Kwanini watoto wa Mzee Mchonga hawana nyadhifa kubwa Nchini?

Kwanini watoto wa Mzee Mchonga hawana nyadhifa kubwa Nchini?

Kwani Mzee Mchonga Ndio Nani Maana Kusoma Kwngu Kote Vitabu Sijawah Kuona Jina Kama Hili MZEE MCHONGA Nijuzeni Wajuzi Wa Mambo? Nawasilisha Swali Langu La Nyongeza

Ni mchonga meno siyo mchonga maneno!
[emoji3][emoji3][emoji3] jamaa alichongaga meno yako hapo zamani zq kale!
 
Ukijua kuongea kingereza kilichonyooka ndiyo nn eti tujize mm mwanangu anaongea kingereza kilichonyooka anafaa kuwa raisi wako

[emoji14][emoji14] nashangaa!
Mission town kibao mjini wanaongea kiingereza utasema kitu gani Kumbe wengine Hata kuandika jina lake hajui [emoji108]🏻[emoji108]🏻!
Halafu wengine wanaongea kiingereza pale anapokuwa amekunywa Pombe tilalila [emoji898][emoji898][emoji898]!
Kuongea kiingereza siyo ndo kujua kila kitu!
 
Wakuu naombeni mnijuze, licha ya kusoma sana na baba yao kuwa mpigania uhuru wa Taifa hili, kwanini watoto wa mzee mchonga wapo wapo tu, hawana nyadhifa kubwa, hawana mbele wala nyuma? Hali ni tofauti kwa watoto wa Mzee ruksa, Mzee Karume, JK na wengineo kwanini?
Kusoma sana ni nini na mtoto gani wa Nyerere kasoma sana?
 
Kwa kawaida, kizazi cha marehemu baba wa Taifa, haswa watoto wake wa kuzaa hawastahili kuhangaika. Nchi inatakiwa iendelee kuwahudumia kwa kila hali ili waishi vizuri. Mama yao, mke wa marehemu baba wa Taifa bado yupo hai na anaakili timamu. A simple phone call kwa Raisi inatosha kuwapatia kazi nzuri na yenye marupurupu mazuri.

Halafu, kuna ile Nyerere Foundation. Hii Foundation ina pesa nyingi sana zitokanazo na miradi mingi na michango kutoka ndani na nje ya nchi. Hivyo basi, family hii ipo vizuri sana. Labda kama wana matatizo yao binafsi ya kiafya ambayo mtu wa nje hawezi kufahamu.
 
wale ni wajamaa asilia
Sio kweli walishapewa nafasi kibao kuanzia ubunge ndani ya CCM na upinzani .Lakini sio sahihi watoto wa viongozi kubebwa kwa spoon feeding .Watoto wa Mwinyi,Mkapa,Kikwete na mawaziri wakuu Akina Cleopa Msuya,Malechela,Kawawa mbona wanajibeba wenyewe?
 
Sidhani kama wale jamaa wana njaa! Hela ya kula wanayo, pension ya Mzee inawafaa sana!
 
Mtoa mada kwa taarifa yako Anna,Pauleta ni wasomi wazuri tu na alishakuwa mhadhiri.Kaka yao mmoja Andrew alikuwa rubani wa ndege za jeshi.Kumbuka Makongoro ameshawahi kuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia NCCR
-mageuzi.Hali halisi ni kwamba baba yao aliwalea katika maadili ya ujamaa na kutojikweza.Ushauri wangu pambana na hali yako usichokonoe ya watu
Makongoro pia amekuwa Mbunge wa EA,
Kuna Marehemu John rubani
 
Hussein Mwinyi kawa Rais Zanzibar huko, watoto wa mzee mchonga wapo wapo tu
 
Back
Top Bottom