#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

Chanjo iliyotengenezwa ndani ya mwaka mmoja, hakuna conclusive research iliyofanyika kuweza kupata final approval, hakuna data za mid- and long-term effects. Short-term effects zimeshaonekana, efficacy ipo chini lazima uchanje kila miezi 6, ni teknolojia mpya ya utengenezaji wa chanjo inayohusisha vinasaba DNA/RNA imeshaleta complications za autoimmunity kama blood clots, autoimmune thrombocytopaenia, sijui tunakimbizana kwenda wapi? au ndo presha za mabeberu hizi.....
Analysis ya kitaalamu wenzio hawataki kusikia,wanataka chanjo ili ionekane tu mama hafuati nyayo za mwendazake.Wanasahau kuwa mwanzoni mwendazake alifanya wanayotaka kufanya sasa,akafunga shule,vyuo,nk.Shida ilikuja alipobaini ni propaganda kuliko uhalisia papai,fenesi nayo yakawa postive.
mama asiwaamini sana hawa watu na hivyo vyitu,huko mbele asije beba lawama za kuharibu vizazi vya watanzania.
 
Chanjo iliyotengenezwa ndani ya mwaka mmoja, hakuna conclusive research iliyofanyika kuweza kupata final approval, hakuna data za mid- and long-term effects. Short-term effects zimeshaonekana, efficacy ipo chini lazima uchanje kila miezi 6, ni teknolojia mpya ya utengenezaji wa chanjo inayohusisha vinasaba DNA/RNA imeshaleta complications za autoimmunity kama blood clots, autoimmune thrombocytopaenia, sijui tunakimbizana kwenda wapi? au ndo presha za mabeberu hizi.....
Analysis ya kitaalamu wenzio hawataki kusikia,wanataka chanjo ili ionekane tu mama hafuati nyayo za mwendazake.Wanasahau kuwa mwanzoni mwendazake alifanya wanayotaka kufanya sasa,akafunga shule,vyuo,nk.Shida ilikuja alipobaini ni propaganda kuliko uhalisia papai,fenesi nayo yakawa postive.
mama asiwaamini sana hawa watu na hivyo vyitu,huko mbele asije beba lawama za kuharibu vizazi vya watanzania.
Utasikia mtu anakuja na hoja dhaifu kabisa kuwa eti chanjo ina lenga kutumaliza waafrika wakati karibu 80% ya dawa zilixopo mahospitalini mwetu zinatoka huko, hao wazungu wakitaka kufanya hivyo si watafanya tu hata kwenye ARVs!!? Watu wamekuwa brainwashed sana na jiwe kuu la pembeni.
Hivyi walioleta UKIMWI ni wagogo wa Dodoma?,hivyi waliokuwa wakibeba makinikia kupeleka kwao wakidai ni mchanga tu ni akina nani? Huwajui vizuri wazungu wewe.
Au tukubali hoja yako wapo hawana corona sababu wamechanjwa?
 
Chanjo itakuja na watu watachanjwa hasa wanao hudhuria hospital mara kwa mara na kwenye mikusanyiko itakuwa lazima hasa wabunge na sokoni na stendi wasiotaka kuchanjwa Kama Ngwajima itabidi wakae nyumbani na ubunge na uchungaji aache maana anakusanya watu na mikusanyiko inaleta kuambukizana.
 
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.

Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.

Mapendekezo yangu

1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi

Sasa kama nchi za wenzetu wamechanjwa na bado wanaendelea kufa kama kuku , sisi za nini ?, tungekua tunaona watu baada ya kupata chanjo hawana tena hofu na corona hapo ningechoma mwili mzima, hatujaona bado maajabu yeyote kutoka kwa waliochoma zaidi ya watu kulalamika tu kugandisha Damu na kusababisha vifo
 
msimamo wa watanzania juu ya corona ni

1,corona ni ugonjwa wa mafua kama yalivyo mengine,na yuko tayari kuishi nao.
hata mheshimiwa anajua hilo,labda kuna namna anatafuta kuridhisha watu fulani.

Ndio shida ya mama, anataka kurodhisha watu fulani, hana msimamo kabisa , mbona watu tulishasahau na tunaishi poa tu
 
Hivi wabongo mkuu unawajua ama unawasikia??
Subiri chanjo iletwe hapa halafu uone msongamano kwenye kuchanjwa. Hawa watu waone hivi hivi tu ni vigeu geu hatari ni watu wa kwenda na upepo unakoenda.

Mi nna imani watanzania wengi watachanjwa, hii chanjo haitakua lazima ila itakua lazima kwa namna moja ama nyingine. Inawezekana kuna huduma utazikosa bila kua na chanjo na hivyo kukulazimu uchanjwe, sidhani kama serikali itaileta tu afu iwe hiyari kirahisi namna hiyo.

Ni kama waliposema kujisajili kwa ajili ya vitambulisho vya taifa watu walikua wajajivutavuta, wakagusa panauma kwenye laini za simu, mpaka leo nida kuna watu wanazisakama hizo namba tu mambo yao yaende.

Tunajua tu mwisho wa siku watu lazima wachanjwe, ila mtetezi wetu yu hai
 
To
Utasikia mtu anakuja na hoja dhaifu kabisa kuwa eti chanjo ina lenga kutumaliza waafrika wakati karibu 80% ya dawa zilixopo mahospitalini mwetu zinatoka huko, hao wazungu wakitaka kufanya hivyo si watafanya tu hata kwenye ARVs!!? Watu wamekuwa brainwashed sana na jiwe kuu la pembeni.
Walau alikuwa anasimamia Africa na vitu vyake kweli alikuwa jiwe kuu la pembeni la Africa laiti Africa yote mentality ya marais ingekuwa kama ya mzee tungekuwa mbali tuna Maji,watu,ardhi na population kubwa Tungetrade within Africa na mambo yangenyooka balaa tunajidharau mno....
 
Utasikia mtu anakuja na hoja dhaifu kabisa kuwa eti chanjo ina lenga kutumaliza waafrika wakati karibu 80% ya dawa zilixopo mahospitalini mwetu zinatoka huko, hao wazungu wakitaka kufanya hivyo si watafanya tu hata kwenye ARVs!!? Watu wamekuwa brainwashed sana na jiwe kuu la pembeni.

Una uhakika gan hizo ARVs hazina effects kwenye mwili wa binadamu? Au mnajuag tu effects ni short term mkuu? , we hujiulizi kwa nini life expectancy Siku hizi imekua low sana tofauti na miaka ya nyuma , chanzo ni hizo hizo dawa mnazozishobokea hamjui madhara yake
 
Yaani hawajui hata wanacholaumu.

Unalaumu wazungu kuhusu CORONA wakati Corona imeanzia China?

Huziamini chanjo: Je, huziamini chanjo zipi: Astra Zeneca, Moderna, Pfizer au Sinovac ya Mchina ?

Unavyozitaja utadhan unazijua vile , utadhan unajua ingredients wanazoweka, yani utadhan wewe na Baba ako ndo mlitengeneza na mna uhakika nazo ni salama asilimia zote
 
Hili suala ni la kisayansi. Sayansi hiyo hiyo ndiyo imekuletea dawa za malaria, kufubaza ukimwi, kinga ya kifua kikuu, surua nk. Leo kwa kuwa tumelishwa sumu ati chanjo ya corona ni mbaya tunaitikia tu.
Kwa maoni yangu, kama ilivyo kwa madawa ya ukimwi, mtu asilazimishwe kutumia, period.
Kweli kuna watu damu inaganda (Marekani walikuwa 6 kati ya mlioni 7 waliokuwa wamechanjwa), ukipima faida na madhara unaona faida ni kubwa zaidi, Hata WHO waliliona hilo lakini waka recommend kuwa chanjo hizo ziendelee kutumika.
Je kuna dawa isiyo na madhara? Watu wamelishwa eti chanjo ya corona itazuia uzazi wanasahau kuwa hao hao ndio wanaongoza kwa kutumia dawa Za uzazi wa mpango na kufunga uzazi hadi kansa zinawamaliza! Aibu tupu!!
Kuna watu huko DRC walikataa chanjo ya ebola ( na ilikuwa bado iko kwenye majaribio), kilichowakuta.. waliitafuta kwa gharama. baadae chanjo hiyo ilkuja kuthibitishwa kuwa inafaa, Hata mlipuko wa ebola huko west africa ilikuwa hivyo hivyo.
LAKINI KILA AIPONDAE CORONA MWISHO WAKE HIYO HIYO HUM...
Canadian singer Raymond Levesque dies at 92 after contracting Covid-19
Kama nyie watu wazima hamtaki, basi tuwaokoe watoto maana nao sasa inawapata
mwisho hao wazungu tayari wanaikimbilia chanjo hadi wanashtaki kampuni inayoitengeneza kwa kuchelewesha
India wameng'ang'ania chano na hawataki kuzipa nchi nyingine hadi wao watosheke

HALAFU ETI WEWE CHANO YA CORONA NI....
Tatizo ni vile kufikiri kwamba jambo likiwa la sayansi basi linakuwa kama msahafu kwamba wanasayansi wote wanakubaliana hivyo hakuna wenye kutofautiana kwenye kila jambo, mfano kwenye virusi vya ukimwi pamoja na hizo ARV tofauti zipo pia ukija kwenye hili la Corona napo tofauti zipo wapo wanaoona inatumika siasa zaidi kuliko sayansi kwenye kushughulikia corona. Sasa ukisema mbona dawa fulani mnatumia sijui chanjo fulani mnatumia hilo sio jibu la kisayansi, hasa ukizingatia sio wote wenye kukubaliana na hizo chanjo zengine au hizo ARV.

Kama mnasema hili suala ni la kisayansi basi lijadiliwe kwenye sura hiyo ya kisayansi na sio kuwaambia watu et tengenezeni chanjo zenu sijui mbona tiba zengine za kizungu mnatumia? haya majibu kisiasa zaidi.
 
Mazee ulikuwa unaishi dunia gani kwa mwaka mmoja ulipita? Yaani unajitoa ufahamu kuwa hukuwa unasoma habari za majaribio ya chanjo tangu mwaka mwaka jana? Unaelewa kiingereza? Kama unaelewa basi google kuna makalana papers nyingi kuhusu majaribio tangu mwanzo mpaka dawa ilipopitishwa kutumika.
Haya angalia uone majaribio yalivyoanza
Umeshajiuliza kwanini FDA mpaka sasa hawaja approve hizi vaccine, bali wameziruhusu tuu kupitia mgongo wa dharula?
 
Unavyozitaja utadhan unazijua vile , utadhan unajua ingredients wanazoweka, yani utadhan wewe na Baba ako ndo mlitengeneza na mna uhakika nazo ni salama asilimia zote
Kuna chanjo yoyote nchi hii mmeshawahi kutengeneza wewe na baba yako ??

Ingredients zote za hizo chanjo unazijua ?
 
Unavyozitaja utadhan unazijua vile , utadhan unajua ingredients wanazoweka, yani utadhan wewe na Baba ako ndo mlitengeneza na mna uhakika nazo ni salama asilimia zote
Kuna chanjo zozote zilizoko nchi hii mmewahi kutengeneza wewe na babako ?

Ingredients zake unazijua ?
 
Umeshajiuliza kwanini FDA mpaka sasa hawaja approve hizi vaccine, bali wameziruhusu tuu kupitia mgongo wa dharula?
Sihitaji kujiuliza kwa sababu wangekuwa na waiwasi nazo zisingekuwa approved zitumike! Next question?
 
Back
Top Bottom