Kwanini watu ambao hawajui chochote ndo hujiona wanajua. Au mtu mdhaifu siku zote haoni udhaifu wake?

Jiwe alikuwa alikuwa na uwezo mdogo sana kiakili. Ili kuficha upumbavu wake alilazimika kujifaragua hadharani aonekane much know. Lkn kubwa zaidi alisumbuliwa na ushamba & ulimbukeni.

Watato wa mjini wakaona isiwe taabu. Wakamfyekelea mbali.
Ni kweli Samia na Kikwete wana akili sana maana kwa sasa tunaishi maisha mazuri!
 
Umesahau na zile hadaa za kwenda kanisani kisha kuchukuliwa na ma camera akijifanya bonge la mnyeyekuvu na mcha Mungu. Akageuza makanisani ni sehemu ya kutolea hotuba za kisiasa. Cha ajabu akawa anasema tusichanganye dini na siasa!
Matapeli ndivyo walivyo.
 
Yawezekana wewe ndo hujui chochote harafu unaona wanaojua hawajui kwasababu wewe hujui
Kama alimzidi akili mbona hakumfukuza huo uraisi na akakaba?! Watu walivurugwa. Huyu inaoneka mlija wake ulivunjwa
 
Wewe mpumbavu vijana wanasota mtaani,hizo ajira zipo wapi?kwani JPM hakutoa ajira kwenye miradi aliyoianzisha?
 
Ni kweli Samia na Kikwete wana akili sana maana kwa sasa tunaishi maisha mazuri!
Hali ngumu tunayopitia ni matokeo ya maamuzi ya kishamba yaliyofanywa na jiwe. Na alifanya uharibifu mkubwa wa mifumo na mishipa ya kiuchumi kiasi kwamba itachukua miaka zaidi ya 15 kupata full recovery.
 
Jiwe alikuwa alikuwa na uwezo mdogo sana kiakili. Ili kuficha upumbavu wake alilazimika kujifaragua hadharani aonekane much know. Lkn kubwa zaidi alisumbuliwa na ushamba & ulimbukeni.

Watato wa mjini wakaona isiwe taabu. Wakamfyekelea mbali.
Wajinga tu ndiyo wanamuona alikuwa genius. Angekuwa genius angekuwa hai mpaka sasa, maana asinge u-fight mfumo uliomleta madarakani.

Yaani akina Makamba na Kinana waibe kura za Lowassa kutoka kwenye kile kituo cha Masaki, halafu kwenye utawala ukawalete watu ambao hawakuhusika kùkufanya Rais kama kina Bashiru na Makonda. And then unawapiga vita waliokuleta, how can you survive
 
97
 
Huyo jamaa mleta uzi ni zaidi ya Kenge.
 
Inaonekana una inferiority complex:Na pia inaonekana haupo sawa. Unaongea, vitu vya kitoto na vya, kipumbavu sana. Yote uliyoongea, hapo ni ya, kipumbavu na kijinga. Literally , unavyoongea inaonyesha wazi una vyeti fake na hauwez, kuajiliwa, sehemu nyeti mpumbavu kama ww.
 
Una uhakika Wewe huna Madhaifu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…