Hili suala ni la kisayansi. Sayansi hiyo hiyo ndiyo imekuletea dawa za malaria, kufubaza ukimwi, kinga ya kifua kikuu, surua nk. Leo kwa kuwa tumelishwa sumu ati chanjo ya corona ni mbaya tunaitikia tu.
Kwa maoni yangu, kama ilivyo kwa madawa ya ukimwi, mtu asilazimishwe kutumia, period.
Kweli kuna watu damu inaganda (Marekani walikuwa 6 kati ya mlioni 7 waliokuwa wamechanjwa), ukipima faida na madhara unaona faida ni kubwa zaidi, Hata WHO waliliona hilo lakini waka recommend kuwa chanjo hizo ziendelee kutumika.
Je kuna dawa isiyo na madhara? Watu wamelishwa eti chanjo ya corona itazuia uzazi wanasahau kuwa hao hao ndio wanaongoza kwa kutumia dawa Za uzazi wa mpango na kufunga uzazi hadi kansa zinawamaliza! Aibu tupu!!
Kuna watu huko DRC walikataa chanjo ya ebola ( na ilikuwa bado iko kwenye majaribio), kilichowakuta.. waliitafuta kwa gharama. baadae chanjo hiyo ilkuja kuthibitishwa kuwa inafaa, Hata mlipuko wa ebola huko west africa ilikuwa hivyo hivyo.
LAKINI KILA AIPONDAE CORONA MWISHO WAKE HIYO HIYO HUM...
Canadian singer Raymond Levesque dies at 92 after contracting Covid-19
Dr Stephen Karanja repeatedly said that the jab was "totally unnecessary".
www.bbc.com
Covid-sceptic John Magufuli had not been seen in public for more than two weeks.
www.bbc.com
Kama nyie watu wazima hamtaki, basi tuwaokoe watoto maana nao sasa inawapata
mwisho hao wazungu tayari wanaikimbilia chanjo hadi wanashtaki kampuni inayoitengeneza kwa kuchelewesha
The EU has lost a legal battle over its attempt to force AstraZeneca to deliver more vaccines to the bloc.
www.bbc.com
India wameng'ang'ania chano na hawataki kuzipa nchi nyingine hadi wao watosheke
A major supplier of the AstraZeneca vaccine, India is now circling the wagons and restricting exports. The impact is beginning to be felt worldwide, particularly in poorer countries.
www.nytimes.com
HALAFU ETI WEWE CHANO YA CORONA NI....