Kwanini Watoto wa Kike wa Marehemu Mafuru hata hawalii Msibani na hawana Wasiwasi tofauti na Misiba yetu Sisi Uswahilini ambapo hulia kwa Kukufuru?

Kwanini Watoto wa Kike wa Marehemu Mafuru hata hawalii Msibani na hawana Wasiwasi tofauti na Misiba yetu Sisi Uswahilini ambapo hulia kwa Kukufuru?

Utakuta kuanzia Chekechea waliosoma Boarding

SEKONDARI Shule za maana....
Vyuo wamesoma nje...

Kila mmoja anayo account ya Dola

Wameajiriwa TPA, BOT, TRA, UN Agencies au Ubarozi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa.

Kwa status hizo walilie nini sasa????
 
Naamini Hata Wewe Jibu Tayari Unalo Katika Fikra,,,Maono na Mtazamo Wako Kabla,,Na Ndio Maana Hukutaka Malizana na Fikra,,Maono na Mtazamo Wako Kabla ,,Ukaamua Kuja Tushirikisha Humu,,Tukutoe Tu Shaka!!Hatuko Tofauti Na Uwazayo.....Tujitahidi Na Sisi Watoto Wetu Wasilie Pale Tutakapong'ata Mbao.###MunguAendeleeKutubariki###Na Shukrani Kwake Kwa Kila Yatokeayo Katika Purukushani Za Maisha....Apumzike Kwa Amani Marehemu na Pole Kwa Familia Pia.
 
Back
Top Bottom