YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Ukiangalia Kenya watoto wengi wa wanasiasa wakubwa hujiajiri isipokuwa wachache
Mfano tajiri mfanyabiashara mkubwa kenya ni Gideon Moi mtoto wa Raisi wa zamani wa kenya Marehemu Daniel Arap Moi
Tanzania ni kinyume mitoto ya viongozi wakubwa wa siasa haina uwezo wa kujiajiri hata uwezo tu wa kusimamia biashara za wazazi wao
Unakuta ukoo mzima wanajazana tu kwenye siasa wakati mzazi ana vitega uchumi kibao anaachia watu baki waendeshe sio mitoto yakee aliyozaa
Nitatoa mfano halisi kuna Mbunge Kishimba mbunge wa Kahama anamililiki mibiashara kibao ikiwemo Imalaseko supermarket lakini kuna siku alisimama bungeni kulalamika kuwa mwanawe kamaliza degree na serikali haijamwajiri!! Inashangaza na uzee ule hana hata succession plan ya mtoto kwenye bussines zake
Shida nini .Wanasiasa wakubwa Tanzania wana kila kitu fedha,biashara nk mitoto yao kujiajiri inakuwa shida ok hata kama haitaki kujiajiri basi ikasimamie biashara za wazazi wao bado haiwezi inataka ajira na teuzi za kisiasa tu
Tatizo hivi ni nini? Ni laana au kitu gani
Halafu wazazi wao ndio kutwa utakuta wanabwata majukwaani ohh watoto wa maskini wajiajiri!!!! Wakati wa kwao pamoja na mazingira yote kuwepo mazuri kwao mitoto yao haina uwezo wa kujiajiri
Shida nini?
Serious somebody must do a research on this
Mfano tajiri mfanyabiashara mkubwa kenya ni Gideon Moi mtoto wa Raisi wa zamani wa kenya Marehemu Daniel Arap Moi
Tanzania ni kinyume mitoto ya viongozi wakubwa wa siasa haina uwezo wa kujiajiri hata uwezo tu wa kusimamia biashara za wazazi wao
Unakuta ukoo mzima wanajazana tu kwenye siasa wakati mzazi ana vitega uchumi kibao anaachia watu baki waendeshe sio mitoto yakee aliyozaa
Nitatoa mfano halisi kuna Mbunge Kishimba mbunge wa Kahama anamililiki mibiashara kibao ikiwemo Imalaseko supermarket lakini kuna siku alisimama bungeni kulalamika kuwa mwanawe kamaliza degree na serikali haijamwajiri!! Inashangaza na uzee ule hana hata succession plan ya mtoto kwenye bussines zake
Shida nini .Wanasiasa wakubwa Tanzania wana kila kitu fedha,biashara nk mitoto yao kujiajiri inakuwa shida ok hata kama haitaki kujiajiri basi ikasimamie biashara za wazazi wao bado haiwezi inataka ajira na teuzi za kisiasa tu
Tatizo hivi ni nini? Ni laana au kitu gani
Halafu wazazi wao ndio kutwa utakuta wanabwata majukwaani ohh watoto wa maskini wajiajiri!!!! Wakati wa kwao pamoja na mazingira yote kuwepo mazuri kwao mitoto yao haina uwezo wa kujiajiri
Shida nini?
Serious somebody must do a research on this