, ya nne ndo tutashuhudia mtiti unaotokana na autoimmune na hypersensitivity reactions. Watu wanaelimishwa hizo chanjo hazijapewa muda wa kutosha kuwa kwenye majaribio wanaleta ujuaji, haya kazi iendelee.....
Hakuna dawa ambayo Haina madhara acha ujinga basi tukatae dawa zote za wazungu
 
Yaani dawa (chanjo) imegundukiwa ndani ya miaka miwili na tayari mnaiamini kiasi hicho? Afadhali ingekuwa ya kupaka, lkn inaingizwa ndani ya mwili! Mimi najipa muda kwanza, siwezi kuikimbilia kwa haraka.

Vv
 
Back
Top Bottom