Kwanini watu ambao hawajui chochote ndo hujiona wanajua. Au mtu mdhaifu siku zote haoni udhaifu wake?

Kwanini watu ambao hawajui chochote ndo hujiona wanajua. Au mtu mdhaifu siku zote haoni udhaifu wake?

Utapataje kaz wakati una vyeti fake ww mjinga na mpumbavu. Kafiye mbali na utakuwa na shinda mitandaoni na majina fake kila siku. Mara, sexless. Mwambie mjinga ananeyekutuma, huyo Makamba akupe hata, kaz ya ufagiz.
Mbona Sasa hivi nimeipata kazi baada ya ajira kuwa nyingi sana serikalini na private sector. Tena Niko sekta nyeti serikalini. Sema jpm nchi ilimshinda tu na one day jeshi lingempindua tu. Heko mama kwa kuondoa kizuizi Cha eti kujiunga jeshi mpaka upite jkt. Jpm alisababisha maisha yakawa magumu sana na ajira ikawa hamna tena na mbaya zaidi eti vyeti feki. Lini Tanzania hapa kukawa na vyeti feki. Ukitumia akili utagundu hakukuwa na vyeti feki Bali waliofukuzwa kazini ni wapinzani na mahasimu I ake tu
 
Nadhani kwa afrika tunahitaji viongozi aina yake kwa wingi kuliko hawa wasomi na wanaojua sana.
Haina mantiki kuunda tume na kamati ifanye tathmini juu ya jambo ambalo kwa akili za kawaida lina manufaa kwa wananchi.
Si sapoti CCM wala chama chochote Tz, lakini nasapoti uongozi wa kidikteta hususan afrika ambako watu bado wanahitaji kulazimishwa, kusukumwa, kuwekewa mipaka nk ili waendele na wafanye kazi.
Narudia sisapoti siasa za nchini kwangu usije na povu la jazba hapa, nimetoka Tz kitambo sana.
 
Sasa Kama umefanikiwa kuyaona kwanini usiinform serikali ikaenda kuyachukua
Serikali Gani. Hii hii aliyoiasisi yeye au. Aliharibu kila kitu mpaka mfumo wa mahakama akawa anafunga kila anayejisikia eti ni fisadi. Ile mahama ya mafisadi si unaona ilipotea baada yeye kufa. Mana alianzisha kufunga akina makamba tu ambao alidhani ni threat kwake mana alikuwa hajiamini in jokate's voice
 
Nadhani kwa afrika tunahitaji viongozi aina yake kwa wingi kuliko hawa wasomi na wanaojua sana.
Haina mantiki kuunda tume na kamati ifanye tathmini juu ya jambo ambalo kwa akili za kawaida lina manufaa kwa wananchi.
Si sapoti CCM wala chama chochote Tz, lakini nasapoti uongozi wa kidikteta hususan afrika ambako watu bado wanahitaji kulazimishwa, kusukumwa, kuwekewa mipaka nk ili waendele na wafanye kazi.
Narudia sisapoti siasa za nchini kwangu usije na povu la jazba hapa, nimetoka Tz kitambo sana.
Africa Ina madictor karibu kila nchi na hawataki kutoka madarakani kabisa hata wakishindwa. Mfano kagame, mseveni nk lakini ni nchi Gani ya afrika Ina maendeleo zaidi ya afrika kusini yenye mfumo mazuri wa demokrasia?
 
Natoa mfano jpm ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajabu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natole ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa raisi wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na raisi lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria allngilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
Soma komenti za ngedere wake uone kazi.👇
 
Mbona Sasa hivi nimeipata kazi baada ya ajira kuwa nyingi sana serikalini na private sector. Tena Niko sekta nyeti serikalini. Sema jpm nchi ilimshinda tu na one day jeshi lingempindua tu. Heko mama kwa kuondoa kizuizi Cha eti kujiunga jeshi mpaka upite jkt. Jpm alisababisha maisha yakawa magumu sana na ajira ikawa hamna tena na mbaya zaidi eti vyeti feki. Lini Tanzania hapa kukawa na vyeti feki. Ukitumia akili utagundu hakukuwa na vyeti feki Bali waliofukuzwa kazini ni wapinzani na mahasimu I ake tu
Waeleze hao punda.
 
Africa Ina madictor karibu kila nchi na hawataki kutoka madarakani kabisa hata wakishindwa. Mfano kagame, mseveni nk lakini ni nchi Gani ya afrika Ina maendeleo zaidi ya afrika kusini yenye mfumo mazuri wa demokrasia?
Lakini tunaona Rwanda na Uganda angalau wako vizuri.
Hakuna mambo ya ovyo na ya kipuuzi, wanashindwa kuwa nyonya na ndio maana wanapandikiza chuki juu yao.
Nitakua mtu wa mwisho kuamini Museveni na Kagame wana nia ovu na chafu juu ya nchi zao.
Afrika kusini siwezi zungumzia sana kama ulisoma historia utaelewa vizuri tu nani kaijenga ile nchi, hata majirani zetu kenya kama wangekua na subra kidogo na wao wangekua kama Afrika kusini, licha ya hivyo nimeishi afrika kusini miaka mi 5 najua siasa zao A to Z, ANC wameshindwa pakubwa sana Afrika kusini lakini bado wanasafiria maendeleo yaliyofanywa na wakoloni.
 
Natoa mfano jpm ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajabu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natole ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa raisi wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na raisi lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria allngilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
We jamaa mwache jiwe apumzike anakostahili,
 
Natoa mfano jpm ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajabu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natole ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa raisi wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na raisi lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria allngilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
Mmh usikute alikugusa kwenye kiini cha makalio..🙂
 
WATanzania wengi Wana akili ndogo sana ,ndio maana wataendelea kuchagua sisiemu miaka na miaka na kuifanya nchi kuwa ufalme wa watu wachache
 
Hata wasomi wengi wa nchi hii na mifumo yake yake ya elimuni watu wa ovyo wenye uelewa mdogo sana
 
No doubt Magufuli alimaster sana the art of propaganda. Alizishika media zote, hadi za nje kuna wakati ikatangazwa kwamba hazipaswi kurusha maudhui ya ndani bila kibali.

Media zote nchi, binafsi na zile za serikali hadi zile ambazo ziko tu online ambazo hazina usajili wa serikali zilijaa woga kumtaja Magufuli katika namna ambayo isingempendeza. Media nchini ziliimba mapambio ya kumsifu na kumtukuza mawizo mpaka machweo.

Propaganda za Magufuli zinanikumbusha propaganda za Adolf Hilter, Joseph Stalin na Mao Ze Dong. Hawa watu walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuaminisha mambo ambayo hayapo, walikuwa na uwezo wa kupandikiza nadharia zao na imani zao juu ya kadamnasi na ikaamini vivyo, huku nyuma ya pazia wakiwa na mauzauza yao kibao.

Magufuli alitupiga wapi? Kwanza alijifanya Rais wa wanyonge, akijua kwamba watanzania wengi over 40% tuko chini ya mstari wa umasikini wa $1 kwa siku, masikini wengi tulimpenda sana tukidhani ni mwenzetu lakini katu, hakuwa mwenzetu, JPM alikuwa tajiri sana.

Magufuli alijua kwamba watanzania hatupendi mafisadi, wengi tunadhani umasikini wetu kuna watu wanatuibia serikalini. JPM akaona atangaze nao vita kali, tukamsahau yeye ambaye alijilimbikizia mali nyingi sana, huku tukijua kwamba anapambana na mafisadi kwa ajili yetu, kumbe ni kwa ajili yake kwani kila alipotaifisha mali zao, zikawa zake na jamaa zake.

JPM master the art of public manipulation. Kwenye ziara zake alisimama barabarani, alizungumza na watu, akatoa fedha hadharani kwa watu wa hali ya chini, alitembelea hospitali na kutoa misaada hadharani kwa watu waliokuwa na hali ngumu huku kila media ikimulika. Vitendo vile vimewalevya wengi kudhani kwamba JPM was saviour, tukasahau kabisa na yeye ni mwanadamu mwenye tamaa na uchu, aliweza kufanya chochote pasi nasi kujua kuwa mali zetu zinaibwa na kuwekezwa kwenye hotels zake, real estate, mashamba na kuficha fedha nje ya nchi. Mtoto wa dada yake, aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya fedha Dotto James alifanya kazi kubwa sana kusafirisha fedha za mjomba wake nje.

Naona leo wakimkumbuka sana. Nasikitika sana kuona wengi wakimkumbuka JPM pasi na wao kujua kwamba bado wamo kwenye dimbwi la mning'inio wa propaganda za JMP. Ila kama tungejua uozo na madudu aliyofanya nyuma ya pazi, pengine tungezinduka kutoka kwenye hangover hiyo
Duuh
 
No doubt Magufuli alimaster sana the art of propaganda. Alizishika media zote, hadi za nje kuna wakati ikatangazwa kwamba hazipaswi kurusha maudhui ya ndani bila kibali.

Media zote nchi, binafsi na zile za serikali hadi zile ambazo ziko tu online ambazo hazina usajili wa serikali zilijaa woga kumtaja Magufuli katika namna ambayo isingempendeza. Media nchini ziliimba mapambio ya kumsifu na kumtukuza mawizo mpaka machweo.

Propaganda za Magufuli zinanikumbusha propaganda za Adolf Hilter, Joseph Stalin na Mao Ze Dong. Hawa watu walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuaminisha mambo ambayo hayapo, walikuwa na uwezo wa kupandikiza nadharia zao na imani zao juu ya kadamnasi na ikaamini vivyo, huku nyuma ya pazia wakiwa na mauzauza yao kibao.

Magufuli alitupiga wapi? Kwanza alijifanya Rais wa wanyonge, akijua kwamba watanzania wengi over 40% tuko chini ya mstari wa umasikini wa $1 kwa siku, masikini wengi tulimpenda sana tukidhani ni mwenzetu lakini katu, hakuwa mwenzetu, JPM alikuwa tajiri sana.

Magufuli alijua kwamba watanzania hatupendi mafisadi, wengi tunadhani umasikini wetu kuna watu wanatuibia serikalini. JPM akaona atangaze nao vita kali, tukamsahau yeye ambaye alijilimbikizia mali nyingi sana, huku tukijua kwamba anapambana na mafisadi kwa ajili yetu, kumbe ni kwa ajili yake kwani kila alipotaifisha mali zao, zikawa zake na jamaa zake.

JPM master the art of public manipulation. Kwenye ziara zake alisimama barabarani, alizungumza na watu, akatoa fedha hadharani kwa watu wa hali ya chini, alitembelea hospitali na kutoa misaada hadharani kwa watu waliokuwa na hali ngumu huku kila media ikimulika. Vitendo vile vimewalevya wengi kudhani kwamba JPM was saviour, tukasahau kabisa na yeye ni mwanadamu mwenye tamaa na uchu, aliweza kufanya chochote pasi nasi kujua kuwa mali zetu zinaibwa na kuwekezwa kwenye hotels zake, real estate, mashamba na kuficha fedha nje ya nchi. Mtoto wa dada yake, aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya fedha Dotto James alifanya kazi kubwa sana kusafirisha fedha za mjomba wake nje.

Naona leo wakimkumbuka sana. Nasikitika sana kuona wengi wakimkumbuka JPM pasi na wao kujua kwamba bado wamo kwenye dimbwi la mning'inio wa propaganda za JMP. Ila kama tungejua uozo na madudu aliyofanya nyuma ya pazi, pengine tungezinduka kutoka kwenye hangover hiyo
Umesahau na zile hadaa za kwenda kanisani kisha kuchukuliwa na ma camera akijifanya bonge la mnyeyekuvu na mcha Mungu. Akageuza makanisani ni sehemu ya kutolea hotuba za kisiasa. Cha ajabu akawa anasema tusichanganye dini na siasa!
 
Jiwe alikuwa alikuwa na uwezo mdogo sana kiakili. Ili kuficha upumbavu wake alilazimika kujifaragua hadharani aonekane much know. Lkn kubwa zaidi alisumbuliwa na ushamba & ulimbukeni.

Watato wa mjini wakaona isiwe taabu. Wakamfyekelea mbali.
Kama ni kweli ndio walifyekelea mbali lile dude, watawale nchi hii milele.
 
Natoa mfano Magufuli ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajabu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natolea ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa Rais wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na Rais lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria aliingilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
Weka CV yako hapa alafu tulinganishe,sisi tutajua nani ana akili kati yako na Magufuli.Wenye akili huwa wanafanya mambo makubwa kwenye mataifa yao!
 
Natoa mfano Magufuli ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajabu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natolea ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa Rais wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na Rais lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria aliingilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
Lema inamhusu saana hii
 
Natoa mfano Magufuli ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajabu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natolea ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa Rais wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na Rais lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria aliingilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
😂😂😂 ww ni mmoja wa wale wasiojua na wanajionyesha kujua..... alafu ni maskini wa akili ndio atapambana na mtu aliekufa

watu kama nyie kulawitiwa inakuwaga kitu ya kawaida kabisa
 
Back
Top Bottom