Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ndani ya mwaka mmoja majaribio ya chanjo yakakamilika.....mbona unanisumbua kujibu huu upupu...Mazee ulikuwa unaishi dunia gani kwa mwaka mmoja ulipita? Yaani unajitoa ufahamu kuwa hukuwa unasoma habari za majaribio ya chanjo tangu mwaka mwaka jana? Unaelewa kiingereza? Kama unaelewa basi google kuna makalana papers nyingi kuhusu majaribio tangu mwanzo mpaka dawa ilipopitishwa kutumika.
Haya angalia uone majaribio yalivyoanza
![]()
Coronavirus: first person injected with trial vaccine
Scientists across the world are racing to develop a vaccine against COVID-19, with first human trial already underway.www.aljazeera.com
Mbona hamuweki mgomo kama mnavyotaka kugomea chanjo?Una uhakika gan hizo ARVs hazina effects kwenye mwili wa binadamu? Au mnajuag tu effects ni short term mkuu? , we hujiulizi kwa nini life expectancy Siku hizi imekua low sana tofauti na miaka ya nyuma , chanzo ni hizo hizo dawa mnazozishobokea hamjui madhara yake
Acha uongo, maambukizi yanazidi kushuka siku hadi siku.Sasa kama nchi za wenzetu wamechanjwa na bado wanaendelea kufa kama kuku , sisi za nini ?, tungekua tunaona watu baada ya kupata chanjo hawana tena hofu na corona hapo ningechoma mwili mzima, hatujaona bado maajabu yeyote kutoka kwa waliochoma zaidi ya watu kulalamika tu kugandisha Damu na kusababisha vifo
Ni wapi nimesema mnye barabarani?Unataka tunye barabarani?
Kuna chanjo yoyote nchi hii mmeshawahi kutengeneza wewe na baba yako ??
Ingredients zote za hizo chanjo unazijua ?
Acha uongo, maambukizi yanazidi kushuka siku hadi siku.
Ingia mtandaoni tafuta data za wiki yote hii uone kama unachoongea nincha kweli.
Nimeona unedanganya kusema wamechoma chanjo na bado wanakufa kama kuku.Hivi unajisoma vizur kabla ya kupost?
Yeah, hakuna kuuza wala kununua bila kupigwa chapaKwamba itakuwa huwezi kuhudumiwa mpaka uchanjwe ama.?
Mimi naongea naweka na evidence, wewe unaleta porojo.......kabishane kwenye vijiwe vya kahawa huko.Hizi chanjo zimepitia hatua zote na wataalam wamejiridhisha ndiyo maana wakapitisha. Maendeleo ya teknolojia na utaalam yamewezesha hayo. Sasa mazee wewe umekariri mambo ya zama za mawe 🤣 🤣 🤣. Unashangaza sana. Hapo pengine uko Bongo unachati na mimi pengine niko USA, zamani ilikuwa inawezekana? Wewe endlea kujifungia kwenye blanketi la kukariri wenzako wanachanja mbuga.
Tokaapa kila mtu na nani?Huku Mtaani Mkuu kila mtu ni Hataki kusikia chanjo nafikiri kwa sababu watu walijengwa hivyo
Sasa kama nchi za wenzetu wamechanjwa na bado wanaendelea kufa kama kuku , sisi za nini ?, tungekua tunaona watu baada ya kupata chanjo hawana tena hofu na corona hapo ningechoma mwili mzima, hatujaona bado maajabu yeyote kutoka kwa waliochoma zaidi ya watu kulalamika tu kugandisha Damu na kusababisha vifo
Hayo ndo maswali wasomi wetu hawakutaka kujiuliza badala yake wanasema tu chanjo ziruhusiwe kuletwa, na bado wengine wameandaliwa kuanza kubwabwaja kwenye TV kutetea chanjo.Sasa kama nchi za wenzetu wamechanjwa na bado wanaendelea kufa kama kuku , sisi za nini ?, tungekua tunaona watu baada ya kupata chanjo hawana tena hofu na corona hapo ningechoma mwili mzima, hatujaona bado maajabu yeyote kutoka kwa waliochoma zaidi ya watu kulalamika tu kugandisha Damu na kusababisha vifo
Wanataka kuwafanya wazee wetu, wagonjwa wa pesha na kisukari, wanajeshi wetu, madaktari na wauguzi na watumishi wa serikali kama panya wa majaribio ya chanjo, a big NO.Sisi wengine tunaamini Mungu alishatushindia kwa maombi tuliyofanya na Magufuli ndio maana hatutaki barakoa wala social distance wala maji tiririka wala chanjo
Ila kama hiyo chanjo inatakiwa kwa wengine sio kesi ila kwa kuwa iko kwenye majaribio kwanza serikalini isiagize wasitumie Kofi zetu waachie hospitali. Binafsi pili Wa kwanza kuchanjwa wawe wanasiasa na wabunge kuwa ikiwa na madhara hata ikiwaua poa tu tutachagua wengine.Kundi la pili naungana na Shehe mkuu Wa Bakwata Mufti shehe Zuberi liwe LA wale wanaoitaka hiyo chanjo watu wasilazimishwe
Watumishi Wa afya wapewe tu vifaa kings wasichanjwe sababu ikiwa na shida tumekwisha.Wanajeshi pia wasichanjwe jeshini sio sehemu ya majaribio ya dawa
Mkuu hiyo chanjo haitoi kinga ya kueleweka ndo maana utatakiwa kuchanja kila mara, angalau miezi sita......huu ni mkenge wanaotaka kuingiza nchi zetu kwa sababu ukishachanja watu wanakuwa wanaingiza na virusi ambavyo vitasababisha mlipuko mkubwa kama wa India, tukifikia hali hiyo tutapaniki na kuagiza au kuomba chanjo kwa gharama kubwa...Mbona india wamechanjwa ila wanakufa kama mdondo
Ndo tunaelekea huko, wataweka hadi passport ya korona kama hukuchanjwa hakuna kupanda ndege......unabii unaenda kutimia.Yeah, hakuna kuuza wala kununua bila kupigwa chapa