Kwanini watoto wa Mzee Mchonga hawana nyadhifa kubwa Nchini?

Kwanini watoto wa Mzee Mchonga hawana nyadhifa kubwa Nchini?

Jana nimetoka kwenye maziko ya Lowassa mapema.
Kwenda stendi nikakuta daladala tupu,hakuna mtu wa kusafiri.
Halafu Jana yule mwanajeshi,nani sijui,five-star general,kanipita pale na genge lake,halafu akaniamkia,"shikamoo".
Nikabakia bemused,not knowing what was going on.
Nikamuuliza mtu mmoja,"Yule kule nani?"
Akasema,"I don't know"
Nilipoona hakuna gari nikaamua kutembea. Ni kilomita 14 mpaka njia panda.
Wakanipita wale viongozi wote,kuanzia na huyo Rais Samia.
Nimepita kule porini,nawaza fisi anaweza kutokea wakati wowote. Au Simba.
Nilipofika kule mbele MP(Military Police) akanikataza kutembea. Akasema,subiri daladala pale kwenye kituo.
Nilipopanda daladala pale nikaona nauli imepunguka kwa sh.500.
 
Kuna mmoja nasikia amesoma Mkwawa high school,Mwl ujamaa aliuishi ulivyo.
 
Jana nimetoka kwenye maziko ya Lowassa mapema.
Kwenda stendi nikakuta daladala tupu,hakuna mtu wa kusafiri.
Halafu Jana yule mwanajeshi,nani sijui,five-star general,kanipita pale na genge lake,halafu akaniamkia,"shikamoo".
Nikabakia bemused,not knowing what was going on.
Nikamuuliza mtu mmoja,"Yule kule nani?"
Akasema,"I don't know"
Nilipoona hakuna gari nikaamua kutembea. Ni kilomita 14 mpaka njia panda.
Wakanipita wale viongozi wote,kuanzia na huyo Rais Samia.
Nimepita kule porini,nawaza fisi anaweza kutokea wakati wowote. Au Simba.
Nilipofika kule mbele MP(Military Police) akanikataza kutembea. Akasema,subiri daladala pale kwenye kituo.
Nilipopanda daladala pale nikaona nauli imepunguka kwa sh.500.
Kwa hizi codes Greatest Of All Time upo sahihi.
 
Hawajiongezi
Spoon feeding
WATOTO wa wakubwa wakipendelewa mnalalamika wasipopendelewa tunanasema spoon feeding …… baba Yao Akiwa rais watoto wa nyerere watatu wa kuzaaa wanaenda VITANI …..mmoja kama Askari wa miguuu na Wawili kama Maafisa jeshi [ marubani ] ….spoon feeding anaweza kumaliza mafunzo ya kijeshi ndani na nje ya nchi??
Kimsingi tukubali kuwa watoto wa viongozi waliofuatia baada ya Mwalimu wamebebwa sana …ni kama tunakua na Ufalme hivi …….. , na pia viongozi waliofuatia kidogo hawajafanya juhudi sana kuwabeba watoto wa viongozi wa ADAMU ya kwanza ….wamejenga himaya mpya
 
WATOTO wa wakubwa wakipendelewa mnalalamika wasipopendelewa tunanasema spoon feeding …… baba Yao Akiwa rais watoto wa nyerere watatu wa kuzaaa wanaenda VITANI …..mmoja kama Askari wa miguuu na Wawili kama Maafisa jeshi [ marubani ] ….spoon feeding anaweza kumaliza mafunzo ya kijeshi ndani na nje ya nchi??
Kimsingi tukubali kuwa watoto wa viongozi waliofuatia baada ya Mwalimu wamebebwa sana …ni kama tunakua na Ufalme hivi …….. , na pia viongozi waliofuatia kidogo hawajafanya juhudi sana kuwabeba watoto wa viongozi wa ADAMU ya kwanza ….wamejenga himaya mpya
Kwani Joseph Butiku baba yake ni nani?
 
Kuna Mzee alinambia bado wanaishi presidential life Kuna mmoja alienda nchi za wenzetu kuenjoy lakin alikamtwa na kupelakwa ikulu ya inchi hiyo baada ya kugundua ni mtoto wa Mzee
 
Mzee mchonga Alifanya dhambi gani tena " sijuzi juzi Dini yenu umetoka kumtangaza kuwa ni mwenye Heri !!
Sio dini ni kanisa..... kaangalia documentary moja inasema the dissappearence of Emanuela Orlandi in the Vatican
 
Mfumo unasadifu zaidi wezi na wapigaji either uibie au watu wakiiba vunga na watoto wa Nyerere wana miiko hawafiti kwenye mfumo wa wizi
 
Jana nimetoka kwenye maziko ya Lowassa mapema.
Kwenda stendi nikakuta daladala tupu,hakuna mtu wa kusafiri.
Halafu Jana yule mwanajeshi,nani sijui,five-star general,kanipita pale na genge lake,halafu akaniamkia,"shikamoo".
Nikabakia bemused,not knowing what was going on.
Nikamuuliza mtu mmoja,"Yule kule nani?"
Akasema,"I don't know"
Nilipoona hakuna gari nikaamua kutembea. Ni kilomita 14 mpaka njia panda.
Wakanipita wale viongozi wote,kuanzia na huyo Rais Samia.
Nimepita kule porini,nawaza fisi anaweza kutokea wakati wowote. Au Simba.
Nilipofika kule mbele MP(Military Police) akanikataza kutembea. Akasema,subiri daladala pale kwenye kituo.
Nilipopanda daladala pale nikaona nauli imepunguka kwa sh.500.
Akili mingi,

Ulitaka kusema misafara ya viongozi huleta kero Kwa wananchi na shughuli zao kiuchumi Kijamii nk nk.
 
Back
Top Bottom