#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.

Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.

Mapendekezo yangu

1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
Sababu ya ujinga uliojazwa vichani mwao ni incompetent magu
 
Wewe kilaza usiyeweza hata kutengeneza dawa ya minyoo wa mbuzi leo hii unawafundisha wataalam namna ya kutengeneza na ku-approve chanjo! Jikalie kimya acha wanaotaka kuitumia wafaidike.
Kilaza ni wewe ambaye huna hata akili ya ku comprehend nilichokiandika zaidi ya kutukana......argument unazoweza kuzimudu ni za kwenye vijiwe vya kahawa...
 
Hizo chanzo zilivumishwa kuwa ni namba ya mpinga kristo, mara ikavumishwa zinaingia kwenye DNA.

Zina uzushi mwingi ambao umewatisha wananchi.
Lakini ukweli ni kwamba zinasaidia kujikinga na covid kwa asilimia nyingi.

Leo nimekaa sehem huku ughaibuni ,,kuna jamaa kainuka ghafla na kuanza kushangilia baada ya yeye na familia yake kuruhusiwa kupata chanjo. Kimoyomoyo nikasema watanzania wanaweza mwona mwehu huyu jamaa.

Huku chanjo bado ipo kwenye magroup maalaum hivyo vijana inawawia vigumu sana kuchanjwa.
Tanzania kinachoisumbua ni elimu. Watu wengi hawajaenda shule na wale walioenda shule elimu zao ni za kukariri. Pia exposure inawasumbua sana. Nchi zilizoendelea ni wachache wanapinga hii chanjo. Nashangaa tapeli kama Gwajima anawafundisha watu ''sayansi'' ya matango pori na baadhi ya watu wanakubali.
 
Kilaza ni wewe ambaye huna hata akili ya ku comprehend nilichokiandika zaidi ya kutukana......argument unazoweza kuzimudu ni za kwenye vijiwe vya kahawa...
Sijatukana labda matusi kwenu iwe ni kuambiwa ukweli. Kilaza ni mtu aliyeenda shule lakini elimu haimsadii. Nimekuuliza wewe una utaalam wa kutengeneza chanjo? Umewahi kutengeneza? Kitu ambacho huna utaalam nacho unaweza kukitolea elimu?
 
au ndo presha za mabeberu hizi.....
Utaambiwa wewe ni mmoja wa wale wanotaka Tanzania iwe imara kwa kila sekta (MATAGA), utadhani MATAGA ni dhambi. Sasa unajiuliza hawa kama hawataki Tanzania kuwa imara wao tutawaaminije kwa kutushauri tuchanje chanjo ambayo hata huko ilikotengenezwa wanaishuku chanjo hiyo..!

Ukiona mtu anachukia kusikia Tanzania kuwa imara yaani iwe Great Again, ujue kuna shida mahali yawezekana si mtanzania mwenye nia njema na Tanzania.
===
Turuhusu wataalamu wetu wa tiba wajiridhishe na usalama wa chanjo bila bughudha. Na tuache kutiliana mashaka katika suala la chanjo.
 
Sijatukana labda matusi kwenu iwe ni kuambiwa ukweli. Kilaza ni mtu aliyeenda shule lakini elimu haimsadii. Nimekuuliza wewe una utaalam wa kutengeneza chanjo? Umewahi kutengeneza? Kitu ambacho huna utaalam nacho unaweza kukitolea elimu?
Process ya kutengeneza chanjo inapitia hatua za utafiti na kila hatua lazima utoe publications wataalamu mbalimbali dunia nzima wasome na wajiridhishe, sasa hiyo chanjo iliyopita kama mbio za mwenge nani ataiamini, ni chanjo ipi iliyowahi kupata approval ndani ya mwaka mmoja...
 
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.

Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.

Mapendekezo yangu

1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi

Kwasababu mwaka jana waliingiza siasa za uongo na itachukuwa muda kubadilika. Chanjo hata hazipo watu wakianza kupiga watabadilika
 
Hizo zingine ulizozipata zilikaa muda gani baada ya kutengenezwa ndipo zikatumika? Mmejazwa mawazo ya mtu mmoja na wafuasi wake, kiasi hamuwezi kufikiri independently. Aliwakamata sana.
Huyu Nyumisi ni kilaza per se. Nikimwamia anasema namtukana. Hajiumizi hizo chanjo nyingine zinazotumika sasa hivi ambazo na yeye amechanjwa zilitengenezwa zikawekwa stoo tu mpaka miaka mingi ilipoisha ndiyo zikatumika? Hajui mara baada ya majaribio ya mwanzo kuonekana zinafaa zilianza kutumika?
 
Huyu Nyumisi ni kilaza per se. Nikimwamia anasema namtukana. Hajiumizi hizo chanjo nyingine zinazotumika sasa hivi ambazo na yeye amechanjwa zilitengenezwa zikawekwa stoo tu mpaka miaka mingi ilipoisha ndiyo zikatumika? Hajui mara baada ya majaribio ya mwanzo kuonekana zinafaa zilianza kutumika?
Hayo majaribio waliyafanya wapi, unazo hizo data? maana zimetengenezwa ndani ya mwaka mmoja na zikaanza kutumika moja kwa moja kwa watu.
 
Process ya kutengeneza chanjo inapitia hatua za utafiti na kila hatua lazima utoe publications wataalamu mbalimbali dunia nzima wasome na wajiridhishe, sasa hiyo chanjo iliyopita kama mbio za mwenge nani ataiamini, ni chanjo ipi iliyowahi kupata approval ndani ya mwaka mmoja...
Hizi chanjo zimepitia hatua zote na wataalam wamejiridhisha ndiyo maana wakapitisha. Maendeleo ya teknolojia na utaalam yamewezesha hayo. Sasa mazee wewe umekariri mambo ya zama za mawe 🤣 🤣 🤣. Unashangaza sana. Hapo pengine uko Bongo unachati na mimi pengine niko USA, zamani ilikuwa inawezekana? Wewe endlea kujifungia kwenye blanketi la kukariri wenzako wanachanja mbuga.
 
Hayo majaribio waliyafanya wapi, unazo hizo data? maana zimetengenezwa ndani ya mwaka mmoja na zikaanza kutumika moja kwa moja kwa watu.
Mazee ulikuwa unaishi dunia gani kwa mwaka mmoja ulipita? Yaani unajitoa ufahamu kuwa hukuwa unasoma habari za majaribio ya chanjo tangu mwaka mwaka jana? Unaelewa kiingereza? Kama unaelewa basi google kuna makalana papers nyingi kuhusu majaribio tangu mwanzo mpaka dawa ilipopitishwa kutumika.
Haya angalia uone majaribio yalivyoanza
 
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.

Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia za id maoni ya Watanzania.

Mapendekezo yangu

1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
Chanjo ni mojawapo ya kujikinga.
 
Mazee ulikuwa unaishi dunia gani kwa mwaka mmoja ulipita? Yaani unajitoa ufahamu kuwa hukuwa unasoma habari za majaribio ya chanjo tangu mwaka mwaka jana? Unaelewa kiingereza? Kama unaelewa basi google kuna makalana papers nyingi kuhusu majaribio tangu mwanzo mpaka dawa ilipopitishwa kutumika.
Haya angalia uone majaribio yalivyoanza
Ni hawa hawa Al jazeera walitutahadharisha kuwa kimbunga Jobo kitaimaliza Dar es Salaam na viunga vyake. Lakini siku walizotabili kimbunga hicho kitatua Dar es Salaam ndiyo muda wa Shehena la mihadarati la uzito wa karibu tani mbili lilikamatwa na vijana wetu imara. Na habari za kimbunga JOBO zikawa zimepotea!!!

Kwa hiyo hoja yako inaweza kuwa ni ya msingi lakini references ulizotumia zinavuruga kabisa umuhimu wa hoja. Ulitakiwa kutuwekea "reviewed publications" hizo za wataalamu waliodhibitisha ubora wa chanjo.

Sidhani kama kuna mtu anakataa chanjo kama kweli chanjo hiyo ni salama. Kinachotia wasiwasi..ni kuwa hata waliochanjwa huko ughaibuni bado wanalazimishwa kuwa under stern measures za kujikinga na korona jambo ambalo halifanywi kwa watu wanaotumia chanjo nyingine. Tuondoleeni utata huu na mambo yatakuwa mazuri.

Natanguliza shukran.
 
Mimi nimeongea swala kitaalamu wewe unakuja na porojo, unapataje approval ya chanjo ndani ya mwaka mmoja!? ume establish vipi mid- and long-term effects kwenye huo mwaka mmoja. Wewe ni mgeni dunia hii hadi hujasikia madhara ya hizo chanjo, kuganda damu, vifo nk. na kwamba watu waliochanjwa bado wanaweza kuugua. Chanjo unayohitaji booster ndani ya miezi sita? hiyo haiwezi kuwa chanjo, labda kitu kingine.....
Wapambe wa jiwe waliimba hizo propaganda kwa lengo la kumfurahisha ili waendelee kupata mkate wao. Hilo sasa limewakaa vichwani hata baada ya yeye kuondoka. Ni suala la muda tu, you will come back to your senses.
 
Ni hawa hawa Al jazeera walitutahadharisha kuwa kimbunga Jobo kitaimaliza Dar es Salaam na viunga vyake. Lakini siku walizotabili kimbunga hicho kitatua Dar es Salaam ndiyo muda wa Shehena la mihadarati la uzito wa karibu tani mbili lilikamatwa na vijana wetu imara. Na habari za kimbunga JOBO zikawa zimepotea!!!

Kwa hiyo hoja yako inaweza kuwa ni ya msingi lakini references ulizotumia zinavuruga kabisa umuhimu wa hoja. Ulitakiwa kutuwekea "reviewed publications" hizo za wataalamu waliodhibitisha ubora wa chanjo.

Sidhani kama kuna mtu anakataa chanjo kama kweli chanjo hiyo ni salama. Kinachotia wasiwasi..ni kuwa hata waliochanjwa huko ughaibuni bado wanalazimishwa kuwa under stern measures za kujikinga na korona jambo ambalo halifanywi kwa watu wanaotumia chanjo nyingine. Tuondoleeni utata huu na mambo yatakuwa mazuri.

Natanguliza shukran.
Bila shaka hujui ni kwanini nimemwekea hiyo link. Hii ni kwa sababu umedandia.
 
Back
Top Bottom